Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,409
- 31,393
''Bongolander'' yapo mambo unajichanganya sana. Umetueleza uwepo wa ''tangible outcome'' katika TAMISEMI. Halafu unasema huna takwimu za ku-back up hoja zako
Baada ya hapo unatueleza yapo maendeleo katika maji, umeme, shule na zahanati
You're all over the place!!
Pili, kuna kitu hukielewi kuhusu demokrasia. Unaitazama demokrasia kwa mtazamo mfupi.
Demokrasia imeelezwa vema na watu wa political science
Demokrasia si uchaguzi ! Ni mfumo ambao uchaguzi ni mchakato ndani yake
Demokrasia ina tafsiri pana sana lakini kwa ufupi inahusu kushirikisha watu katika maamuzi yanayowahusu, kufuata utawala wa sheria na muhimu zaidi ni kulinda haki za Raia
Tatu, dhana kwamba demokrasia imetoka magharibi si kweli, ni ufupi tu wa mawazo au kujifunza hasa kwa kuangalia historia yetu.
Machifu na Watemi walikuwa na mifumo ya demokrasia,kuanzia utawala, kushirikisha watu, kuwa na mambaraza ya maamuzi na kutoa haki kwa mtindo wa sheria.
Kilichotokea ni ku-modernize na ndipo unajichanganyikiwa ukidhani ni kitu kipya
Viongozi wasiotaka demokrasia siku zote hukerwa na element mbili za demokrasia ambazo ni utawala wa sheria na haki za watu
Labda nikuulize hivi akina Mwalimu Nyerere na waliofuata unaaminisha hawakuona haja ya maendeleo? Na kwanini basi walikubali kubeba dhana zote mbili, demokrasia na maendeleo!
Walikuwa wajinga! hawakuwa na ufahamu! au hawakuwa na maono!
Baada ya hapo unatueleza yapo maendeleo katika maji, umeme, shule na zahanati
You're all over the place!!
Pili, kuna kitu hukielewi kuhusu demokrasia. Unaitazama demokrasia kwa mtazamo mfupi.
Demokrasia imeelezwa vema na watu wa political science
Demokrasia si uchaguzi ! Ni mfumo ambao uchaguzi ni mchakato ndani yake
Demokrasia ina tafsiri pana sana lakini kwa ufupi inahusu kushirikisha watu katika maamuzi yanayowahusu, kufuata utawala wa sheria na muhimu zaidi ni kulinda haki za Raia
Tatu, dhana kwamba demokrasia imetoka magharibi si kweli, ni ufupi tu wa mawazo au kujifunza hasa kwa kuangalia historia yetu.
Machifu na Watemi walikuwa na mifumo ya demokrasia,kuanzia utawala, kushirikisha watu, kuwa na mambaraza ya maamuzi na kutoa haki kwa mtindo wa sheria.
Kilichotokea ni ku-modernize na ndipo unajichanganyikiwa ukidhani ni kitu kipya
Viongozi wasiotaka demokrasia siku zote hukerwa na element mbili za demokrasia ambazo ni utawala wa sheria na haki za watu
Labda nikuulize hivi akina Mwalimu Nyerere na waliofuata unaaminisha hawakuona haja ya maendeleo? Na kwanini basi walikubali kubeba dhana zote mbili, demokrasia na maendeleo!
Walikuwa wajinga! hawakuwa na ufahamu! au hawakuwa na maono!