Ni nani alijiuzulu enzi hizo ulizotaja?Kama anaona mwajiri wake hafanyi vizuri angejiuzulu kwanza ndo aanze kutema cheche zake akiwa upinzani au raia huru asiyefungamana na mwajiri yeyote.
Huyo alisimamishwa Kazi toka novemba mwaka Jana👇Kwamba kwenye nchi hii haitakiwi kuwa na maoni tofauti?
Kwamba kila mwenye maoni tofauti ni mpinzani wa maendeleo?
Basi watafukuzwa wengi!View attachment 2332117