Shule za Zanzibar zina changamoto gani?

Last Seen

JF-Expert Member
Jun 7, 2013
223
549
Habari wana Jukwaa!

Zanzibar imekuwa na matokeo yasioridhisha kwa miaka na miaka, Shule zake nyingi zimekuwa zikishika nafasi za mwishoni pamoja na ufaulu mdogo na pia wanafunzi wengi wakipata alama hafifu.

Zanzibar imekuwa sio kipenzi cha wanafunzi kutoka bara kwenda Tanzania visiwani kupata elimu, iwe sekondari au elimu ta juu, kiwango cha elimu kiko chini mno na kunahitajika mikakati mbadala kuinusuru elimu ya Zanzibar.

Sijaweza kufanya tafiti za kutosha kuhusu Elimu inayotolewa huko...ila naona kuna shida mahali kati ya Wanafunzi au Walimu au hata Serikali.

Nimeona nililete hapa jukwaani ili wataalamu wa Mambo waweze kutoa maoni nini kifanyike.

Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Karibu shule zote za serikali ni za kisiasa. Wanafunzi wanafika kidato cha nne kwa vile ndiyo sera ya SMZ. Wengi hawana uwezo.

Kuna shule mbili tu ambazo inaonekana zimeruhusiwa kusimamia misingi mizuri na matokeo yake ni mazuri.
Lumumba na Fidel Castro.
 
Karibu shule zote za serikali ni za kisiasa. Wanafunzi wanafika kidato cha nne kwa vile ndiyo sera ya SMZ. Wengi hawana uwezo.
Kuna shule mbili tu ambazo inaonekana zimeruhusiwa kusimamia misingi mizuri na matokeo yake ni mazuri.
Lumumba na Fidel Castro.
Ujuwe hizo mbili Ni za watoto wa viongozi ili nao waje kua viongozi. Zilizobaki Ni za watoto wa wapiga kura. Wao wanapewa elm ya kuichagua CCM tu.
 
Hata huku bara shule zenye kuipa juzuu kipaumbele matokeo Yao hayana tofauti na ya shule za Zanzibar.
Kuna uhusiano wa juzuu na matokeo ya fomfoo. You can fry me but, that is the truth.
 
Habari wana Jukwaa!
Zanzibar imekuwa na matokeo yasioridhisha kwa miaka na miaka, Shule zake nyingi zimekuwa zikishika nafasi za mwishoni pamoja na ufaulu mdogo na pia wanafunzi wengi wakipata alama hafifu...
Si huwa hawataki kuchangamana, wacha waendelee kuzungusha

Ajira kwa walimu wazuri vijana wa bara hawatoi

Wabara (mtu binafsi au taasisi za kikristo) wakitaka ardhi wajenge mashule na makanisa yao wanabaniwa

Hizo sifuri zitaishaje!?!
 
Hata hayo matokeo ni sababu E1 anatokea kwao, tukienda kwa haki Zanzibar hata Division 4 wasingepata
Walianza kubebwa 2021 aliposhika usukani

Nakumbuka kulikuwa na tamasha la Kizimkazi akasema shule za kwao zinafeli sana...ajabu matokeo yaliyofuata wakabebwa kukawa eti kuna division two (hakuna changes za haraka namna hii kwenye elimu-wenye mashule wanajua hili)
 
Hata huku bara shule zenye kuipa juzuu kipaumbele matokeo Yao hayana tofauti na ya shule za Zanzibar.
Kuna uhusiano wa juzuu na matokeo ya fomfoo. You can fry me but, that is the truth.
Shule za serikali Zanzibar si shule za juzuu. Matokeo yanaonesha kiwango cha F za dini ni kikubwa.
Na hapa bara nyingi ya shule za serikali matokeo si mazuri.
 
Habari wana Jukwaa!
Zanzibar imekuwa na matokeo yasioridhisha kwa miaka na miaka, Shule zake nyingi zimekuwa zikishika nafasi za mwishoni pamoja na ufaulu mdogo na pia wanafunzi wengi wakipata alama hafifu...
Elimu ya kiimani inapewa kipaumbele zaidi kuliko elimu ya kidunia
 
Si huwa hawataki kuchangamana, wacha waendelee kuzungusha

Ajira kwa walimu wazuri vijana wa bara hawatoi

Wabara (mtu binafsi au taasisi za kikristo) wakitaka ardhi wajenge mashule na makanisa yao wanabaniwa

Hizo sifuri zitaishaje!?!
Heri zero na F's kuliko ukafir yakhee!
 
Wana minywa visogo akili zimehamia matakoni,matako nayo yamepigwa pass yani ni vurugu mechi,ilimu ya dini ya waarabu nako ni fafafa.

eb3f193a-bbb0-4c10-97d3-47234d334918.jpg
 
Back
Top Bottom