si kwa nia mbaya wakuu...

si kwa nia mbaya wakuu...

jamiif

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2012
Posts
2,413
Reaction score
995
jamani ebu sasa tuambiane ukweli hapa jf...hivi kama wewe ni mwanamke au ni mwanaume, ni mwanajf yupi labda kutokana na topics zake au jinsi anavyochangia mada kwa hekima na busara zake, ungetamani angekuwa au ana sifa za kuwa wako wa ubani? (si kwa nia mbaya jamani hapa pia tutajifunza kitu)...karibuni ndugu zangu!
 
mmmmhhhhhhhhh na mimi sikuguni kwa nia mbaya jamani, labda ungesema ucheshi mi ningekutajia Dada mmoja hivi, ila mmmmmm
 
yaani, mfano mimi jamiif, ningependa labda Nyani Ngabu angekuwa my love labda kutokana na jinsi anavyochangia mada humu kwa busara zake na hekima, au kutokana na ushauri wake juu ya suala fulani, pan=moja na sifa nyingine labda...hapo je?
 
yes, hata kwa ucheshi wake...hahahahah hata avatar yake pia labda inahuu. nk...
mmmmhhhhhhhhh na mimi sikuguni kwa nia mbaya jamani, labda ungesema ucheshi mi ningekutajia Dada mmoja hivi, ila mmmmmm
 
Kuna mtu naogopa kumtaja bhana, I really feel her, kweli kweli subiri nim-PM kwanza akikubali fasta naposti
 
jamani ebu sasa tuambiane ukweli hapa jf...hivi kama wewe ni mwanamke au ni mwanaume, ni mwanajf yupi labda kutokana na topics zake au jinsi anavyochangia mada kwa hekima na busara zake, ungetamani angekuwa au ana sifa za kuwa wako wa ubani? (si kwa nia mbaya jamani hapa pia tutajifunza kitu)...karibuni ndugu zangu!

Duuuuu!, labda tungeanza na wewe, ungependa kutoka na nani hapa JF kwa nia nzuri?!
 
mkuu kuna female nawakubali sana kwa hoja zao na michango yao humu ndani na baadhi nilishawahi kukutana nao uso kwa uso(ni warembo) lakini sijawahi kufikiria kuwa mahusiano mengine zaidi ya urafiki wa kubadilishana mawazo na kushea ideas mbalimbali za kimaisha
Ila kila mtu ana malengo yake humu huenda wapo ngoja waje watakujuza.
 
hahahaha why Ritz1? ebu nishawishi kwanza...mimi kuna mmoja hapa mkaka namkubali kutokana na michango yake na hekima zake...
kama wewe ni mwanamke ,ningekushauri utoke na "Ritz1"--tehetehe!
 
hahahaha...jamani mtoe na SABABU za kuwakubali ili ishu iwe wazi zaidi.......lol......ni muhimu sana kutoa SABABU sio basi tu...hahahahah!!!!!!!!
 
Sikuwahi kuwaza haya hata siku moja wote nawaona marafiki tena kaka na dada labda Kibada huyu member namkubali sana inaonekana upstairs yuko vizuri sana kuleee jukwaa la elimu
 
napenda sana comment zake, mara nyingi inakua faster,funny and accurate...yuko so open pia! na wish one day nimtie machoni! popote ulipo ni pm nina bia zako kadhaa
 
i know my dear, sema tu tunaongelea labda kutokana na sifa fulani fulani za mtu labda angefaa kuwa wako, ucheshi wake, anavyochangia hoja kwa hekima zake, nk...hahahaha
Sikuwahi kuwaza haya hata siku moja wote nawaona marafiki tena kaka na dada labda Kibada huyu member namkubali sana inaonekana upstairs yuko vizuri sana kuleee jukwaa la elimu
 
Back
Top Bottom