Si kila tatizo linahitaji kumweleza Mtu!

Si kila tatizo linahitaji kumweleza Mtu!

Tufe na tai shingoni sio ?

Wanasaikolojia wanasema, ile tu kumsimulia mtu changamoto unazopitia, hata kama hujatatua hio changamoto kuna namna unapona maumivu/msongo/msononeko
 
Binti:

Huwa napendelea sana mada zako maana, kwa kiasi fulani, zinaonyesha ukomavu katika baadhi ya mambo. Hata hivyo kuna wakati huwa nahisi kama wakati mwingine thread zako zinakuwa ndefu unnecessarily. Kama unavyojua attention span ya watu wengi siku hizi ni shida. Hivyo pengine kuna watu wengi tu ambao wanakosa busara zako kwa uzi kuwa mrefu bila sababu za msingi. Kama ukiweza, na kama ulimwelewa vizuri mwalimu wako wa Ufupisho darasa la 4 somo la Kiswahili, hebu jaribu kuwa unazifupisha hizi thread bana bila kuzipotezea utamu na mguso wake. Huu ni ushauri na observation yangu tu na so lazima uuzingatie 🙏🏿.

Back to the topic: Privacy is power hasa kwetu introverts. Mpaka nikaseme kitu kwa mtu aisee labda sijui iweje. Labda nikiambiwa nina terminal cancer na nina mwezi mmoja tu wa kuishi. Naamini kwamba mbali na mama yangu, hakuna mtu mwingine anayenitakia mema kwa asilimia 100 hapa duniani. Hata marafiki zangu naamini hawapendi wakisikia I am doing better than them. Ndo maana hata ikitokea nikawashirikisha kitu (kizuri au kibaya), sisemi ukweli wote. Nasema ambacho nadhani kitaendana na uhalisia wao. Ndivyo ninavyoishi. Nikibanana sana afadhali nikaongee na therapist huko asiyenijua au bro wangu asiye na makuu Evelyn Salt 😂😂😂

Zaidi ya hapo ni mimi na Mungu wangu tunasaidiana kutatua changamoto zinazotukabili 🙏🏿
 
Hata hivyo kuna wakati huwa nahisi kama wakati mwingine thread zako zinakuwa ndefu unnecessarily. Kama unavyojua attention span ya watu wengi siku hizi ni shida. Hivyo pengine kuna watu wengi tu ambao wanakosa busara zako kwa uzi kuwa mrefu bila sababu za msingi. Kama ukiweza, na kama ulimwelewa vizuri mwalimu wako wa Ufupisho darasa la 4 somo la Kiswahili, hebu jaribu kuwa unazifupisha hizi thread bana bila kuzipotezea utamu na mguso wake. Huu ni ushauri na observation yangu tu na so lazima uuzingatie 🙏🏿
Siyo kwa ubaya pia lakini naomba nikusahihishe Mkuu.

Iko hivi, unapozungumzia mambo ya kina kama emotional intelligence, healing, na self counseling unahitaji context, ukiandika kifupi unaua picha halisi ya tatizo na unamnyima msomaji nafasi ya kutafakari hatua kwa hatua.

Watu wengi ambao huwa wanakimbia threads ndefu ukifuatilia walio wengi huwa hawana uwezo wa kusoma kwa umakini, unapowaandikia kifupi hapo unawalisha chakula kilichotafunwa.

Ni heri kuwa na wasomaji na wachangiaji hata 10 ambao watakuwa wameelewa context nzima kuliko kuwa nao 100 ambao wataishia kusoma juu juu tu na wasielewe context nzima ya mada.
 
596971.jpg
Bado bei ipo poa 2500 kidumu cha tomato...

Na mashine ya kusaga nyanya hiyo hapo kila kitu kinafanyika katika uboro wa hali ya juu
602229.jpg
 
Madam watu wengi wanaotuzunguka sio kwamba huwa hawana ushauri mzuri, tatizo walilo nalo wengi huwa hawana nia njema, unapomweleza mtu tatizo lako inakuwa ni kama umempa ramani nzima ya maisha yako, katika ulimwengu huu wa social media na ulio jaa fitina habari zako ni kama mtaji kwa mtu mwingine.
Exactly 💯
Fikiria una changamoto ya kifedha kwenye biashara yako, badala ya kukaa chini na kutafakari cash flow yako, unakimbilia kwa rafiki yako kumueleza kuwa biashara yako imeyumba sana, huyo rafiki anaweza kukupa pole muda huo lakini kesho akikutana na mtu mwingine tuseme rafiki yake au rafiki yako wewe atamwambia "yule jamaa biashara zake kwa sasa haziendi vizuri zinaelekea kufa, anapata shida sana." kwa hii tu situation hapa unakuwa umepoteza brand image yako, umepoteza heshima, na unampa mtu nguvu ya kukuona kama mtu uliyeshindwa
👏👏👏
.

