Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,258
- Thread starter
- #41
unaishi naye vipi kakaNinae km huyo
unaishi naye vipi kakaNinae km huyo
aise mkuu usione kweli ukaaminiUlokole ni jina tu kiongoz,kaa chini na ufikilie....
We ushaambiwa umuache.. Then unauliza tena eti umuache au uendelee nae... Si dharau hizi?mkuu unanitisha aisee
Si ndicho ulichotaka!!!Dah kaka unanikatisha tamaa sana
Achana nae huyo... Ni chui kwa ngozi ya kondoosakayo nipe ushauri mkuu
Anhaaa....!Achana nae huyo... Ni chui kwa ngozi ya kondoo
daaah kaka kunani tena tushaurianeWanawake wapole ni zaidi ya unga Wa pilipili machoni..hua ni wapole wakiwa nje ila ndani ni zaidi ya kufungiwa chumba kimoja na chui mwenye watoto...mimi ata sina cha kukushaur maana sina tofauti na wewe!
inaniuma sana mkuu macho haya yanatudanganya sanaSiku hizi watu hutumia dini kuficha mambo yao pole sana mkuu
Kuna mwenzako anapewa hiyo papuchi jiongeze mtoto wa kiume uta umia ohooo shauri yako. Nakutakia ukimwi mwema.tuna kama miezi miwili tu hata papuchi sijapewa