Balqior
JF-Expert Member
- Jun 8, 2021
- 1,709
- 5,697
Nilipita njia ya makaburini, nikakuta kwenye baadhi ya makaburi kwa juu kumewekwa chupa ya chai na vikombe vya chai, kuna moja ya wazee waliopo hapo maeneo ya karibu aliniambia hizo chupa na vikombe unaona vimechoka ila kwenye ulimwengu wa roho hizo ni chupa mpya na vikombe vipya kabisa..
Niliwaza walioweka chupa za chai na vikombe walikuwa na nia ya kufanya uchawi gani hapo
Am just curious, wenye ujuzi wa hayo mambo watujuze, au ni wapita njia wanarusha roho watu, au ni watu waloenda kwa waganga Wakapewa ayo masharti Mshana Jr LIKUD
Niliwaza walioweka chupa za chai na vikombe walikuwa na nia ya kufanya uchawi gani hapo
Am just curious, wenye ujuzi wa hayo mambo watujuze, au ni wapita njia wanarusha roho watu, au ni watu waloenda kwa waganga Wakapewa ayo masharti Mshana Jr LIKUD