"Shule za vipaji maalum" inamanisha nini hasa?

"Shule za vipaji maalum" inamanisha nini hasa?

Jamani Member hili ndilo jibu SAHIHI kabisa
kuna kitu kinaitwa Pure Mathematic, Physics, Chemistry, Biology na Math ya kawaida na wanapewa waalimu pia vigongo maana wakizubaa wanaweza kufundishwa na haohao wanafunzi/
Hizi shule za siasa/siasa na kiswahili au Ualimu si za wataalamu (si za vipaji) ni kuwaandaaa wabwabwaji tu mitaani na kwennye vyama vya siasa CHUNGUZA
Walimu wengi wa kawaida ila mazingira yanawashape wakomae kuwa nondo......shule km marian,na za watakatifu wengine ndio wanahakikisha wana vyote wanafunzi walimu na mazingira vyote viwe nondo!
 
Nilikuwa kipanga wa shule za kata nikapelekwa kipaji maalum A level aisee kumbe sikuwa special student ila nilifaulu maksi za special kwa upande o level yaliyonikuta kule siri yangu.
 
Nilikuwa kipanga wa shule za kata nikapelekwa kipaji maalum A level aisee kumbe sikuwa special student ila nilifaulu maksi za special kwa upande o level yaliyonikuta kule siri yangu.
Wengine wanakimbia kabisa walozea mteremko
 
Hii dhana ya shule za vipaji maalum, inanipa shida kidogo kutokana na sababu zifuatazo;

Ndio, wanachaguliwa walio na maksi za juu, lakini:

- Walimu wanaofundisha ni walewale kama wa shule za kawaida,

- Mtihani wanafanya uleule kama wa shule za kawaida na kushindanishwa ni kule kule kwa vigezo vile vile.

Huu ukipaji maalum, unahusu nini haswa?
Achaa kujidai unajuaa akatii hujuii kituuu....!! Waalimu wanaofundisha Vipaji maalumu CV zao zipo njemaa kijanaa usiwakadiriee kishambaa
 
Mimi nilisoma Shule hizo sikuwa na division one, nilikuwa na daraja la 2,
 
Ila ufaulu wa shule za vipaji ni kutokanaa na Wanafunzi kuwa SMART KICHWANI aisee wachache Sana wanaosubirii waalimu waje kufundishaaaa wengi wanasomaa Vitu mapemaa sanaaa
 
Kule vipaji hakuna hata kufundishwa sana, Tabora Boys mwalimu wa Geography aliondoka ulikuwa mwendo wa discussion na msuli tu
 
Wakati nakua mzee wangu alipenda niende shule moja hivi ya Vipaji maalum ila nilizembea nimekuja kujua alitaka nini tukiwa watu wazima.
Wkt ule tunafanya masomo ma3, best yangu alipata 127 akaenda Mzumbe, mi nikabaki shule ya wilaya yetu na 121 yangu! The end justifies the means.. Jamaa yangu alipofikia nikisema itakuwa namsimanga!
 
Slim5 pale ni jandoni wengi wao huwa wanaenda jandoni ili wawe wanaume.
Wkt ule tunafanya masomo ma3, best yangu alipata 127 akaenda Mzumbe, mi nikabaki shule ya wilaya yetu na 121 yangu! The end justifies the means.. Jamaa yangu alipofikia nikisema itakuwa namsimanga!
 
Mwongo!shule gan mwaka gan nkuulize maswali kadhaa...labda ulikuwa mtoto wa 'wakubwa' uliepitia back door kwani hao pia wapo
 
Nimebahatika kusoma Mzumbe. Aisee, kule kuna inteligent creatures. Swali ambalo mtu wa kawaida anaweza lisolve kwa wiki tatu, kipanga wa Mzumbe analisolve kwa dk 15. Kuna watu wana akili, acha tu.
Ivi kusovu swali kwa dakika 15 ni kipaji maalum??

Mbona mm nilikua nasovu naswali ya hesabu kwa dakika tano je hiki ni kipaji maalum?
 
Wakati nakua mzee wangu alipenda niende shule moja hivi ya Vipaji maalum ila nilizembea nimekuja kujua alitaka nini tukiwa watu wazima.
Hicho kipaji maalum ni kipi? Kucheza mpira, ngoma, kumba au kuchora??

NB: kufaulu mtihan sio kipaji na kama ingekua kipaji basi st fransis na feza zilipaswa ziitwe shule za vipaji maalum.
 
Ni wale walio na ufaulu wa juu darasa la saba ili kuingia kidato.cha kwanza,na waliofanya vizuri kidato cha nne kuingia kidato cha tano,mf.mm darasa langu f.vpcm kibaha enzi hizo.wote walikuwa na div one from.olevel,na AAA za combination
Ivi kufaulu mtihan ni kipaji maalum? Nini maana ya kipaji?
 
Ila ufaulu wa shule za vipaji ni kutokanaa na Wanafunzi kuwa SMART KICHWANI aisee wachache Sana wanaosubirii waalimu waje kufundishaaaa wengi wanasomaa Vitu mapemaa sanaaa
Kwann unasema shule za vipaji? Wana vipaji gani hasa?
 
Kwa hapa kwetu Tz, ili uende hizi shule za vipaji maalumu kama Mzumbe, Kibaha, Ilboru na nyinginezo. Sifa kubwa ni kufaulu mitihani tu mzee.
Hujajibu swali kwann unaziita vipaji maalum? Wana vipaji gani maalum?
 
Dah huu uzi unatakiwa uwe mbele yake ndipo utajua kwanini vinaitwa hivyo.
Hicho kipaji maalum ni kipi? Kucheza mpira, ngoma, kumba au kuchora??

NB: kufaulu mtihan sio kipaji na kama ingekua kipaji basi st fransis na feza zilipaswa ziitwe shule za vipaji maalum.
 
Hujajibu swali kwann unaziita vipaji maalum? Wana vipaji gani maalum?
Sio mimi ninaye ziita hivyo mkuu, kwa hapa kwetu tafsiri yao ya mwanafunzi kuingia hizo shule tajwa, "ufaulu " ndo unachukuliwa kama kipaji
 
Back
Top Bottom