Siamini kama CHADEMA na wenzao kweli wanataka uchunguzi ufanyike

Serikali ya rais magufuli tunataka ije na majibu ya maswali haya!

1. Sababu zipi za msingi zilifanya serikali igome kumpa haki yake ya matibabu kwa mazingira yale?

2. Kwanini Ndugai alidanganya bunge na Watanzania kuwa Turuki alitoa pesa cash kulipia ndege iliyomsafirisha Lissu kwenda Hospital Nairobi tofauti na maelezo ya Turuki kuwa aliwadhamini Chadema kwa mali kauli sababu mmiliki wa ndege ile walikuwa wanafahamiana?

3. Kwanini serikali ya rais magufuli kupitia Jeshi la Polisi ilipiga marufuku Lissu kuombewa kwenye viwanja vya wazi?

4. Kwanini serikali ya rais magufuli kupitia Jeshi la Polisi ilipiga marufuku fulana zilizoandikwa 'We Pray For Lissu'?

5. Kwanini Waziri wa Nishati Medard Kalemani aling'oa CCTV kamera ambazo zilikuwa karibu na eneo aliloshambuliwa Lissu?


Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo waziri Kalemani ulimwona akizing’oa hizo kamera?
 
Msimamo wangu ni huu: inashangaza sana kwa nini kuna muonekano kana kwamba jaribio la kutaka kumuua Tundu Lisu halijafanyiwa/ halifanyiwi uchunguzi na vyombo vya dola.

Neno muhimu hapo ni ‘muonekano’. Kama uchunguzi unafanyika nyuma ya pazia, basi sawa. Lakini machoni mwa wengi hakuna kinachoonekana kufanyika.

Hali hiyo inazua maswali mengi sana.

Baada ya hayo machache, tulonge sasa kuhusu ninachotaka kukijadili hapa.

Ni hivi, mimi kwa kweli siamini kabisa kama CHADEMA na washirika wao wanataka serikali ivalie njuga suala la uchunguzi wa shambulio lile.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu muonekano wa kutolifanyia uchunguzi shambulio lile umewapa ‘kiki’ CHADEMA.

CHADEMA sasa wamepata fimbo ya kuichapia CCM.

Mtu yeyote akianza mdahalo kidogo tu na kamanda yeyote yule, haimchukui muda kwa kamanda huyo kuleta habari za ukosefu wa uchunguzi wa jaribio la kumuua Lisu. Ukosefu wa uchunguzi huo umekuwa nongwa. Umekuwa ndo silaha [hoja] kuu ya CHADEMA.

Hata mhanga wa jaribio naye amekuwa akiitumia sana hiyo silaha kuwachapia nayo CCM.

Sasa pata picha serikali inalivalia njuga hilo suala na kufanya uchunguzi wa kweli. Hao CHADEMA watabaki na nini?

Kwanza watayakubali matokeo ya huo uchunguzi? Au watataka matokeo hayo yahitimishe tu kuwa Rais Magufuli ndiye mhusika namba moja? Nje ya hapo hawatoyakubali?

Naamini kabisa kuwa uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA watahamisha magoli. Watakosa kabisa hoja kama vile ambavyo hoja ya ufisadi walivyoitupilia mbali baada ya kubadili gia angani.

Kwa hiyo, kwa mtaji huo, hilo shambulio dhidi ya Lissu na aftermath yake, CHADEMA wamenufaika nalo sana kisiasa. Si ajabu hata Lisu mwenyewe hajui kuwa chama chake kimenufaika kisiasa kupitia mgongo wake. Na ndo maana siamini kabisa kuwa CHADEMA iko inataka uchunguzi wa kweli ufanyike.

Siku uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA ndo kwisha habari yake.


Nani achunguze wakati waliotaka kumuua Lissu ni wenzake wa Chadema. Jamaa ni untrustworthy ila ana act kama yeye ndiye rais wa Chadema. They don't trust him na ndiyo maana hata MaCCM wanamdharau na kumpotezea tu.
 
