Siamini kama CHADEMA na wenzao kweli wanataka uchunguzi ufanyike

Waswahili wanasema "Hapo kesi ya Nyani unataka kumpelekea Ngedere".
Wale mabwana wa Magwanda walitaka wachunguzi kutoka nje kwa sababu hawaviamini vyombo vya hapa ndani na pengine wanahisi ndivyo vinahusika , lakini hawa mabwana wa Kijani hawataki.
Kwahiyo kama hawa Kijani wanajiamini basi wawaruhusu hawa Magwanda walete hao wachunguzi wao kutoka nje.
 
Msimamo wangu ni huu: inashangaza sana kwa nini kuna muonekano kana kwamba jaribio la kutaka kumuua Tundu Lisu halijafanyiwa/ halifanyiwi uchunguzi na vyombo vya dola.

Neno muhimu hapo ni ‘muonekano’. Kama uchunguzi unafanyika nyuma ya pazia, basi sawa. Lakini machoni mwa wengi hakuna kinachoonekana kufanyika.

Hali hiyo inazua maswali mengi sana.

Baada ya hayo machache, tulonge sasa kuhusu ninachotaka kukijadili hapa.

Ni hivi, mimi kwa kweli siamini kabisa kama CHADEMA na washirika wao wanataka serikali ivalie njuga suala la uchunguzi wa shambulio lile.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu muonekano wa kutolifanyia uchunguzi shambulio lile umewapa ‘kiki’ CHADEMA.

CHADEMA sasa wamepata fimbo ya kuichapia CCM.

Mtu yeyote akianza mdahalo kidogo tu na kamanda yeyote yule, haimchukui muda kwa kamanda huyo kuleta habari za ukosefu wa uchunguzi wa jaribio la kumuua Lisu. Ukosefu wa uchunguzi huo umekuwa nongwa. Umekuwa ndo silaha [hoja] kuu ya CHADEMA.

Hata mhanga wa jaribio naye amekuwa akiitumia sana hiyo silaha kuwachapia nayo CCM.

Sasa pata picha serikali inalivalia njuga hilo suala na kufanya uchunguzi wa kweli. Hao CHADEMA watabaki na nini?

Kwanza watayakubali matokeo ya huo uchunguzi? Au watataka matokeo hayo yahitimishe tu kuwa Rais Magufuli ndiye mhusika namba moja? Nje ya hapo hawatoyakubali?

Naamini kabisa kuwa uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA watahamisha magoli. Watakosa kabisa hoja kama vile ambavyo hoja ya ufisadi walivyoitupilia mbali baada ya kubadili gia angani.

Kwa hiyo, kwa mtaji huo, hilo shambulio dhidi ya Lissu na aftermath yake, CHADEMA wamenufaika nalo sana kisiasa. Si ajabu hata Lisu mwenyewe hajui kuwa chama chake kimenufaika kisiasa kupitia mgongo wake. Na ndo maana siamini kabisa kuwa CHADEMA iko inataka uchunguzi wa kweli ufanyike.

Siku uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA ndo kwisha habari yake.
Mambo Ni mengi ndg ambayo upinzani unapatia Kiki za kuconquer mind za watu,Wenzetu kule kusini Korosho Ni Kiki,Katiba mpya Ni Kiki,waliotekwa na kupotea Ni Kiki nk.ila tu wapga Kura weng hawana elimu ya uraia na rahis kusahau yote yaliyowaumiza na kukumbuka dogo lililowafurahisha.that is why hata wanasiasa wanatumia weakness hizo kunufaika kisiasa.wanaanzisha Jambo wakishindwa wanarukia lingine.Hivo ushindi wa kisiasa Ni kucheza na mind za watu wasiojua wap wanatok na wap wanaend.hapa ndipo tulipofikia.Laiti km Kura wangekua wanapga tu wenye uelewa wa kisiasa Leo tungeona mabadiliko mengi sn

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimamo wangu ni huu: inashangaza sana kwa nini kuna muonekano kana kwamba jaribio la kutaka kumuua Tundu Lisu halijafanyiwa/ halifanyiwi uchunguzi na vyombo vya dola.

