Siamini kabisa hii dhana ya "People's Power"

Nchi gani serikali ilikuwa na silaha zote na bado ilishindwa na wananchi wasio na silaha bila huruma na kuangalia ubinadamu?
Omar Bashir katawala kwa bunduki kuanzia 1989 hadi 2019 aliposhindwa kwa maandamano ya wananchi yaliyoongozwa na Binti wa mwaka wa pili Chuo Kikuu Alaa Salah, mwenye miaka 21.

Kila kitu kina mwisho
 
Omar Bashir katawala kwa bunduki kuanzia 1989 hadi 2019 aliposhindwa kwa maandamano ya wananchi yaliyoongozwa na Binti wa mwaka wa pili Chuo Kikuu Alaa Salah, mwenye miaka 21.

Kila kitu kina mwisho
Shinikizo toka nje ww. Kwanini Syria umma ulishindwa?
 
1.Romania
2.Czechoslovakia
3.Georgia
4.Philipines
5.Ukraine
6.Armenia
 
1.Romania
2.Czechoslovakia
3.Georgia
4.Philipines
5.Ukraine
6.Armenia
Kote huko ni huruma na roho ya ubinadamu tu ilitumika kwa watawala ila wangevaa uso wa mbuzi watu wangekufa sana na bado wangeshindwa. Mbona Hong Kong umma ulishindwa? Vip na China 1989
 
Kote huko ni huruma na roho ya ubinadamu tu ilitumika kwa watawala ila wangevaa uso wa mbuzi watu wangekufa sana na bado wangeshindwa. Mbona Hong Kong umma ulishindwa? Vip na China 1989
Kwa nini ubinadamu na roho ya huruma havikutumika China 1989 ?
 
Unataka kuniambia serikali yao haikuwa na silaha za chuma? Au ni huruma tu ya kuogopa kuuwa watu wengi? Hiyo nguvu ya umma mbona haifanikiwi kwenye nchi nyingine?
Kwa nini kwingine hakuna huruma ya kuogopa kuuwa watu wengi?
 
Magufuli alilindwa na mizinga na mabomu lakini kafa

Ubabe una mwisho wake kijana soma historia vizuri. Dola katilli zenye nguvu zilianguka wakati ulipotimu
Ccm nayo itaanguka tu

Punguza kibri na majivuno soma alama za nyyakati

Watu wa Chadema hamnaga akili kabsaa,yaani 2025 hiyo hapo kwenye kona walioshika dola wanaangaika kubaki madarakani,Nyie mnaangaika na Magufuri aliyekwisha kufa....Sasa wacheni Mbowe akaoozee gerezani!!!
 
Wazungu wanaipa dunia tabu sana, wanaamini kila wanachoanzisha kinapaswa kufuatwa na kutekelezwa kokote duniani.

Dunia ya sasa imeharibika sababu ya demokrasia. Demokrasia ni nzuri lakini imesababisha matatizo sana.

Hivi kweli serikali yenye kila zana inawezaje kushindwa au kuangushwa na nguvu za wananchi ambao hawana silaha? Kama hii dhana inafanya kazi vizuri ingekuwa ishakomboa nchi kama Urusi,Uchina,Uganda na N. Korea na nchi nyingine ambazo demokrasia kwao ni mwiko.

Watu pekee wanaoweza kupambana na serikali labda waasi au jeshi. Yani silaha kwa silaa sio silaha kwa mkono mtupu. Utatolewa utumbo bure na watu wataendelea na maisha.
Pamoja sikubaliani na movement hii lakini umeona nguvu ya peeeeeeoooppplllless Leo pale karume mpaka wamesikilizwa?

Hiyo sasa ndio maana ya peoples power kama watanzania wakiamua. Yaani kinanuka Karume, kinanuka ubungo, kinanuka Morogoro, kinanuka Mwanza, kinanuka chuga, kinanuka Lindi hapo polisi wanaomba poo.

Jeshi likiingia mtaani tunawaambia hatugombani nao tunawaomba watulinde sababu tunachoomba sio kupindua nchi Wala kufungua mpiaka au kuifunga Bali tupeae haki ya jambo fulani ambalo hata wao wanaumizwa mfano bei ya bidhaa kuwa juu, masoko kuungua yanaleta loss ambayo haizibiki na serikali haitoi hata msamaha kwa waganga.

Hii itawafanya wasiumize raia watalinda tu usalama hapo ndio winner takes all na inakuwa peoples power.

Sio rahisi Ila wananchi wakiamua hakina atakayeua raia zaidi ya 100 sasa chaguo ni lako he upo tayari kwenda front au utaishia kwenye mitandao?
 
Kwa nini ubinadamu na roho ya huruma havikutumika China 1989 ?
China huwa haina huruma wala ubinadamu inapohusu utaifa wao. Kwanza hawaamini katika Mungu kwa hiyo hawana huruma kabisa na wanaharakati wowote.
 
Pamoja sikubaliani na movement hii lakini umeona nguvu ya peeeeeeoooppplllless Leo pale karume mpaka wamesikilizwa?

Hiyo sasa ndio maana ya peoples power kama watanzania wakiamua. Yaani kinanuka Karume, kinanuka ubungo, kinanuka Morogoro, kinanuka Mwanza, kinanuka chuga, kinanuka Lindi hapo polisi wanaomba poo.

Jeshi likiingia mtaani tunawaambia hatugombani nao tunawaomba watulinde sababu tunachoomba sio kupindua nchi Wala kufungua mpiaka au kuifunga Bali tupeae haki ya jambo fulani ambalo hata wao wanaumizwa mfano bei ya bidhaa kuwa juu, masoko kuungua yanaleta loss ambayo haizibiki na serikali haitoi hata msamaha kwa waganga.

Hii itawafanya wasiumize raia watalinda tu usalama hapo ndio winner takes all na inakuwa peoples power.

Sio rahisi Ila wananchi wakiamua hakina atakayeua raia zaidi ya 100 sasa chaguo ni lako he upo tayari kwenda front au utaishia kwenye mitandao?
Hizo harakati lazima ziwe na backup bila hivyo watakufa wengi na hakuna mabadiliko
 
China huwa haina huruma wala ubinadamu inapohusu utaifa wao. Kwanza hawaamini katika Mungu kwa hiyo hawana huruma kabisa na wanaharakati wowote.
Ungependa tuwe kama China?
 
Democracy ni nzuri ila kinachotokea sasa au kilichopo sasa ni Demokrasia ?
 
Insonekana uelewi unachokizungumza,au unajichanganya unachotaka kukielewa.Ukijua kua watu ndio kila kitu utakua umepata jibu la maswali yako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom