Siamini kama kuna Mtanzania middle class Marekani

Siamini kama kuna Mtanzania middle class Marekani

Kwa USA inawezeka maana wanajali equality tofauti na uarabuni hawaamini mswahili anaweza kuwa tajiri au kuishi maisha bora kama wao maana kwao uafrika ni laana
 
Najua kuna Watz wengi sana wanishi Marekani lkn binafsi siamini kama kuna yoyote yule ambaye ana kipato cha kumfanya awe Middle Class ndani ya Marekani, naamini Watz ambao labda wana hiyo status ni wale wanaofanya Ubalozini ambao wanalipwa na Serikali yetu, ama wale wa UN, lkn wengine wa Uraiani siamini kama kweli wana qualify Middle class Status ya Marekani, sema wakija Bongo wanaonekana wako juu lkn kwa Marekani wengi pmj na kuwa wana kazi lkn bado wana low income status, na Hapa siongelei Watanzania kuanzia Kizazi cha kwanza yaani waliozaliwa na Wazazi watz ndani ya Marekani, hao naamini wako wengi lkn wale Wahamiaji, SIDHANI!
Kwahiyo una maana hata aliyekuwa gavana wetu wa enzi za EPA ambaye tunaambiwa ana uraia wa huko pia hawezi kuwa middle class huko?
 
kwa kifupi wabeba maboksi marekani huwa wanalipwa 12us kwa saa moja ss hapo piga 12 mara 8=96 kwa masaa nane ambayo ni kawaida ambayo ukipiga tsh mfano tufanye kwa 1950 mara 96=187200,kwa siku lkn hapo haujatoa tax,kazi kwako ss kuweza kufikiri mtu huyu atakuwa tajiri au maskini!
 
Ndugu hacha kugeneralize wabongo wa middle class wapo weng tu us,mmoja wapo Hasheem thabit

Hashimu hana hela kama mnavofikili! Kwanza career yake mda mwingi kachezea d-league ...d league kwa mwaka wanalipwa kama $20000 - $25000 kwa mwaka! !! , hapo bado ajalipa kodi sjui, bado hajalea watoto na naskia anao kama 5 , bado hajatanua n.k .....bora angeenda kucheza Ulaya au arudi bongo tuu
 
wewe nyau hujui hesabu, hujui hata conversion yd usd to tsh.

1usd = 1750 tsh

100,000usd = 175,000,000 tsh

sasa zidisha kwa wiki au mwezi.

hata cristiano ronaldo hana huo mshahara!

acha ushamba wewe,hyo usd 100,000 mtu ka Bill gates anaiingiza kwa nusu saa tu.
 
Najua kuna Watz wengi sana wanishi Marekani lkn binafsi siamini kama kuna yoyote yule ambaye ana kipato cha kumfanya awe Middle Class ndani ya Marekani, naamini Watz ambao labda wana hiyo status ni wale wanaofanya Ubalozini ambao wanalipwa na Serikali yetu, ama wale wa UN, lkn wengine wa Uraiani siamini kama kweli wana qualify Middle class Status ya Marekani, sema wakija Bongo wanaonekana wako juu lkn kwa Marekani wengi pmj na kuwa wana kazi lkn bado wana low income status, na Hapa siongelei Watanzania kuanzia Kizazi cha kwanza yaani waliozaliwa na Wazazi watz ndani ya Marekani, hao naamini wako wengi lkn wale Wahamiaji, SIDHANI!

Mido klasi ndo watu wenye kipato gani mkuu?
 
Mbona wapo wengi tu; kwani kipato cha watu wa kati ni kipi huku Marekani usije ukawa unadhania kwa makosa...
naomba ufafanuzi hapo mkuu, anaposema middle class anatakiwa awe na income kiasi kwa mwaka as USD?
 
Najua kuna Watz wengi sana wanishi Marekani lkn binafsi siamini kama kuna yoyote yule ambaye ana kipato cha kumfanya awe Middle Class ndani ya Marekani, naamini Watz ambao labda wana hiyo status ni wale wanaofanya Ubalozini ambao wanalipwa na Serikali yetu, ama wale wa UN, lkn wengine wa Uraiani siamini kama kweli wana qualify Middle class Status ya Marekani, sema wakija Bongo wanaonekana wako juu lkn kwa Marekani wengi pmj na kuwa wana kazi lkn bado wana low income status, na Hapa siongelei Watanzania kuanzia Kizazi cha kwanza yaani waliozaliwa na Wazazi watz ndani ya Marekani, hao naamini wako wengi lkn wale Wahamiaji, SIDHANI!

Jambo usilolijua
 
Back
Top Bottom