Neno muhimu hapo ni ‘muonekano’. Kama uchunguzi unafanyika nyuma ya pazia, basi sawa. Lakini machoni mwa wengi hakuna kinachoonekana kufanyika.

Hali hiyo inazua maswali mengi sana.

Baada ya hayo machache, tulonge sasa kuhusu ninachotaka kukijadili hapa.

Ni hivi, mimi kwa kweli siamini kabisa kama CHADEMA na washirika wao wanataka serikali ivalie njuga suala la uchunguzi wa shambulio lile.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu muonekano wa kutolifanyia uchunguzi shambulio lile umewapa ‘kiki’ CHADEMA.

CHADEMA sasa wamepata fimbo ya kuichapia CCM.

Mtu yeyote akianza mdahalo kidogo tu na kamanda yeyote yule, haimchukui muda kwa kamanda huyo kuleta habari za ukosefu wa uchunguzi wa jaribio la kumuua Lisu. Ukosefu wa uchunguzi huo umekuwa nongwa. Umekuwa ndo silaha [hoja] kuu ya CHADEMA.

Hata mhanga wa jaribio naye amekuwa akiitumia sana hiyo silaha kuwachapia nayo CCM.

Sasa pata picha serikali inalivalia njuga hilo suala na kufanya uchunguzi wa kweli. Hao CHADEMA watabaki na nini?

Kwanza watayakubali matokeo ya huo uchunguzi? Au watataka matokeo hayo yahitimishe tu kuwa Rais Magufuli ndiye mhusika namba moja? Nje ya hapo hawatoyakubali?

Naamini kabisa kuwa uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA watahamisha magoli. Watakosa kabisa hoja kama vile ambavyo hoja ya ufisadi walivyoitupilia mbali baada ya kubadili gia angani.

Kwa hiyo, kwa mtaji huo, hilo shambulio dhidi ya Lissu na aftermath yake, CHADEMA wamenufaika nalo sana kisiasa. Si ajabu hata Lisu mwenyewe hajui kuwa chama chake kimenufaika kisiasa kupitia mgongo wake. Na ndo maana siamini kabisa kuwa CHADEMA iko inataka uchunguzi wa kweli ufanyike.

Siku uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA ndo kwisha habari yake.
Yaani kumbe wewe ni bonge la kiazi!
 
Msimamo wangu ni huu: inashangaza sana kwa nini kuna muonekano kana kwamba jaribio la kutaka kumuua Tundu Lisu halijafanyiwa/ halifanyiwi uchunguzi na vyombo vya dola.

Neno muhimu hapo ni ‘muonekano’. Kama uchunguzi unafanyika nyuma ya pazia, basi sawa. Lakini machoni mwa wengi hakuna kinachoonekana kufanyika.

Hali hiyo inazua maswali mengi sana.

Baada ya hayo machache, tulonge sasa kuhusu ninachotaka kukijadili hapa.

Ni hivi, mimi kwa kweli siamini kabisa kama CHADEMA na washirika wao wanataka serikali ivalie njuga suala la uchunguzi wa shambulio lile.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu muonekano wa kutolifanyia uchunguzi shambulio lile umewapa ‘kiki’ CHADEMA.

CHADEMA sasa wamepata fimbo ya kuichapia CCM.

Mtu yeyote akianza mdahalo kidogo tu na kamanda yeyote yule, haimchukui muda kwa kamanda huyo kuleta habari za ukosefu wa uchunguzi wa jaribio la kumuua Lisu. Ukosefu wa uchunguzi huo umekuwa nongwa. Umekuwa ndo silaha [hoja] kuu ya CHADEMA.

Hata mhanga wa jaribio naye amekuwa akiitumia sana hiyo silaha kuwachapia nayo CCM.