Msimamo wangu ni huu: inashangaza sana kwa nini kuna muonekano kana kwamba jaribio la kutaka kumuua Tundu Lisu halijafanyiwa/ halifanyiwi uchunguzi na vyombo vya dola.

Neno muhimu hapo ni ‘muonekano’. Kama uchunguzi unafanyika nyuma ya pazia, basi sawa. Lakini machoni mwa wengi hakuna kinachoonekana kufanyika.

Hali hiyo inazua maswali mengi sana.

Baada ya hayo machache, tulonge sasa kuhusu ninachotaka kukijadili hapa.

Ni hivi, mimi kwa kweli siamini kabisa kama CHADEMA na washirika wao wanataka serikali ivalie njuga suala la uchunguzi wa shambulio lile.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu muonekano wa kutolifanyia uchunguzi shambulio lile umewapa ‘kiki’ CHADEMA.

CHADEMA sasa wamepata fimbo ya kuichapia CCM.

Mtu yeyote akianza mdahalo kidogo tu na kamanda yeyote yule, haimchukui muda kwa kamanda huyo kuleta habari za ukosefu wa uchunguzi wa jaribio la kumuua Lisu. Ukosefu wa uchunguzi huo umekuwa nongwa. Umekuwa ndo silaha [hoja] kuu ya CHADEMA.

Hata mhanga wa jaribio naye amekuwa akiitumia sana hiyo silaha kuwachapia nayo CCM.

Sasa pata picha serikali inalivalia njuga hilo suala na kufanya uchunguzi wa kweli. Hao CHADEMA watabaki na nini?

Kwanza watayakubali matokeo ya huo uchunguzi? Au watataka matokeo hayo yahitimishe tu kuwa Rais Magufuli ndiye mhusika namba moja? Nje ya hapo hawatoyakubali?

Naamini kabisa kuwa uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA watahamisha magoli. Watakosa kabisa hoja kama vile ambavyo hoja ya ufisadi walivyoitupilia mbali baada ya kubadili gia angani.

Kwa hiyo, kwa mtaji huo, hilo shambulio dhidi ya Lissu na aftermath yake, CHADEMA wamenufaika nalo sana kisiasa. Si ajabu hata Lisu mwenyewe hajui kuwa chama chake kimenufaika kisiasa kupitia mgongo wake. Na ndo maana siamini kabisa kuwa CHADEMA iko inataka uchunguzi wa kweli ufanyike.

Siku uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA ndo kwisha habari yake.
Sasa huo uchunguzi si ufanyike, kwa nini serikali inachelewesha huo uchunguzi?
...ufanyike haraka ili hiyo chadema ikwishie mbali bhana!
...ilitakiwa huo uchunguzi tena uanze pale pale baada ya lissu kupigwa, kwa kutoa picha fasta zilizorekodiwa na zile sisitivi walizong'oa na pia kwa kuwakamata mara moja wale walinzi wa pale kwenye eneo, waseme walikuwa wapi wakati wa lile shambulio! Kwa kufanya hayo tu madogo, mbona ungekuta chadema imekwisha sambaratikia mbali...!


Sent using Vertu Signature Cobra
 
Serikali ya rais magufuli tunataka ije na majibu ya maswali haya!

1. Sababu zipi za msingi zilifanya serikali igome kumpa haki yake ya matibabu kwa mazingira yale?

2. Kwanini Ndugai alidanganya bunge na Watanzania kuwa Turuki alitoa pesa cash kulipia ndege iliyomsafirisha Lissu kwenda Hospital Nairobi tofauti na maelezo ya Turuki kuwa aliwadhamini Chadema kwa mali kauli sababu mmiliki wa ndege ile walikuwa wanafahamiana?

