Maarko
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,196
- 609
Sheria ya mtandao na ianze na wewe.
Hiyo sheria haimpati!bado haijaanza kutumika.
Sheria ya mtandao na ianze na wewe.
mmesikia jibu walilolitoa wananchi baada ya mchimbi kuuliza rais ni nani,
Inategemea na umekatwaje sass..Umoja ni ushindi ukikatwa tulia kwa kuwa nchi hii ina hazina kubwa ya viongozi.
hawa wenzetu bavicha akili sijui wamepeleka wapi?
Mbowe kumkaribisha LOWASA ni ajabu kuu la dunia. Mbona hilii hukushangaa.Aisee mh Emanuel Nchimbi anamnadi Magufuli na kusema hakuna rais atakae faa kama Magufuli, nimeshangaa sana
Aisee mh Emanuel Nchimbi anamnadi Magufuli na kusema hakuna rais atakae faa kama Magufuli, nimeshangaa sana
Mimi sikusikia mkuu, hebu niambie walijibuje?mmesikia jibu walilolitoa wananchi baada ya mchimbi kuuliza rais ni nani,
Hata hao wanaoa kwenye mikutano siyo wapiga kura
Mimi sikusikia mkuu, hebu niambie walijibuje?
Mimi nilisikia anasema hatutaki mfano wa Rais tunataka rais alafu akawauliza wananchi "Rais ajaye ni nani wakagawanyika wengne Lowassa wengne Magufuli" yeye akasistiza ni Magufuli. Mwenye hiyo video atupie hapa najua wengi hawakunoti hiyo kitu.
Aisee mh Emanuel Nchimbi anamnadi Magufuli na kusema hakuna rais atakae faa kama Magufuli, nimeshangaa sana
Aisee mh Emanuel Nchimbi anamnadi Magufuli na kusema hakuna rais atakae faa kama Magufuli, nimeshangaa sana
mmesikia jibu walilolitoa wananchi baada ya mchimbi kuuliza rais ni nani,
Nchimbi ni mwaminifu kwa chama chake cio kama wale wanaokatwa majina na kuhama ili wapate madaraka