Sasa pata picha serikali inalivalia njuga hilo suala na kufanya uchunguzi wa kweli. Hao CHADEMA watabaki na nini?

Kwanza watayakubali matokeo ya huo uchunguzi? Au watataka matokeo hayo yahitimishe tu kuwa Rais Magufuli ndiye mhusika namba moja? Nje ya hapo hawatoyakubali?

Naamini kabisa kuwa uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA watahamisha magoli. Watakosa kabisa hoja kama vile ambavyo hoja ya ufisadi walivyoitupilia mbali baada ya kubadili gia angani.

Kwa hiyo, kwa mtaji huo, hilo shambulio dhidi ya Lissu na aftermath yake, CHADEMA wamenufaika nalo sana kisiasa. Si ajabu hata Lisu mwenyewe hajui kuwa chama chake kimenufaika kisiasa kupitia mgongo wake. Na ndo maana siamini kabisa kuwa CHADEMA iko inataka uchunguzi wa kweli ufanyike.

Siku uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA ndo kwisha habari yake.
Sasa kweli hizi ni akili matope? Uhalifu umefanyika unataka chama chaupinzani kifanye nini. Kwani lazima uandike?
 
Msimamo wangu ni huu: inashangaza sana kwa nini kuna muonekano kana kwamba jaribio la kutaka kumuua Tundu Lisu halijafanyiwa/ halifanyiwi uchunguzi na vyombo vya dola.

Neno muhimu hapo ni ‘muonekano’. Kama uchunguzi unafanyika nyuma ya pazia, basi sawa. Lakini machoni mwa wengi hakuna kinachoonekana kufanyika.

Hali hiyo inazua maswali mengi sana.

Baada ya hayo machache, tulonge sasa kuhusu ninachotaka kukijadili hapa.

Ni hivi, mimi kwa kweli siamini kabisa kama CHADEMA na washirika wao wanataka serikali ivalie njuga suala la uchunguzi wa shambulio lile.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu muonekano wa kutolifanyia uchunguzi shambulio lile umewapa ‘kiki’ CHADEMA.

CHADEMA sasa wamepata fimbo ya kuichapia CCM.

Mtu yeyote akianza mdahalo kidogo tu na kamanda yeyote yule, haimchukui muda kwa kamanda huyo kuleta habari za ukosefu wa uchunguzi wa jaribio la kumuua Lisu. Ukosefu wa uchunguzi huo umekuwa nongwa. Umekuwa ndo silaha [hoja] kuu ya CHADEMA.

Hata mhanga wa jaribio naye amekuwa akiitumia sana hiyo silaha kuwachapia nayo CCM.

Sasa pata picha serikali inalivalia njuga hilo suala na kufanya uchunguzi wa kweli. Hao CHADEMA watabaki na nini?

Kwanza watayakubali matokeo ya huo uchunguzi? Au watataka matokeo hayo yahitimishe tu kuwa Rais Magufuli ndiye mhusika namba moja? Nje ya hapo hawatoyakubali?

Naamini kabisa kuwa uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA watahamisha magoli. Watakosa kabisa hoja kama vile ambavyo hoja ya ufisadi walivyoitupilia mbali baada ya kubadili gia angani.

Kwa hiyo, kwa mtaji huo, hilo shambulio dhidi ya Lissu na aftermath yake, CHADEMA wamenufaika nalo sana kisiasa. Si ajabu hata Lisu mwenyewe hajui kuwa chama chake kimenufaika kisiasa kupitia mgongo wake. Na ndo maana siamini kabisa kuwa CHADEMA iko inataka uchunguzi wa kweli ufanyike.

