kwani hii nayo umeniambia nikalale nisichangie pacha manake nataka tu kukwambia sijalala ahahahahahhahhaha niseme nisiseme mwenzenu pacha wangu anatamaaaniHii MADA ngumu sana...na UGUMU wake unatokana na kuwa mara nyingi watu hawasemi WANACHOTENDA na HAWATENDI wanachosema!!!. Unaweza kumkubali mtu kwa jinsi anavyorusha nondo humu JF but kiukweli akawa sivyo alivyo kiuhalisi...ILA kama kweli ANACHOTUPIAGA humu ndicho anachomaanisha na MAISHA yake yanaakisi MANENO yake ..basi huyu hapa huyu .....ingekuwa SAA inarudi nyuma huenda angekuwa.........
Ni hayo tu jamiif
Hii MADA ngumu sana...na UGUMU wake unatokana na kuwa mara nyingi watu hawasemi WANACHOTENDA na HAWATENDI wanachosema!!!. Unaweza kumkubali mtu kwa jinsi anavyorusha nondo humu JF but kiukweli akawa sivyo alivyo kiuhalisi...ILA kama kweli ANACHOTUPIAGA humu ndicho anachomaanisha na MAISHA yake yanaakisi MANENO yake ..basi huyu hapa huyu .....ingekuwa SAA inarudi nyuma huenda angekuwa.........
Ni hayo tu jamiif
Duuuuu!, labda tungeanza na wewe, ungependa kutoka na nani hapa JF kwa nia nzuri?!
Kwani hapa kuna nini?
Si kwa nia mbaya wakuu.
Lara 1, mbona dume?Lara1 nikiwa na dili lolote mjini 'socially' lazima nikufind. . .una techniques za ukweli mwenyewe nazikubali, nakusoma 2 we hujui, but kwa vile kakaangu(mchagga) yupo hapo basi weye shemeji yangu natia adabu.
Lara 1, mbona dume?
Toka UNIJUE BWANA WAKO NAKUKAZA VIZURI BASI HUISHI KUNISIFIA!!!!!!!!!!! Haya njoo upate dozi ya jioni huku!!!!!!!! MAZAFANTA!!!!!!!
Lara 1, mbona dume?
kwani hii nayo umeniambia nikalale nisichangie pacha manake nataka tu kukwambia sijalala ahahahahahhahhaha niseme nisiseme mwenzenu pacha wangu anatamaaani
kurudisha nyuma muda ili ahahahhahhahhaha ahahahhaha akhu!mnataka nidundweeee ?lol!
Wewe mdogo wangu snowhite unataka kusemaje hapa sasa??...dawa yako ndogo TU...Ngoja nikuswalike UKIPATIA utajua nilikuwa NAMAANISHA nini...Kuna NCHI moja kubwa sana na ila inashangaza..Unajua inashangaza??..KINACHOSHANGAZA ni kuwa KUNA sehemu ya WAINGEREZA na kuna sehemu ya WAFARANSA humo humo...ukipatia hiki kitendawili basi utakuwa unanidai honoraria ya kufunga MWAKA....haya twende kazi.....
naomba ruksa nikutaje!!!!
Hii MADA ngumu sana...na UGUMU wake unatokana na kuwa mara nyingi watu hawasemi WANACHOTENDA na HAWATENDI wanachosema!!!. Unaweza kumkubali mtu kwa jinsi anavyorusha nondo humu JF but kiukweli akawa sivyo alivyo kiuhalisi...ILA kama kweli ANACHOTUPIAGA humu ndicho anachomaanisha na MAISHA yake yanaakisi MANENO yake ..basi huyu hapa huyu .....ingekuwa SAA inarudi nyuma huenda angekuwa.........
Ni hayo tu jamiif
Naaam, Bwn SnowBall, hapa umenikumbusha kitu - wengi tunatenda tusivyoongea na kuongea tusivyotenda! Saa nyingine hatuko halisi kabisa kwa maneno yetu, na mbaya zaidi matendo yetu hayaonekani hapa JF!