Karne hii pia walio wengi huwa wanatafuta validation badala ya ushauri yaani mtu anataka aambiwe kuwa "ni kweli, wewe huna kosa, yule ndiye mbaya." Hii ni hatari kubwa, unapomtafuta mtu ili akuunge mkono katika hisia zako badala ya kukuonyesha ukweli, hapo unazidi kuulemaza ubongo wako.
Sawa sawa
Mfano una mgogoro na mwenza wako badala ya kutafakari ni kivipi mtatatua huo mgogoro wewe unakimbilia kwa rafiki yako na kumueleza upande wako tu ili akuunge mkono, rafiki yako anakuunga mkono kwa kuendelea kumsema na kumtukana mwenza wako, matokeo yake, unarudi nyumbani ukiwa umevimba na kujaa kiburi kwa sababu ya yale uliyoambiwa na rafiki yako, mwisho wa siku ndoa inavunjika kwa sababu ya ushauri wa mtu ambaye hata haishi ndani ya nyumba yako.
Kaka ❤️❤️
Kuna nguvu kubwa sana kwenye kile tunachokiita solitude, unapokuwa na tatizo, jifunze kuli handle mwenyewe, yakubali maumivu, tafakari na jiulize "Kama rafiki yako angekuja kwako na hilo tatizo ungemshauri nini? " hapo utaona jinsi ambavyo unajua majibu yote, ila huwa unashindwa kuyafuata kwa sababu ya uvivu wa kufikiri au uoga wa kuchukua hatua.
Aiseeee 🙌🙌🙌
Yatupasa tuwe tunachagua quality over quantity, tupunguze idadi ya watu wanaojua maisha yetu, tujifunze kusimama wenyewe, ukiona tatizo limekuwa kubwa sana, tafuta professional help sio friendship help, ukitaka kuheshimika na kuwa na maisha yenye amani, jifunze hii kanuni moja "silence is the ultimate weapon of the wise, usitoe siri zako kama unagawa vipeperushi, linda siri zako, linda amani yako, na jenga uwezo wa kujijibu mwenyewe.
❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️👏🙏
 
Tufe na tai shingoni sio ?

Wanasaikolojia wanasema, ile tu kumsimulia mtu changamoto unazopitia, hata kama hujatatua hio changamoto kuna namna unapona maumivu/msongo/msononeko
Hapana sijasema usishirikishe watu ila sio kila tatizo ni la kushirikisha watu

Maana wakati mwingine tunaweza kutatua wenyewe bila kushirikisha watu na pengine hao watu wasiwe watu sahihi wa kuwashirikisha
 
Binti:

Huwa napendelea sana mada zako maana, kwa kiasi fulani, zinaonyesha ukomavu katika baadhi ya mambo. Hata hivyo kuna wakati huwa nahisi kama wakati mwingine thread zako zinakuwa ndefu unnecessarily. Kama unavyojua attention span ya watu wengi siku hizi ni shida. Hivyo pengine kuna watu wengi tu ambao wanakosa busara zako kwa uzi kuwa mrefu bila sababu za msingi. Kama ukiweza, na kama ulimwelewa vizuri mwalimu wako wa Ufupisho darasa la 4 somo la Kiswahili, hebu jaribu kuwa unazifupisha hizi thread bana bila kuzipotezea utamu na mguso wake. Huu ni ushauri na observation yangu tu na so lazima uuzingatie 🙏🏿
Asante kwa maoni yako karibu tena
Back to the topic: Privacy is power hasa kwetu introverts. Mpaka nikaseme kitu kwa mtu aisee labda sijui iweje. Labda nikiambiwa nina terminal cancer na nina mwezi mmoja tu wa kuishi. Naamini kwamba mbali na mama yangu, hakuna mtu mwingine anayenitakia mema kwa asilimia 100 hapa duniani. Hata marafiki zangu naamini hawapendi wakisikia I am doing better than them. Ndo maana hata ikitokea nikawashirikisha kitu (kizuri au kibaya), sisemi ukweli wote. Nasema ambacho nadhani kitaendana na uhalisia wao. Ndivyo ninavyoishi. Nikibanana sana afadhali nikaongee na therapist huko asiyenijua au bro wangu asiye na makuu Evelyn Salt 😂😂😂

Zaidi ya hapo ni mimi na Mungu wangu tunasaidiana kutatua changamoto zinazotukabili 🙏🏿
Hongera sana bro karibu tena
 
Siyo kwa ubaya pia lakini naomba nikusahihishe Mkuu.

Iko hivi, unapozungumzia mambo ya kina kama emotional intelligence, healing, na self counseling unahitaji context, ukiandika kifupi unaua picha halisi ya tatizo na unamnyima msomaji nafasi ya kutafakari hatua kwa hatua.

Watu wengi ambao huwa wanakimbia threads ndefu ukifuatilia walio wengi huwa hawana uwezo wa kusoma kwa umakini, unapowaandikia kifupi hapo unawalisha chakula kilichotafunwa.

Ni heri kuwa na wasomaji na wachangiaji hata 10 ambao watakuwa wameelewa context nzima kuliko kuwa nao 100 ambao wataishia kusoma juu juu tu na wasielewe context nzima ya mada.
Upo sahihi ngoja tuende na wachache wanaolewa

Uzuri ni kua nina aina nyingi za mada
Mara nyingine nakua kwenye siasa
Kwenye habari kama hizi za leo
Bila kusahau mada za wakubwa 😅

So kila mmoja anaependa kusoma mada zangu ata enjoy tu
 
Back
Top Bottom