si kwa nia mbaya wakuu...

si kwa nia mbaya wakuu...

nyc one...sijui mwenyewe ameiona hii? jaribu kum-mention maana mi sijui jinsi ya kum-mention mtu humu...(usinicheke)
napenda sana comment zake, mara nyingi inakua faster,funny and accurate...yuko so open pia! na wish one day nimtie machoni! popote ulipo ni pm nina bia zako kadhaa
 
Ninaye Preta, zaidi ya hapo itakuwa Cheating! And I'm not ready!!
 
NAVUNJA UKIMYAAAAAAAAA!!!!!!! NAPASUA JIPU PWAAAAAAAAAAAAAH!!!!!!!!!!! NAMWAGA RADHI JAMANIIIIIIIIIII!!!!!!!! SEMENI SU!!!!!!!!! NIMWAGEEEEEEE!!!!!!!! Nilonge nithilongeeeeeeeeee!!!!!!! Mwenzenu mimiiiiiiiiiiiiiii! Mchumba wanguuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!! Wa humuuuuuuuuuu! NI -----------------------

MSIZUGE ZUGE!!!!!! TIRIRIKENI HAPO!!!!!!!!!!! SIO KUFA NAYO MOYONI!!!!!!!!!
 
umeona eee.....watu wanafichaficha tu hahahahahah.....wafunguke tu jamani...itaongeza mshikamano na umakini pia...lol....
NAVUNJA UKIMYAAAAAAAAA!!!!!!! NAPASUA JIPU PWAAAAAAAAAAAAAH!!!!!!!!!!! NAMWAGA RADHI JAMANIIIIIIIIIII!!!!!!!! SEMENI SU!!!!!!!!! NIMWAGEEEEEEE!!!!!!!! Nilonge nithilongeeeeeeeeee!!!!!!! Mwenzenu mimiiiiiiiiiiiiiii! Mchumba wanguuuuuuuuuuuuuuuuuuuu!!!!!!!!!! Wa humuuuuuuuuuu! NI -----------------------

MSIZUGE ZUGE!!!!!! TIRIRIKENI HAPO!!!!!!!!!!! SIO KUFA NAYO MOYONI!!!!!!!!!
 
mwaga tu hisia zako ndugu yangu hakuna atakayekushangaa kwani kila mmoja wetu hapa ana hisia zake bwana...au unasemaje?hahahaha!!!!!!usiogope bwana!!!
Coz itanifanya nionyeshe hisia zangu za ndani ambazo zitawafanya wanajf wanishange.
 
Madame B. huyu ni mwanamke ambaye anaonyesha kuwaelewa wanaume kwa undani sana. inaonekana pia sio mwanamke wa longo longo yeye fll burudani cha msingi usimege mbunye yake bila kumsifia na kumuachia angalau kilo lol
 
mmh mnaingia mkenge, id za humu ngumu kujua nani mwanamke nani mwanamme! utaona mtu anaandika kama mwanamke kumbe dume!
 
Hii MADA ngumu sana...na UGUMU wake unatokana na kuwa mara nyingi watu hawasemi WANACHOTENDA na HAWATENDI wanachosema!!!. Unaweza kumkubali mtu kwa jinsi anavyorusha nondo humu JF but kiukweli akawa sivyo alivyo kiuhalisi...ILA kama kweli ANACHOTUPIAGA humu ndicho anachomaanisha na MAISHA yake yanaakisi MANENO yake ..basi huyu hapa huyu .....ingekuwa SAA inarudi nyuma huenda angekuwa.........
Ni hayo tu jamiif
 
Last edited by a moderator:
Lara1 nikiwa na dili lolote mjini 'socially' lazima nikufind. . .una techniques za ukweli mwenyewe nazikubali, nakusoma 2 we hujui, but kwa vile kakaangu(mchagga) yupo hapo basi weye shemeji yangu natia adabu.
 
Back
Top Bottom