Siasa ni chanzo kikubwa cha umasikini Tanzania

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,553
2,992
Umasikini ni hali ya ukosefu au kushindwa kupata mahitaji muhimu katika wakati sahihi unapohitaji kununua nguo fulani ukaikosa ndiyo msamiati umasikini unapodhihirika this is just nadharia inatumika kuwadhoofisha watu na kuendelea kuwatawala.

Demokrasia imetengeneza mfumo wa kisiasa ambao unawapa watu ukilema wa fikra ila wachache hua ni wenye kufaidika na mfumo huu duni uliotengezwa kwa lengo la mjanja ni mwenye kufaidika,wanasiasa wanavyopanda jukwaani wanajidhihirisha kuwa serikali ni service provider wa kila jambo kitu ambacho kiuhalisia ni false statment na haita tokea mpaka dunia inaisha ila serikali ni just contributer and regulator wa mazingira lakini tunajisahau wananchi na kudanganywa na siasa uchwara kuwa maisha magumu yanmaletwa na serikali kitu ambacho si kweli na lengo kuwepo kwake ni mtaji wa kifikra ili uweze kukubalika kwa jamiii imagine kauli za upinzani wanavyosema wanafunzi wengi hawaajiriwi hivi ni kweli serikali inaweza kuwaajiri watoto 200,000 each year?ikiwa itaajiri basi effect side itakuwa ni kwenye infrastructure.

Awali serikali ilikuwa na majukumu ya maintance law and order ila kwa kuwa mfumo wa kidunia ulijua dunia itakuwa kwa kasi ukaanzisha fursa ndogo ndogo ili kuifanya dunia iingie kwenye uhitaji magonjwa mangapi yametengezwa?just it politics.

all in all,wanasiasa msiwasumbue na kuwatia ukilema wananchi waambieni walime na kufanya shughuli ndogondogo kujiingizia kipato.
 
Umasikini ni hali ya ukosefu au kushindwa kupata mahitaji muhimu katika wakati sahihi unapohitaji kununua nguo fulani ukaikosa ndiyo msamiati umasikini unapodhihirika this is just nadharia inatumika kuwadhoofisha watu na kuendelea kuwatawala.

Demokrasia imetengeneza mfumo wa kisiasa ambao unawapa watu ukilema wa fikra ila wachache hua ni wenye kufaidika na mfumo huu duni uliotengezwa kwa lengo la mjanja ni mwenye kufaidika,wanasiasa wanavyopanda jukwaani wanajidhihirisha kuwa serikali ni service provider wa kila jambo kitu ambacho kiuhalisia ni false statment na haita tokea mpaka dunia inaisha ila serikali ni just contributer and regulator wa mazingira lakini tunajisahau wananchi na kudanganywa na siasa uchwara kuwa maisha magumu yanmaletwa na serikali kitu ambacho si kweli na lengo kuwepo kwake ni mtaji wa kifikra ili uweze kukubalika kwa jamiii imagine kauli za upinzani wanavyosema wanafunzi wengi hawaajiriwi hivi ni kweli serikali inaweza kuwaajiri watoto 200,000 each year?ikiwa itaajiri basi effect side itakuwa ni kwenye infrastructure.

Awali serikali ilikuwa na majukumu ya maintance law and order ila kwa kuwa mfumo wa kidunia ulijua dunia itakuwa kwa kasi ukaanzisha fursa ndogo ndogo ili kuifanya dunia iingie kwenye uhitaji magonjwa mangapi yametengezwa?just it politics.

all in all,wanasiasa msiwasumbue na kuwatia ukilema wananchi waambieni walime na kufanya shughuli ndogondogo kujiingizia kipato.
Tanzania kuna demokrasia??
 
Hivi ni siasa yetu ya tanzania ndio kikwazo cha kufikia mahitaji yetu ya kila siku kwa wakati au hata ktk mataifa mengine pia matokeo ya siasa ni yaleyale kama hapa kwetu.?

Siasa haina matokeo yeyote juu ya umasikini wa mtu husika ila fikra za mtu husika na changamoto nyengine nje ya siasa ndio tatizo kuu
 
Umasikini ni hali ya ukosefu au kushindwa kupata mahitaji muhimu katika wakati sahihi unapohitaji kununua nguo fulani ukaikosa ndiyo msamiati umasikini unapodhihirika this is just nadharia inatumika kuwadhoofisha watu na kuendelea kuwatawala.

Demokrasia imetengeneza mfumo wa kisiasa ambao unawapa watu ukilema wa fikra ila wachache hua ni wenye kufaidika na mfumo huu duni uliotengezwa kwa lengo la mjanja ni mwenye kufaidika,wanasiasa wanavyopanda jukwaani wanajidhihirisha kuwa serikali ni service provider wa kila jambo kitu ambacho kiuhalisia ni false statment na haita tokea mpaka dunia inaisha ila serikali ni just contributer and regulator wa mazingira lakini tunajisahau wananchi na kudanganywa na siasa uchwara kuwa maisha magumu yanmaletwa na serikali kitu ambacho si kweli na lengo kuwepo kwake ni mtaji wa kifikra ili uweze kukubalika kwa jamiii imagine kauli za upinzani wanavyosema wanafunzi wengi hawaajiriwi hivi ni kweli serikali inaweza kuwaajiri watoto 200,000 each year?ikiwa itaajiri basi effect side itakuwa ni kwenye infrastructure.

