Ila kweli aseee!Ngojea wewe ufike age ya 95yrs tuone kama utakua hata unakumbuka jinsia yako?
Unachukulia 95yrs ni namba eeh? age is just a number ila kuanzia 90yrs Age is more than a number dear...
Hivi ni kweli alisema hivyo bwana Shee?Mbona alisema hata wanawe anawasahau!!
Kwahiyo akipakumbuka ndio panakuwa na hadhi ??Alikuwa Rais wa Tanzania kwa miaka 10. Hivi ni kweli alikuwa amesahau Chato au ulikuwa ni usanii tu ili kupaondolea hadhi pale? Mkiniambaia leo labda ameshaanza hata kuwasahau wanae basi ninaweza nikaamini kuwa aliposahau pale!
Kabisa mkuu Mungu atujaalie na sisi tufike huko unarudi kwenye utotoNgojea wewe ufike age ya 95yrs tuone kama utakua hata unakumbuka jinsia yako?
Unachukulia 95yrs ni namba eeh? age is just a number ila kuanzia 90yrs Age is more than a number dear...
Ni 98 yule.Ngojea wewe ufike age ya 95yrs tuone kama utakua hata unakumbuka jinsia yako?
Unachukulia 95yrs ni namba eeh? age is just a number ila kuanzia 90yrs Age is more than a number dear...
Hapana mkuu kazaliwa 1925. Mwez May mwaka huu ndo kwanza anatimiza 96 nadhanNi 98 yule.
Mwinyi alizaliwa may 8 1923 sema kuna makosa yakifanyika katika kurecord..Hapana mkuu kazaliwa 1925. Mwez May mwaka huu ndo anaanza 96
hajafikaNi 98 yule.
ProveMwinyi alizaliwa may 8 1923 sema kuna makosa yakifanyika katika kurecord..
Ila mke anamkumbuka 🤣🤣🤣🤣🤣 hapa ndio unapojua nguvu ya mbususurMbona alisema hata wanawe anawasahau!!