3. Kwanini serikali ya rais magufuli kupitia Jeshi la Polisi ilipiga marufuku Lissu kuombewa kwenye viwanja vya wazi?

4. Kwanini serikali ya rais magufuli kupitia Jeshi la Polisi ilipiga marufuku fulana zilizoandikwa 'We Pray For Lissu'?

5. Kwanini Waziri wa Nishati Medard Kalemani aling'oa CCTV kamera ambazo zilikuwa karibu na eneo aliloshambuliwa Lissu?


Sent using Jamii Forums mobile app
Kama mleta UZI anayajua haya pia and then bado kaleta UZI wa namna hi basi elimu yetu ina safari ndefu mno, haitusaidii kabisa kufikiri nje ya boksi. Tukumbuke na hat HOJA tu ya kwenda kuchangia DAMU nchi nzima ambayo Chadema waliitangaza, na yenyewe serikali ilikataa kata kata but hata issue ya wabunge wa ccm kupigwa marufuku kwenda just Nirobi tu kumsalimia Tundu na lenyewe lilikataliwa, halafu mtu na akili zake ana leta UZI wa namna hi and still anasisitiza kwamba yeye sio ccm, anyway!
 
Huyu sijui alikuwa amesahaulika ndani ya droo za ofisi ya Lumumba akiuchapa usingizi na baada ya kukurupuka ndio kaja na maajabu ya ulimwengu.

Anasema kuwa CHADEMA hawataki uchunguzi ufanyike wakati jalada la kupigwa risasi Lissu lilishafungwa zamani, sijui ni uchunguzi gani utafanyika wakati tafsiri ya kufunga jalada ni hakuna kitakachoendelea zaidi, sasa sijui ni nani ambao hawataki uchunguzi uendelee ni CHADEMA au ni hawa waliofunga jalada?.
 
Msimamo wangu ni huu: inashangaza sana kwa nini kuna muonekano kana kwamba jaribio la kutaka kumuua Tundu Lisu halijafanyiwa/ halifanyiwi uchunguzi na vyombo vya dola.

Neno muhimu hapo ni ‘muonekano’. Kama uchunguzi unafanyika nyuma ya pazia, basi sawa. Lakini machoni mwa wengi hakuna kinachoonekana kufanyika.

Hali hiyo inazua maswali mengi sana.

Baada ya hayo machache, tulonge sasa kuhusu ninachotaka kukijadili hapa.

Ni hivi, mimi kwa kweli siamini kabisa kama CHADEMA na washirika wao wanataka serikali ivalie njuga suala la uchunguzi wa shambulio lile.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu muonekano wa kutolifanyia uchunguzi shambulio lile umewapa ‘kiki’ CHADEMA.

CHADEMA sasa wamepata fimbo ya kuichapia CCM.

Mtu yeyote akianza mdahalo kidogo tu na kamanda yeyote yule, haimchukui muda kwa kamanda huyo kuleta habari za ukosefu wa uchunguzi wa jaribio la kumuua Lisu. Ukosefu wa uchunguzi huo umekuwa nongwa. Umekuwa ndo silaha [hoja] kuu ya CHADEMA.

Hata mhanga wa jaribio naye amekuwa akiitumia sana hiyo silaha kuwachapia nayo CCM.

Sasa pata picha serikali inalivalia njuga hilo suala na kufanya uchunguzi wa kweli. Hao CHADEMA watabaki na nini?

Kwanza watayakubali matokeo ya huo uchunguzi? Au watataka matokeo hayo yahitimishe tu kuwa Rais Magufuli ndiye mhusika namba moja? Nje ya hapo hawatoyakubali?

Naamini kabisa kuwa uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA watahamisha magoli. Watakosa kabisa hoja kama vile ambavyo hoja ya ufisadi walivyoitupilia mbali baada ya kubadili gia angani.

Kwa hiyo, kwa mtaji huo, hilo shambulio dhidi ya Lissu na aftermath yake, CHADEMA wamenufaika nalo sana kisiasa. Si ajabu hata Lisu mwenyewe hajui kuwa chama chake kimenufaika kisiasa kupitia mgongo wake. Na ndo maana siamini kabisa kuwa CHADEMA iko inataka uchunguzi wa kweli ufanyike.

