uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,664
- 26,396
nenda ile stand ya daladala ya zamani ya arusha mjini pale usiku kuanzia saa 6 ujionee mambo ya ajabu.lile eneo nalo walihamisha makaburi
Mambo gani ya ajabu? hakuna lolote, mimi nina biashara hapo juu palipotolewa makaburi, inachanganya kweli kweli, na upande wa pili yapo mengine ambayo tunayalia mingo manispaaa iwahamishe marehem tuweke biashara!