Siku uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA ndo kwisha habari yake.
Acheni kumwaga damu za binadamu wenzenu wasio na hatia.
Kila mtu anajua kuwa nyie ni wauaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mleta UZI anayajua haya pia and then bado kaleta UZI wa namna hi basi elimu yetu ina safari ndefu mno, haitusaidii kabisa kufikiri nje ya boksi. Tukumbuke na hat HOJA tu ya kwenda kuchangia DAMU nchi nzima ambayo Chadema waliitangaza, na yenyewe serikali ilikataa kata kata but hata issue ya wabunge wa ccm kupigwa marufuku kwenda just Nirobi tu kumsalimia Tundu na lenyewe lilikataliwa, halafu mtu na akili zake ana leta UZI wa namna hi and still anasisitiza kwamba yeye sio ccm, anyway!

Huwa nasikitikika sana nikiona huu upuuzi wa wajima wachache, mbilikimo wa siasa ukinasibishwa na ccm. Jamani ccm tunaijua kwa sababu imelea hii nchi. Hawa ni vibaka wa porini.
 
Unajua CCM wanaposema Chadema hoja ya ufisadi wameipiga kapuni huwa najiuliza hii ishu ya 1.5Tr nani ameishikia bango. Au hapo Lumumba ufisadi una maana nyingine?!
 
Usilie, namsaidia kijana wenu ili ajuwe ni nani aliyetaka kumuua...Chadrama ndiyo wanaomvizia kumuua Lissu kwa kulilia madaraka wakati he's nobody within the party.
Hao CDM
-wakaondoa walinzi getini
-wakaondoa cctv kwa waziri
-wakafunga jalada la uchunguzi
-wakamwambia IGP apige marufuku mjadala wa shambulio hilo

Hizi akili utazijuta lumumba tu!
 
Hao CDM
-wakaondoa walinzi getini
-wakaondoa cctv kwa waziri
-wakafunga jalada la uchunguzi
-wakamwambia IGP apige marufuku mjadala wa shambulio hilo

Hizi akili utazijuta lumumba tu!


Anayekutafuta ana mbinu sana ya kutaka kukumaliza, usishange Chadrama kufanya hayo matukio uliyoyataja.
 
Alishauri Dereva aletwe ahojiwe na police hili jambo lipatiwe muhafakha
Wafanye uchunguzi, sio lazima wamuhoji dereva. Ikiwa anahusika awekwe/aunganishwe kwenye kesi, atatetewa na mawakili ikionekana akuhusika ataachiwa huru. Tatizo la nchi yetu hii ubabe hadi kwenye mambo ya msingi, hadi tunaonekana wote hatufuati sheria na kanuni.
 
Wafanye uchunguzi, sio lazima wamuhoji dereva. Ikiwa anahusika awekwe/aunganishwe kwenye kesi, atatetewa na mawakili ikionekana akuhusika ataachiwa huru. Tatizo la nchi yetu hii ubabe hadi kwenye mambo ya msingi, hadi tunaonekana wote hatufuati sheria na kanuni.
Ao wachunguzi wa nje mukiowata munaikiri wasingemuhoji huyo dereva? Hivi tuko wawili mie nakua ghala alafu police wanakuja kufanya uchunguzi wanaambiwa nilikuwa nawewe mara ya mwisho alafu wewe unakimbia au hutaki kwenda kituoni kuhojiwa tasiri yake nini? eti afunguliwe kesi kwanza..!! akienda kuhojiwa akionekana mahojiano yake yana warakini anaweza kufunguliwa kesi acheni uzwazwa jamani loh..!
 
Ao wachunguzi wa nje mukiowata munaikiri wasingemuhoji huyo dereva? Hivi tuko wawili mie nakua ghala alafu police wanakuja kufanya uchunguzi wanaambiwa nilikuwa nawewe mara ya mwisho alafu wewe unakimbia au hutaki kwenda kituoni kuhojiwa tasiri yake nini? eti afunguliwe kesi kwanza..!! akienda kuhojiwa akionekana mahojiano yake yana warakini anaweza kufunguliwa kesi acheni uzwazwa jamani loh..!
Hahaha sasa wangefariki msinge chunguza?!
 
Back
Top Bottom