Siku uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA ndo kwisha habari yake.
Nashukuru kwakuwa hata wewe kada wa ccm umetambua hakuna uchunguzi wa kweli uliowahi kufanyika au unaofanyika!Hilo ndio jambo kubwa nililoling'amua kwenye maelezo yako!!!!!
Swali la msingi:Ni kwanini basi hakujawahi kuwa na uchunguzi wa ukweli?
 
Msimamo wangu ni huu: inashangaza sana kwa nini kuna muonekano kana kwamba jaribio la kutaka kumuua Tundu Lisu halijafanyiwa/ halifanyiwi uchunguzi na vyombo vya dola.

Neno muhimu hapo ni ‘muonekano’. Kama uchunguzi unafanyika nyuma ya pazia, basi sawa. Lakini machoni mwa wengi hakuna kinachoonekana kufanyika.

Hali hiyo inazua maswali mengi sana.

Baada ya hayo machache, tulonge sasa kuhusu ninachotaka kukijadili hapa.

Ni hivi, mimi kwa kweli siamini kabisa kama CHADEMA na washirika wao wanataka serikali ivalie njuga suala la uchunguzi wa shambulio lile.

Kwa nini nasema hivyo? Nasema hivyo kwa sababu muonekano wa kutolifanyia uchunguzi shambulio lile umewapa ‘kiki’ CHADEMA.

CHADEMA sasa wamepata fimbo ya kuichapia CCM.

Mtu yeyote akianza mdahalo kidogo tu na kamanda yeyote yule, haimchukui muda kwa kamanda huyo kuleta habari za ukosefu wa uchunguzi wa jaribio la kumuua Lisu. Ukosefu wa uchunguzi huo umekuwa nongwa. Umekuwa ndo silaha [hoja] kuu ya CHADEMA.

Hata mhanga wa jaribio naye amekuwa akiitumia sana hiyo silaha kuwachapia nayo CCM.

Sasa pata picha serikali inalivalia njuga hilo suala na kufanya uchunguzi wa kweli. Hao CHADEMA watabaki na nini?

Kwanza watayakubali matokeo ya huo uchunguzi? Au watataka matokeo hayo yahitimishe tu kuwa Rais Magufuli ndiye mhusika namba moja? Nje ya hapo hawatoyakubali?

Naamini kabisa kuwa uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA watahamisha magoli. Watakosa kabisa hoja kama vile ambavyo hoja ya ufisadi walivyoitupilia mbali baada ya kubadili gia angani.

Kwa hiyo, kwa mtaji huo, hilo shambulio dhidi ya Lissu na aftermath yake, CHADEMA wamenufaika nalo sana kisiasa. Si ajabu hata Lisu mwenyewe hajui kuwa chama chake kimenufaika kisiasa kupitia mgongo wake. Na ndo maana siamini kabisa kuwa CHADEMA iko inataka uchunguzi wa kweli ufanyike.

Siku uchunguzi wa kweli ukifanyika, CHADEMA ndo kwisha habari yake.
Hatutaki Scotland waje kufanya uchunguzi huru.Tuna vyombo vyetu vitafanya uchunguz na kutoa ripoti nzuri.
 
Huyu sijui alikuwa amesahaulika ndani ya droo za ofisi ya Lumumba akiuchapa usingizi na baada ya kukurupuka ndio kaja na maajabu ya ulimwengu.

Anasema kuwa CHADEMA hawataki uchunguzi ufanyike wakati jalada la kupigwa risasi Lissu lilishafungwa zamani, sijui ni uchunguzi gani utafanyika wakati tafsiri ya kufunga jalada ni hakuna kitakachoendelea zaidi, sasa sijui ni nani ambao hawataki uchunguzi uendelee ni CHADEMA au ni hawa waliofunga jalada?.

Ngoja tusubiri aje akujibu
 
Back
Top Bottom