Siamini kama kuna Mtanzania middle class Marekani

Siamini kama kuna Mtanzania middle class Marekani

Good observation, kuwepo wachache maana yake wapo, tofauti na anayesema hakuna hata mmoja, tena anasema ni wafanyakazi wa ubalozi tu ndio middle class. Na kama wanafanya kazi masaa mengi ni jambo jema vile vile.

Nina rafiki yangu mzungu anafanya kazi kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa 2 usiku, kila siku, anapumzika mara mbili ay tatu kwa wiki. Income yake Gross ni well above laki 4 kwa mwaka, lakini yeye mwenyewe anajiita normal class.

Hii sijaisikia Merekani.
 
mim binafs nipo US na ni.middle class najiamini.because ninaingiza usd 15000 per day kitu ambacho ata wazawa wengi.hawaezi
 
This is so daft! Kwanini wakosekane? Unafikiri kila mwenye uwezo anataka ajitangaze ajulikane?
 
United_States_Class_Structure_Comparison%2C1984-2014.jpg


Sorry I am not doing this to offend or make mockery on you but list above shows that you own only a car.

What one own is not a topic here,
Lower, upper au centre , jibu ni middle class as per conversation.
Kama unataka kujua wana own nini anzisha topic yako.

Matter of fact.,.. If u talk about "owning" check me in two years i will beat the president of the country, coz am a homeowner already😊now beat it.
 
Prof mbele anafundisha st Olaf college kama asspociate prof pale kwa mjaluo pale siyattle.
 
What one own is not a topic here,
Lower, upper au centre , jibu ni middle class as per conversation.
Kama unataka kujua wana own nini anzisha topic yako.

Matter of fact.,.. If u talk about "owning" check me in two years i will beat the president of the country, coz am a homeowner alreadynow beat it.
Woow I like that spirit am not jealousy on your success but please mean the president of the county and not country unless you too is the president.

even though lamborghini is also the car they didnt categorized the type of.
 
Sisi tulioko huku daima hatusemi kweli kuhusu hali halisi ilivyo ili msije kuingia tamaa za kijinga kushindwa kulijenga taifa letu la tanzania.
Munatuona tuko huku lakini tunaijenga tanzania yetu kupitia huku U.S
 
Kwanini watu mko obsessed sana na maisha ya waTz waishio nje!? Kama unatamani kwenda mbele nenda kajionee mwenyewe sio kukariri kile usikiacho

Pili, umesema "huamini", kumbe ni swala la kiimani zaidi. Mtu yeyote anauhuru wa kuamini kile atakacho

Tatu, unajua unaposema middle class US unaongelea watu wa kipato gani?

Africans in USA (Tz included) ni moja ya society ya watu waliosoma, that being said, kipato chao ni kikubwa kulinganisha wazawa wengi wa USA wenyewe hata hao unaosema 2nd au 3rd generation. MF. Unajua idadi ya nurses waafrika Marekani (Tz included) unajua kipato Chao?

Truth be told, wengi wakifika mbele wanakua na spirit ya upambanaji sana
 
mim binafs nipo US na ni.middle class najiamini.because ninaingiza usd 15000 per day kitu ambacho ata wazawa wengi.hawaezi
Haki ya nani yaani unaingiza mahela yote haya bado wanakuita mid class hapana something is wrong somewhere. Sasa wa upper wanaingiza kiasi gani per day. For sure you are a billionaire if not a trillionnare.
 
Back
Top Bottom