ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,775
- 42,270
- Thread starter
- #121
Uko vizuri sana hongera kakaNina Jinsi ya kutatua changamoto zangu
Ikiwa nahitaji ushauri wa kutoka nje huwa napenda kuweka tatizo langu Kwa njia ya maswali ambapo huwa nauliza watu zaidi ya mmoja, pia Kuna muda nahitaji tu mtu wa kunisikiliza bila ya yeye kushauri chochote
Aiseee kumbe hii ni njia moja yapo ya kutatua matatizona Kuna muda nataka kuwa muda nataka either nilewe au nitombane tu.