Siamini kama kuna Mtanzania middle class Marekani

Siamini kama kuna Mtanzania middle class Marekani

Watu wakinyimwa visa wanakuwa na joto hasira hehehe taratibuu jaribu tena kwa kuiombea Kenya labda utapata. Bayiiii (in kansiime's voice)
 
LoL!!! Nilishawahi kusikia terminology moja inayopendwa kutumiwa na wapondaji wa watu wa daraja la chini. Hawa huwaita wa daraja la chini "everyday people" lakini hata kama ipo basi si ya annual income of $400,000 before/after income tax.

Huenda ipo hebu aje atujuze alikua ana maanisha nini lbd ni class ya kawaida sasa kaiita kiinglishi hahahahahahaha
 
and you will never hear it, lakini "ipo". It is modesty expression for those who are not arrogant

Indeed I will not hear it as a class status, because a norm to you is not a norm to me and a norm to me is not a norm to you.

Earning 400K a Year may be a norm to your friend but not a norm to someone who work 2 shifts to earn 50K a Year.
 
LoL!!! Nilishawahi kusikia terminology moja inayopendwa kutumiwa na wapondaji wa watu wa daraja la chini. Hawa huwaita wa daraja la chini "everyday people" lakini hata kama ipo basi si ya annual income of $400,000 before/after income tax.
Hahahahahaha afadhali kuwa daraja la chini marekani sababu nitatumia usafiri anaotumia middle class na nitapita barabara anayopita middle class kwani nafikiri hawajajenga au huduma za jamii haziangalii class ya mtu. Kuliko kuwa upper class ya bongo ambapo nitakua nimejenga bangaloo kati kati ya masikini na nitapita kwenye makorongo kama wa lower class. Sasa kuna raha gani kuwa millionare huku umezungukwa na vibanda vya makuti hebu niambie mkuu. Kibongo bongo unatumia jenereta kati ya watu waliozungukwa na giza kuna raha gani hapo. Nafikiri huko majuu ukijipinda unafanikiwa tu sidhani kama kuna uwiano na hapa kwetu kwani mtu leo unakua nae class moja kufumba na kufumbua mwenzako yuko juu tayari, ukiangalia wote mnauza mchele na wote mna wateja wa aina moja sasa inakuwaje huyu ghafla kawa kibopa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
LOL!!! Uyasemayo ni kweli kabisa. Huyu mbongo mnayeuza naye mchele atakuwa kapata mgawo wa ESCROW 1.6 billion na hivyo kutesa kwa zamu kama wasemavyo watoto wa MUJINI 🙂🙂

Hahahahahaha afadhali kuwa daraja la chini marekani sababu nitatumia usafiri anaotumia middle class na nitapita barabara anayopita middle class kwani nafikiri hawajajenga au huduma za jamii haziangalii class ya mtu. Kuliko kuwa upper class ya bongo ambapo nitakua nimejenga bangaloo kati kati ya masikini na nitapita kwenye makorongo kama wa lower class. Sasa kuna raha gani kuwa millionare huku umezungukwa na vibanda vya makuti hebu niambie mkuu. Kibongo bongo unatumia jenereta kati ya watu waliozungukwa na giza kuna raha gani hapo. Nafikiri huko majuu ukijipinda unafanikiwa tu sidhani kama kuna uwiano na hapa kwetu kwani mtu leo unakua nae class moja kufumba na kufumbua mwenzako yuko juu tayari, ukiangalia wote mnauza mchele na wote mna wateja wa aina moja sasa inakuwaje huyu ghafla kawa kibopa.
 
Haki ya nani yaani unaingiza mahela yote haya bado wanakuita mid class hapana something is wrong somewhere. Sasa wa upper wanaingiza kiasi gani per day. For sure you are a billionaire if not a trillionnare.

hii ni pesa ya kawaida sana ndugu kwa US. wala huwezi kua billionaire ni.just middle class tu kuna watu huingiza hadi.USD 100000 PER day
 
hii ni pesa ya kawaida sana ndugu kwa US. wala huwezi kua billionaire ni.just middle class tu kuna watu huingiza hadi.USD 100000 PER day

wewe nyau hujui hesabu, hujui hata conversion yd usd to tsh.

1usd = 1750 tsh

100,000usd = 175,000,000 tsh

sasa zidisha kwa wiki au mwezi.

hata cristiano ronaldo hana huo mshahara!
 
wewe nyau hujui hesabu, hujui hata conversion yd usd to tsh.

1usd = 1750 tsh

100,000usd = 175,000,000 tsh

sasa zidisha kwa wiki au mwezi.

hata cristiano ronaldo hana huo mshahara!

usizani kua mchezaj wa mpira ndio kua tajir kupita watu wa kawaida ww umeona mchezaj gani wa mpira ameingia kwenye list ya matajir wa dunia??uyo christian ronaldo ata tz tu watu kibao wana pesa zaid yake usiwe mshabik watu hela ipo ndugu mpira una pesa ndio ila sio kua ndio matajir kupita raia unajua bakhresa kwa siku anaingiza shngap?? usiropoke tena
 
Ndugu hacha kugeneralize wabongo wa middle class wapo weng tu us,mmoja wapo Hasheem thabit
 
Kwa hiyo?
Au unataka utugaie hiyo escrow ulopewa au!
 
aliyeanzisha huu uzi anataka kuzamia USA so hapa anataka kufanya ka reseach flan hivi kama hamjamsoma so akaamua kucommit fallacy ya Generalatizaton kutwist majority kupitia fact zake ambazo ni unproved wapate hasira wafunguke ili apate majibu ya Questionnaire zake inahitaji akili nyingi sana kuwasoma watu wa namna hii
 
Back
Top Bottom