B'REAL
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 4,279
- 2,733
mkuu acha uwongo...mbona watu tunakesha pale,sijawai kuona kitu cha ajabunenda ile stand ya daladala ya zamani ya arusha mjini pale usiku kuanzia saa 6 ujionee mambo ya ajabu.lile eneo nalo walihamisha makaburi