R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,138
Karma limekuwa neno maarufu Sana likitumika kumaanisha usimfanyie mwenzako ubaya, maana na wewe utalipwa ubaya. (Malipo hapahapa Duniani)
Binafsi siamini katika hili, nahisi ni imani tu iliwekwa ili kupunguza uovu, ila kiuhalisia mambo ni tofauti
Nakumbuka kulikuwa na wababe wale waonezi mashuleni, ni kweli baadhi yao maisha yamewapiga lakini pia wapo wengi tu wana afya nzuri, kazi nzuri, familia, n.k.
Matajiri wapo wengi wametajirika kwa dhulma, wengine yamewakuta ila wapo wengi pia ambao ni vizazi sasa mambo yapo fresh kabisa
Wahusika wengine ni sisi wenyewe tunaojijua kila kitu tunajijua tuliwahi kuwafanyia ubaya wengine lakini mambo yanakwenda sawia.
Binafsi siamini katika hili, nahisi ni imani tu iliwekwa ili kupunguza uovu, ila kiuhalisia mambo ni tofauti
Nakumbuka kulikuwa na wababe wale waonezi mashuleni, ni kweli baadhi yao maisha yamewapiga lakini pia wapo wengi tu wana afya nzuri, kazi nzuri, familia, n.k.
Matajiri wapo wengi wametajirika kwa dhulma, wengine yamewakuta ila wapo wengi pia ambao ni vizazi sasa mambo yapo fresh kabisa
Wahusika wengine ni sisi wenyewe tunaojijua kila kitu tunajijua tuliwahi kuwafanyia ubaya wengine lakini mambo yanakwenda sawia.