Shule zenye ada ndefu zaidi Tanzania

Shule zenye ada ndefu zaidi Tanzania

15H4C9M1

Japokuwa kuna mtu hapo kaongea kiushabiki kiukweli hizo shule sio za watu maskini hata kwa standards za dunia ya kwanza, shule kama IST hata the median (typical) household in America(has a net worth of less than $15,000, excluding home equity) hawawezi ku-afford. Hizo shule zinawalenga senior expatriate officials ambao pia hata wao hulipiwa na ofisi zao kwa asilimia kubwa na watoto wa wafanyabiashara wakubwa nchini .

Na wanafunzi wanaomaliza hizo shule wengi wao wanakwenda kusoma vyuo vya America au ulaya maana ukimaliza IB Diploma ktk hizo shule ni rahisi sana kujiunga na chuo chochote kile hapa ulimwenguni hasa hasa ukiwa umefanya vizuri. Pia, kuhusu kusoma hapa nchini hutokea mara moja moja sana maana elimu ya vyuo vya Afrika Mashariki ni hovyo sana atleast Afrika kusini kwa hapa Afrika na kwenyewe kuna vyuo viwili vya maana kidogo (UCT na Pretoria). Kuna Rafiki yangu alimaliza IB diploma IST alisoma chuo kikuu cha Dar es Salaam japokuwa alipata chou kikuu cha Chicago aliamua kubaki hapa hapa.


Kuhusu kazi baadhi yao pia tupo nao maofisini hapa hapa bongo wengine wakimaliza vyuo hurudi mfano kuna mmoja nipo nae ofisini ni mchumi mwenzangu alimaliza Princeton University mwaka 2010 ktk kampuni ya mafuta na gesi na wengi sana wapo ktk auditing firms kama business analysts wawili wapo Delloitte mmoja kamaliza Harvard University (Econ 16') na mwingine kamaliza Yale University. Wote hao wamesoma IST au ISM pia almost wote ambao niliokutana nao makazini wamesoma Ivy league schools au vyuo vikubwa ulimwenguni maana yangu hapa wanakuwa na nafasi kubwa ya kufanya kazi mahala ppte duniani kwa reputation ya chuo alichosoma ukilinganisha na chuo kikuu cha Dar es Salaam au Nairobi au Makelele.

Kama una mfuko mpana ni shule nzuri sana kumsomesha mwanao zinampa exposure na platform nzuri ya kuwa global citizen tofauti na mtu wa style yangu niliyepita ktk mazingira ya kimaskini kidato cha kwanza mpaka cha sita ada elfu 70 kwa mwaka.😀
Dahhh ngoja nipambane kila kitu kinawezekana.
 
Na bado utasikia mzazi anasema mwanae kakosa nafasi pale IST kisa nafasi zimejaa.
 
Hahahaaa anashindwa kuajiri Hg(Mercury) aka House girl wa kuwa keep watoto SOAP SOAP kweli?? Au Mambo ya Majini Miiko ya Kafara?
Tangu ile ripoti ya gazeti kuhusu matumizi ya fedha za wizara, attendance ya mheshimiwa kwa wazee wa busara inaridhisha.
 
Ivi ktk shule hizo madarasn pia wamo vilaza eeh?

Je dvn one ya hapo na ya kayumba ina utofauti wowote?

Au ni sawa tu na kama,speed km 100 ya staret sawa na speed 100 ya Vx?

Najiswali kwa sauti
 
Ukiendelea na mawazo hayo kweli utabaki kuzisikia tu, ila ukikaa ukafanya kazi kutafuta mchomoko hizo ada za kawaida tu, milioni 20 kwa mwaka si kitu cha ajabu sana.
Kwelii mkuu...aluta continua...wataalamu wanasema:-
What you think,you become. What you feel,you attract. What you imagine, you create


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Izo za iringa na morogoro zinawanafunzi Kweli?
 
Back
Top Bottom