Awali serikali ilikuwa na majukumu ya maintance law and order ila kwa kuwa mfumo wa kidunia ulijua dunia itakuwa kwa kasi ukaanzisha fursa ndogo ndogo ili kuifanya dunia iingie kwenye uhitaji magonjwa mangapi yametengezwa?just it politics.

all in all,wanasiasa msiwasumbue na kuwatia ukilema wananchi waambieni walime na kufanya shughuli ndogondogo kujiingizia kipato.
If you ask me

Umasikini ndio chanzo kikubwa cha siasa
 
Hivi ni siasa yetu ya tanzania ndio kikwazo cha kufikia mahitaji yetu ya kila siku kwa wakati au hata ktk mataifa mengine pia matokeo ya siasa ni yaleyale kama hapa kwetu.?

Siasa haina matokeo yeyote juu ya umasikini wa mtu husika ila fikra za mtu husika na changamoto nyengine nje ya siasa ndio tatizo kuu
ni kweli ila,mimi nimesemea upande wa wanasiasa kutumia kivuli cha siasa kuwaaminisha watu kuwa umasikini ni matokeo ya siasa mbovu{chama n,k} ila ukweli fikra YA MTU ndiyo umasikini na fikr zimetengenezwa na wanasiasa.
 
ni kweli ila,mimi nimesemea upande wa wanasiasa kutumia kivuli cha siasa kuwaaminisha watu kuwa umasikini ni matokeo ya siasa mbovu{chama n,k} ila ukweli fikra YA MTU ndiyo umasikini na fikr zimetengenezwa na wanasiasa.
mwanasiasa anataka ajikomboe na umasikini wake kupitia hao wanaohubiriwa siasa kiufupi siasa ya Tz bado sana
 
Hata maana ya siasa hujui, au unaelewa siasa kupitia siasa za tanzania
politics ina maana kubwa hakuna anaeiweza kuitafsiri..hivyo hata ukienda china wao wanajua tafsiri nyengine ya siasa ila wapo wanazuoni wameweka viashiria tu,ili kudetermine politics..ndiyo maana hata TZ ukisema hakuna siasa unajidanganya mwenyewe.
 
mwanasiasa anataka ajikomboe na umasikini wake kupitia hao wanaohubiriwa siasa kiufupi siasa ya Tz bado sana
mie naona siasa in generally ni biashara ya utapeli ila kutokana na ongezeko la watu ,a fujo za kidunia acha iwepo tu.
 
Halafu yule wa awamu ya kwanza aliyekosea yote haya wanataka kumtangaza mwenye heri?,soma hapa President Khama anarejea kutoka Uingereza (,alikosoma pia president Nyerere),anarudi Botswana na anaijenga nchi yake kwa taasisi imara ,utawala bora na kuzuia kabisa rushwa, President Madiba anatengeneza taasisi imara na zenye kujitegemea, anaifanya nchi iongozwe Kikatiba, judiciary inakua inatafsiri sheria baada ya kutungwa na bunge, Rais wetu wa awamu ya kwanza anayatambua yote haya na kuamua kuyafukia chini ya zuria!!
 
Umasikini ni hali ya ukosefu au kushindwa kupata mahitaji muhimu katika wakati sahihi unapohitaji kununua nguo fulani ukaikosa ndiyo msamiati umasikini unapodhihirika this is just nadharia inatumika kuwadhoofisha watu na kuendelea kuwatawala.

Demokrasia imetengeneza mfumo wa kisiasa ambao unawapa watu ukilema wa fikra ila wachache hua ni wenye kufaidika na mfumo huu duni uliotengezwa kwa lengo la mjanja ni mwenye kufaidika,wanasiasa wanavyopanda jukwaani wanajidhihirisha kuwa serikali ni service provider wa kila jambo kitu ambacho kiuhalisia ni false statment na haita tokea mpaka dunia inaisha ila serikali ni just contributer and regulator wa mazingira lakini tunajisahau wananchi na kudanganywa na siasa uchwara kuwa maisha magumu yanmaletwa na serikali kitu ambacho si kweli na lengo kuwepo kwake ni mtaji wa kifikra ili uweze kukubalika kwa jamiii imagine kauli za upinzani wanavyosema wanafunzi wengi hawaajiriwi hivi ni kweli serikali inaweza kuwaajiri watoto 200,000 each year?ikiwa itaajiri basi effect side itakuwa ni kwenye infrastructure.

Awali serikali ilikuwa na majukumu ya maintance law and order ila kwa kuwa mfumo wa kidunia ulijua dunia itakuwa kwa kasi ukaanzisha fursa ndogo ndogo ili kuifanya dunia iingie kwenye uhitaji magonjwa mangapi yametengezwa?just it politics.

all in all,wanasiasa msiwasumbue na kuwatia ukilema wananchi waambieni walime na kufanya shughuli ndogondogo kujiingizia kipato.
Tumelisema zamani hilo
 
Back
Top Bottom