Ni suala la muda tu halima anahamia ccm very soon! We kaa ujiulize ni lini ccm wameanza kuwa wema na kuwatembelea wazazi wa mpinzani hospital? Tena hadi waziri mkuu na spika wa bunge! Time will tell.Mzee Halima Ni CCM, inside out left to right, back to front.
Chhajabu ninini watu wa CCM wakitembeleana?
Wangemtembelea dadake Heche hapo sawa.