Consigliere
Platinum Member
- Sep 9, 2010
- 12,689
- 26,568
Walijibu Lowasaaaa.
Video ninayo ila kuileta hapa nashindwa.
Wasapu passion group upo niitume kule? Au njoo inbobo.
https://m.youtube.com/watch?v=5venqdgcWEk&feature=em-upload_owner
Walijibu Lowasaaaa.
Video ninayo ila kuileta hapa nashindwa.
Wasapu passion group upo niitume kule? Au njoo inbobo.
Mimi sikusikia mkuu, hebu niambie walijibuje?
mmesikia jibu walilolitoa wananchi baada ya mchimbi kuuliza rais ni nani,
Mnanso umenichefua sana, nimekimbilia kufungua nidhani ni kuhusu Dr Slaa, kumbe!! Hadi nimejikwaaa.
Mkuu, binafsi nilii note hiyo. Mimi niltazama taarifa ya habari ya ITV.
Ila kuna kitu pia tufahamu kuwa, ripota wa mikutano ya kampeni ya Magufuli wa ITV anaitwa Emmanuel Buhohela.
Kamwe hawezi kuripoti "negative side" ya kampeni za bwana huyu. Na ikitokea kamera imenasa "unusual incidence" na mtazamaji akaliona na kuli note, tambua kuwa, the situation was more than worse!!
Mcheki hata Magufuli mwenyewe speed ya "kupiga domo" aliyoanza mayo inapungua na hajamaliza hata quarter ya time ya kampeni!!
Recently, nimemwona anaongea kwa upole na anatia Huruma. Ni wazi ameshaipata Picha kwamba, mambo ni magumu na so rahisi kama alivyokuwa anafikiri!!
Ninayo lakini sijui jinsi ya ku post
Hakuna permanent friends...kuna permanent interests
mmesikia jibu walilolitoa wananchi baada ya mchimbi kuuliza rais ni nani,
hawa wenzetu bavicha akili sijui wamepeleka wapi?
......kama ni waungwana wa kutosha na mnampenda lowassa, mwambieni apumzike, mhurumieni hata afya take, mi nilimpenda tulipokuwa wote ccm, ila Magufuli nimempenda zaidi, viva magifuli viva ccm!!!!!!pumzika
Mbona humalizia alipowauliza rais wenu nani?,wakajibu Lowassa kundi kubwa na Dogo magufuliAisee mh Emanuel Nchimbi anamnadi Magufuli na kusema hakuna rais atakae faa kama Magufuli, nimeshangaa sana