Siamini kama ni kweli Alhaji Mzee Mwinyi alisahau pale panaitwa Chato

NewPage

JF-Expert Member
Mar 22, 2021
1,281
2,020
Alikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!
 
Back
Top Bottom