Siamini ninachokiona sasa hivi ITV

Siamini ninachokiona sasa hivi ITV

Umoja ni ushindi ukikatwa tulia kwa kuwa nchi hii ina hazina kubwa ya viongozi.
 
Hiyo ITV ni yako oeke yako ,maana mimi nimeangalia itv cjaona sehem nchimbi kamnadi magufuli
 
mmesikia jibu walilolitoa wananchi baada ya mchimbi kuuliza rais ni nani,
 
Aisee mh Emanuel Nchimbi anamnadi Magufuli na kusema hakuna rais atakae faa kama magufuli.nimeshangaa sana
ndiosiasa msihofu.wasikunyingi huyo anaitajihaki zake.pale anapostaafu ama.kuondoka.chamani
 
Nchimbi ni mpuuzi alikuwa jasiri kuonesha tofauti wazi wazi. Anapobadilika overnight kila mtu anamshangaa. Anaomba nafasi lkn he is hopeless....ndiyo alikuwa waziri wetu tena Home Affairs!!!
 
Sio yule aliyekurupuka siku ile kuwa hakubaliani na maamuzi ya mwenyekiti wao hafi akawa anatokwa na jasho??😂
Fursa
 
Kumnadi magufli tofauti na.anaempigia kura wazo tu tusiwahukumu badowetu
 
Subilini afike lowasa songea,anaweza tangaza kujiunga na chadema/ukawa
 
Muhimu kura yake tu.Mwache amzeveze Kikwere kisha kura kwa Eddo.
 
Kwa namna nilivyomwona Nchimbi pale Songea, anatia mashaka sana kama yupo na Magufuli kiuhalisia. Ni kama amejaa unafiki fulani hivi. CCM wajihadhali naye.
 
Back
Top Bottom