Black Mirror
JF-Expert Member
- Oct 17, 2019
- 829
- 1,039
Hazitumii mtaala wetu mkuu. Hivyo hata zenyewe zinaisikia kwa mbali hiyo necta na nacte.
mtu anauwezo wa kulipa 50mil kwa mwaka akasome na wewe udom..yaani ashindwe kwenda hata hapo nairobi aje asome na wewe udom acha utani mzee, asilimia kubwa ya hawa wanafunzi wanakuwa connected moja kwa moja na vyuo vya nje...wengine wanabaki hapahapa africa lakini sio Tanzania...baba anahela aache kwenda south africa au ulaya akasome na wewe udom..Na wote tunakutana udom tena koz moja
Sent from my iPhone using JamiiForums
hawa wanafanya mitihani ya nchi za nje kama Britain , na U.S na aliyesoma hapo ni kama amesoma hizo nchi nilizozitaja ,hata hawana shida na mfumo wa necta
Hizi shule hazitumii mtaala wa kitanzania, kwahiyo huwezi kuziona kwenye orodha ya Necta tuliyoizoea.