si kwa nia mbaya wakuu...

si kwa nia mbaya wakuu...

Madame B. huyu ni mwanamke
ambaye anaonyesha kuwaelewa wanaume kwa undani sana. inaonekana pia sio
mwanamke wa longo longo yeye fll burudani cha msingi usimege mbunye yake
bila kumsifia na kumuachia angalau kilo lol

Huyo ni kicheche humuwezi mdg wang.
 
Huyo ni kicheche humuwezi mdg wang.

mhm wewe umejuaje kicheche au nawe ulisha mmega huyu na una data kuwa wengine wameshamega?
wewe usijali kwani mie nitaka kutia nanga...na ata kama kicheche kwani wanabandua hiyo K yake? itakuweo pale pale na utamu ule ule. full burudani
 
Mimi kwakweli ningependa sana siku moja niwaone tu wadada hawa MadameX, King'asti, lara 1 maana huwa napenda sana jinsi wanavyochangia mada
 
Last edited by a moderator:
jamani, hata kama mtu akitoa ushairu wake hata kama yeye hayuko hivyo, kama ushauri huo utamsaidia mhusika aliyeomba ushauri si inatosha wakuu au? mi ninaona what matters ni ushauri wa mtu iwapo atakuwa anatoa ushauri huo, mambo ya matendo yake huko inakuwa kama haihuu au nakosea jamani?
Naaam, Bwn SnowBall, hapa umenikumbusha kitu - wengi tunatenda tusivyoongea na kuongea tusivyotenda! Saa nyingine hatuko halisi kabisa kwa maneno yetu, na mbaya zaidi matendo yetu hayaonekani hapa JF!
 
Hahahahah!Mbali Na Wengne Wengi,Lakin
Nikisoma post Za Hawa Watu (KONGOSHO, MZABZAB)
Hahahahah....Majina Yao Tu....Kicheko Tosha....
Hata Nikiwa Na Gunia La Hasira,Lazima Nitatulia!
 
jamiif siye wengine sura zetu kama kwato za kuku mjane, wala usitamani kututia machoni
 
Last edited by a moderator:
jamiif siye wengine sura zetu kama kwato za kuku mjane, wala usitamani kututia machoni
 
watu8 usiogope my dia wanasema SURA SIYO ROHO!!HAHAHAHAHAHA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
jamiif siye wengine sura zetu kama kwato za kuku mjane, wala usitamani kututia machoni
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom