madabadaba
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 288
- 178
Na ndiyo maana tunamshauri anyamaze tu maana anatudharirisha wanaume wa mikoani kwa kutuletea changudoa la kinyaturu.![]()
mkuu ukisema atunze siri tusingepata fursa ya kuchangia hapa

Na ndiyo maana tunamshauri anyamaze tu maana anatudharirisha wanaume wa mikoani kwa kutuletea changudoa la kinyaturu.![]()
mkuu ukisema atunze siri tusingepata fursa ya kuchangia hapa

Da! Pole sanaWanawake wapole ni zaidi ya unga Wa pilipili machoni..hua ni wapole wakiwa nje ila ndani ni zaidi ya kufungiwa chumba kimoja na chui mwenye watoto...mimi ata sina cha kukushaur maana sina tofauti na wewe!
Hongera zakoKitu ambacho niko tofauti napenda a man anayenifuatilia na kunipa vimarufuku vya hapa na pale' nguo hii sitaki, mda huu sitaki uwe sehemu fulani, uko wapi, mara kapiga midnight, sijakaa vizuri kapekua simu yangu, niko bafuni naoga kapokea simu. Wivu ule tukikaa 3 anataka akae katikati yaani na enjoy sana
Huna akili sawasawa brother, unamuona wife material wakati anakupiga beat usimfuatilie. Akili yako iko sawasawa kweli?daaah lakini namuona kama wife material
Usiamini mchungaji wala shekhe jiamini wewe ama utakufa mapema.Habari zenu wanajamii forum
Katika harakati za kutafuta binti anayeendana na sifa zangu nazotaka, eeh bwana macho yangu yakatua kwa binti mmoja wa kinyaturu ambaye nimekutana anaye hapa Moshi, Kilimanjaro. Yaani kwa kumwangalia ni mpole hana mambo mengi na kizuri nilichokipenda alikuwa muda wote anashinda kanisani, tena moja ya kanisa la kilokole na muda wote anaimba mambo ya Mungu.
Basi nikaanza harakati za kumfatilia maana kwa mimi ninaona kabisa ni aina ya mke nayemhitaji, basi bwana kama tabia ya wanawake ilivyo alinisumbua sana mpaka kumpata sasa mwaka jana mwisho nikafanikiwa kumiliki lakini sasa nimeanza kuona tabia zake sio kabisa.Kwanza ana kiburi kisicho na mfano na kitu cha pili nimegundua ana connection ya wanaume wengi sana japo ni msiri sana.
Kitu kingine nimegundua anapenda maisha ya juu sana kuanzia nimeanza kuwa naye, Pamoja na hilo mavazi anayovaa anapenda yale yanayo take attention kwenye jamii,yaani anavaa vimini huku mtaani ya nguo za kubana makalio mpaka najiuliza huyu sijui anasali nini yeye anadai yeye ni kijana wa kisasa na amenionya nisimfatilie maana nitaumia sana ana mambo mengi
Jamani nimeamini wanawake wapole wana siri nzito sana.Naombeni ushauri wadau niendelee naye au nifanyeje???
Mke wangu alikuwa anatoka na mchungaji wake naye akiwa mzee wa kanisa. Chezea watafuta mungu wewe!nina historia ya kua na wasichana wa kilokole kama watatu hivi, ila mmoja mlokole kwa ajili ya wazazi tu! kazi niliipata jwa huyu mlokole wa ukubwani, anaenda kanisani jumatatu, jumatano, ijumaa, jumamosi kufanya usafi na jumapili, kwa kifupi yupo bize na ni mpole na mtu akimwona anajua ni mstaarabu na mwenye heshima, sio mzuri wa sura ila nilihisi atakua na tabia njema, ila niliyokuja kugundua baada ya kama miezi sita ya mahusiano ..... kanisani watu wanaficha tabia nyingi chafu na kujenga unafiki kwa jamii inayowazunguka....
Uko sahihiaisee halafu mm naona wanawake wote tabia kama zinaendana tu
Na mashetani ambao ndiyo wanaohusianaSector ya mahusiano imeingiliwa!
Huyo sio bint wa kuoa kaka ILA ni wa kutumia tu. Kama una mpango wa kumuoa msubiri kwanza amalize mambo ya ujana au tafuta aliye tayari. Angekua ni mzuri angeshaolewa. Pole sanaHabari zenu wanajamii forum
Katika harakati za kutafuta binti anayeendana na sifa zangu nazotaka, eeh bwana macho yangu yakatua kwa binti mmoja wa kinyaturu ambaye nimekutana anaye hapa Moshi, Kilimanjaro. Yaani kwa kumwangalia ni mpole hana mambo mengi na kizuri nilichokipenda alikuwa muda wote anashinda kanisani, tena moja ya kanisa la kilokole na muda wote anaimba mambo ya Mungu.
Basi nikaanza harakati za kumfatilia maana kwa mimi ninaona kabisa ni aina ya mke nayemhitaji, basi bwana kama tabia ya wanawake ilivyo alinisumbua sana mpaka kumpata sasa mwaka jana mwisho nikafanikiwa kumiliki lakini sasa nimeanza kuona tabia zake sio kabisa.Kwanza ana kiburi kisicho na mfano na kitu cha pili nimegundua ana connection ya wanaume wengi sana japo ni msiri sana.
Kitu kingine nimegundua anapenda maisha ya juu sana kuanzia nimeanza kuwa naye, Pamoja na hilo mavazi anayovaa anapenda yale yanayo take attention kwenye jamii,yaani anavaa vimini huku mtaani ya nguo za kubana makalio mpaka najiuliza huyu sijui anasali nini yeye anadai yeye ni kijana wa kisasa na amenionya nisimfatilie maana nitaumia sana ana mambo mengi
Jamani nimeamini wanawake wapole wana siri nzito sana.Naombeni ushauri wadau niendelee naye au nifanyeje???
Balaa sana!Mke wangu alikuwa anatoka na mchungaji wake naye akiwa mzee wa kanisa. Chezea watafuta mungu wewe!
nina historia ya kua na wasichana wa kilokole kama watatu hivi, ila mmoja mlokole kwa ajili ya wazazi tu! kazi niliipata jwa huyu mlokole wa ukubwani, anaenda kanisani jumatatu, jumatano, ijumaa, jumamosi kufanya usafi na jumapili, kwa kifupi yupo bize na ni mpole na mtu akimwona anajua ni mstaarabu na mwenye heshima, sio mzuri wa sura ila nilihisi atakua na tabia njema, ila niliyokuja kugundua baada ya kama miezi sita ya mahusiano ..... kanisani watu wanaficha tabia nyingi chafu na kujenga unafiki kwa jamii inayowazunguka....