"Shule za vipaji maalum" inamanisha nini hasa?

"Shule za vipaji maalum" inamanisha nini hasa?

Dah huu uzi unatakiwa uwe mbele yake ndipo utajua kwanini vinaitwa hivyo.
Bado hujajibu swali! Cristiano tukisema ana kipaji maalum kila ataelewa, vivyo hivyo kwa messi,THT tukisema ni chuo cha vipaji kila mtu anaelewa!!

Sasa nakuuliza tena, hizi shule zina kipaji gani maalum??
 
Bado hujajibu swali! Cristiano tukisema ana kipaji maalum kila ataelewa, vivyo hivyo kwa messi,THT tukisema ni chuo cha vipaji kila mtu anaelewa!!

Sasa nakuuliza tena, hizi shule zina kipaji gani maalum??
Kukimbia, kucheza mpira, mziki n.k
 

Attachments

  • Screenshot_2018-08-07-21-25-01.jpeg
    Screenshot_2018-08-07-21-25-01.jpeg
    48.2 KB · Views: 30
  • Screenshot_2018-08-07-21-24-20.jpeg
    Screenshot_2018-08-07-21-24-20.jpeg
    40.2 KB · Views: 26
Kipaji cha kua first leaner, hakuna asiefaham kua shule ni ngumu kwa average pupil Yaani kujifunza vitu vipya kuvimudu na uwezo mkubwa wa kukumbuka ulichofundishwa baada ya muda mrefu hua ni mtihani sana kwa wengi. ..lakin wao wameweza kuyamudu hakika ni kipaji!!
Binafsi Nilisoma kwa bidii sana walau niingie mojawapo wa shule izo lakin unakuta hadi somo la kawaida kabisa una alama C jambo ambalo linachosha flan hv...
Wale wako makini kuweza kupata A zote sio jambo dogo
 
Kipaji au talent kipo cha mainly aina mbili pysical(footbal,golf,basket boxing etc) na mental sasa kwa tanzania wanadeal sana na mental though its hard to measure it wanatumia simplest measure to compare exams results anaefaulu vizuri ndio mwenye akili though unaweza kufaulu ukiweza kucremisha maswali buku na majibu yake!
 
Kipaji cha kua first leaner, hakuna asiefaham kua shule ni ngumu kwa average pupil Yaani kujifunza vitu vipya kuvimudu na uwezo mkubwa wa kukumbuka ulichofundishwa baada ya muda mrefu hua ni mtihani sana kwa wengi. ..lakin wao wameweza kuyamudu hakika ni kipaji!!
Binafsi Nilisoma kwa bidii sana walau niingie mojawapo wa shule izo lakin unakuta hadi somo la kawaida kabisa una alama C jambo ambalo linachosha flan hv...
Wale wako makini kuweza kupata A zote sio jambo dogo
@ upepo wa pesa.
 
Wengi wanaoenda Feza boys and girls(sio wote) wanakua na ufaulu wa kawaida tu.Sema mazingira na walimu walionao huwafanya wafaulu(napo sio wote)
 
Kipaji cha kua first leaner, hakuna asiefaham kua shule ni ngumu kwa average pupil Yaani kujifunza vitu vipya kuvimudu na uwezo mkubwa wa kukumbuka ulichofundishwa baada ya muda mrefu hua ni mtihani sana kwa wengi. ..lakin wao wameweza kuyamudu hakika ni kipaji!!
Binafsi Nilisoma kwa bidii sana walau niingie mojawapo wa shule izo lakin unakuta hadi somo la kawaida kabisa una alama C jambo ambalo linachosha flan hv...
Wale wako makini kuweza kupata A zote sio jambo dogo
Kwa hiyo kufaulu kwa kukariri ni kipaji maalum?
 
Hii ni talent au kipaji. Je nini maana ya "kipaji MAALUM"? naomba majibu tafadhali.
 
Wengi wanaoenda Feza boys and girls(sio wote) wanakua na ufaulu wa kawaida tu.Sema mazingira na walimu walionao huwafanya wafaulu(napo sio wote)
Feza kama huna div one hugusi. By the way, kufaulu ni "kipaji maalum"?
 
Najua swali lako ni je,kuwa na ufaulu wa juu ni kipaji?.My answer is yes. Vijana wana talent ya kuelewa na kudadavua mambo.
Kwa hiyo nikisoma shule ya kata na nikapata one nzuri shule yangu ya kata itakua shule ya vipaji maalum?
 
Kwa hiyo ufaulu ni kipaji? Sasa kwann feza boys na girls zisijiite shule za vipaji maalum?
Hawajaamua tu,ila extra thing walichonacho ni best learning environment,books,teachers,hakuna kazi msosi mzuri,na akili wanazo ndio maana wanafaulu almost wooote....wanapata vipaji vyao kwa kufanya mchujo wa nguvu baada ya kujenga jina
 
Back
Top Bottom