Siamini kama kuna Mtanzania middle class Marekani

Siamini kama kuna Mtanzania middle class Marekani

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
9,353
Reaction score
15,075
Najua kuna Watz wengi sana wanishi Marekani lkn binafsi siamini kama kuna yoyote yule ambaye ana kipato cha kumfanya awe Middle Class ndani ya Marekani, naamini Watz ambao labda wana hiyo status ni wale wanaofanya Ubalozini ambao wanalipwa na Serikali yetu, ama wale wa UN, lkn wengine wa Uraiani siamini kama kweli wana qualify Middle class Status ya Marekani, sema wakija Bongo wanaonekana wako juu lkn kwa Marekani wengi pmj na kuwa wana kazi lkn bado wana low income status, na Hapa siongelei Watanzania kuanzia Kizazi cha kwanza yaani waliozaliwa na Wazazi watz ndani ya Marekani, hao naamini wako wengi lkn wale Wahamiaji, SIDHANI!
 
Wapo wengi tuu tena wanakipato cha maana tuu pia wana status zao katika jamii ya wamerekani.
 
Mbona wapo wengi tu; kwani kipato cha watu wa kati ni kipi huku Marekani usije ukawa unadhania kwa makosa...
 
Home bred youth have ever homely wits. Huyu jamaa mashaka amesafiri zaidi ya daraja la manzese kuona ulimwengu.
 
Najua kuna Watz wengi sana wanishi Marekani lkn binafsi siamini kama kuna yoyote yule ambaye ana kipato cha kumfanya awe Middle Class ndani ya Marekani, naamini Watz ambao labda wana hiyo status ni wale wanaofanya Ubalozini ambao wanalipwa na Serikali yetu, ama wale wa UN, lkn wengine wa Uraiani siamini kama kweli wana qualify Middle class Status ya Marekani, sema wakija Bongo wanaonekana wako juu lkn kwa Marekani wengi pmj na kuwa wana kazi lkn bado wana low income status, na Hapa siongelei Watanzania kuanzia Kizazi cha kwanza yaani waliozaliwa na Wazazi watz ndani ya Marekani, hao naamini wako wengi lkn wale Wahamiaji, SIDHANI!

Mkuu tunaomba ufafanuzi juu ya viwango vya mtu kuwa middle class huko US , ili tujue uhalisia wa ukisemacho.
Kwani thread yako imenifanya nikumbuke ule usemi wa "Kokote Ulaya".
 
kuna anko mulokozi nikupe namba yake,yule ana maisha hata maseneti wa huko hawana,
 
a good thread ila umeianza vibaya

Kuna surveys za kutosha kuonyesha ni kwa kiasi gani watanzania walio nchini USA wamegawanyika... middle class wapo in hundreds if not thousands

i was also surprised kujua hali hiyo... ni very encouraging
 
Wapo wengi sana.Kuna kitu amjui wazawa wengi wa hapa hawataki kufanya kazi kutokana na kuwa na benefit nyingi.

Ila wageni wanafanya sana kazi na wanaishi vizuri sana.Watanzania wengi wamejiendeleza na wanaishi vizuri
 
Najua kuna Watz wengi sana wanishi Marekani lkn binafsi siamini kama kuna yoyote yule ambaye ana kipato cha kumfanya awe Middle Class ndani ya Marekani, naamini Watz ambao labda wana hiyo status ni wale wanaofanya Ubalozini ambao wanalipwa na Serikali yetu, ama wale wa UN, lkn wengine wa Uraiani siamini kama kweli wana qualify Middle class Status ya Marekani, sema wakija Bongo wanaonekana wako juu lkn kwa Marekani wengi pmj na kuwa wana kazi lkn bado wana low income status, na Hapa siongelei Watanzania kuanzia Kizazi cha kwanza yaani waliozaliwa na Wazazi watz ndani ya Marekani, hao naamini wako wengi lkn wale Wahamiaji, SIDHANI!
You must be kidding .watu wanapiga mzigo USA wewe.hapa kazi 24 hours ni wewe tuu na Nguvu zako .sema unaowajua wewe lower class
 
You must be kidding .watu wanapiga mzigo USA wewe.hapa kazi 24 hours ni wewe tuu na Nguvu zako .sema unaowajua wewe lower class

Hakuna Mtu Middle class Marekani anayefanya kazi masaa 24 kwa siku, hizo kazi ni za lower class, na hata ufanye nini huwezi kuingia middle class kwa kazi hizo!
 
Mbeba boksi Marekani sawa na kuli mnaowatishwa lumbesa kilo 200 bila huruma tandale? If truth be told mbeba boksi marekani analipwa ujira zaidi ya katibu mkuu serikali ya muungano. Unafiki wetu basi. Up diaspora!
 
Mbeba boksi Marekani sawa na kuli mnaowatishwa lumbesa kilo 200 bila huruma tandale? If truth be told mbeba boksi marekani analipwa zaidi ya katibu mkuu serikali ya muungano. Unafiki wetu basi.

Una matatizo ya kusoma na kuelewa kilichoandikwa na ndio maana SIAMINI kama Watu ninyi mnaweza kuwa Middle class Marekani, kwa maana Nchi zilizoendelea unalipwa kulingana na IQ yako yaani uwezo wako wa kutatua Matatizo, na hii inakwenda moja kwa moja na kiwango cha Elimu yako, hivyo kama tu unashindwa kusoma na kuelewa kilichoandikwa hapa JF, unawezaje kupata kazi ambayo unatakiwa kutumia akili kuisadia Kampuni kupata faida na kusonga mbele?

Hizo kazi zako za kubeba Maboksi hata ubebe kwa masaa 24 kwa siku kamwe hauwezi kupanda daraja na kuwa Middle class kwenye nchi zilizoendelea, yaani nchi zinazotumia technolia ili kuendelea!
Hizo kazi ni za lower class!
 
Una matatizo ya kusoma na kuelewa kilichoandikwa na ndio maana SIAMINI kama Watu ninyi mnaweza kuwa Middle class Marekani, kwa maana Nchi zilizoendelea unalipwa kulingana na IQ yako yaani uwezo wako wa kutatua Matatizo, na hii inakwenda moja kwa moja na kiwango cha Elimu yako, hivyo kama tu unashindwa kusoma na kuelewa kilichoandikwa hapa JF, unawezaje kupata kazi ambayo unatakiwa kutumia akili kuisadia Kampuni kupata faida na kusonga mbele?

Hizo kazi zako za kubeba Maboksi hata ubebe kwa masaa 24 kwa siku kamwe hauwezi kupanda daraja na kuwa Middle class kwenye nchi zilizoendelea, yaani nchi zinazotumia technolia ili kuendelea!
Hizo kazi ni za lower class!

Swali-Tanzania merit inakupandisha daraja? In my honest opinion system hasa civil service is pretty f.u.c.k.e.d. up.
 
Back
Top Bottom