Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,313
- 46,823
Mbona hata shule nyingine nyingi hali hiko hivo pia??Kule vipaji hakuna hata kufundishwa sana, Tabora Boys mwalimu wa Geography aliondoka ulikuwa mwendo wa discussion na msuli tu
Mbona hata shule nyingine nyingi hali hiko hivo pia??Kule vipaji hakuna hata kufundishwa sana, Tabora Boys mwalimu wa Geography aliondoka ulikuwa mwendo wa discussion na msuli tu
Huenda ata bongo zingekuwepo ila system ya elimu yetu imebase kwenye ufaulu mitihani tu,kuwasoma hao kina Newton....Mental talent ni za kina Isaac Newton..hawa hapa bongo ni wenye uwezo mkubwa wa kufaulu mitihani yao vizuri
Sasa kama kipaji SI unit yake ni kufaulu, kwann hutaki niite shule yangu ya kata (ilinifaulisha) shule vipaji?Hakuna shule kipaji (majengo kipaji haha) ni wanafunzi wanaopelekwa hapo ndio vipaji na mizani yake au SI unit kibongobongo ni outstanding performance
Je matokeo yakoje?Mbona hata shule nyingine nyingi hali hiko hivo pia??
Pia kwanini feza schools na zenyewe kwanini zisiitwe shule za vipaji??Sasa kama kipaji SI unit yake ni kufaulu, kwann hutaki niite shule yangu ya kata (ilinifaulisha) shule vipaji?
Km shule ndio imekufaulisha mngefaulu wote,sasa darasa lina wanafunzi 100 div 1 zipo 3!tuiite shule ya vipaji kweli?Sasa kama kipaji SI unit yake ni kufaulu, kwann hutaki niite shule yangu ya kata (ilinifaulisha) shule vipaji?
Hawa akina newton ni moja ya wenye "vipaji maalum"...hii kukariri na kuiba mitihan si kipaji maalum.Huenda ata bongo zingekuwepo ila system ya elimu yetu imebase kwenye ufaulu mitihani tu,kuwasoma hao kina Newton....
Una uhakika gani tulikua 100? Na una uhakika gani hatukupata div one? Je hizo shule zako unazoziita za vipaji maalum hawana div 4 na zero? Kama kufaulu ni kipaji, kwann basi uendelee kuziita shule za vipaji ilhali wana div zero na four?Km shule ndio imekufaulisha mngefaulu wote,sasa darasa lina wanafunzi 100 div 1 zipo 3!tuiite shule ya vipaji kweli?
Haha,I have been there br NO CHEATING ,ndio maana hawapati one wote nakuhakikishia wangepata treatment km za feza au marian 99% wangekuwa na one...mostly ni msuli ukiwa brHawa akina newton ni moja ya wenye "vipaji maalum"...hii kukariri na kuiba mitihan si kipaji maalum.
Kwa definition yao hizi ndio shule ilibidi ziite za vipaji.Pia kwanini feza schools na zenyewe kwanini zisiitwe shule za vipaji??
Ili ufaulu ni LAZIMA usome kwa elimu ya bongo (labda km utaibia,na kuibia lazima uwe na kitu kichwani) sasa km husomi utafeli tu hakuna namna....ubaya zamani shule za gvt hawafwatilii sana ujitambue mwenyewe tu,usipojielewa UTAFELI TUUna uhakika gani tulikua 100? Na una uhakika gani hatukupata div one? Je hizo shule zako unazoziita za vipaji maalum hawana div 4 na zero? Kama kufaulu ni kipaji, kwann basi uendelee kuziita shule za vipaji ilhali wana div zero na four?
Hujajibu swali. Soma maswali uyajibu yote, kama huwezi kaa kimya.Ili ufaulu ni LAZIMA usome kwa elimu ya bongo (labda km utaibia,na kuibia lazima uwe na kitu kichwani) sasa km husomi utafeli tu hakuna namna....ubaya zamani shule za gvt hawafwatilii sana ujitambue mwenyewe tu,usipojielewa UTAFELI TU
Mwalimu wako alipata tabu sana km kichwa chako ni kizito hivi dahHujajibu swali. Soma maswali uyajibu yote, kama huwezi kaa kimya.
Wana akili za ziadaa hicho nacho ni kipajiiiKwann unasema shule za vipaji? Wana vipaji gani hasa?
Matokeo sio siri kwa olevel gvt ni majanga,hakuna shule hata moja ya kata 50% wamepata one,labda sio TZ,na za kata almost zote ni olevel,sa sijui yako ipi?kwa wanaopata 4 na 0 special hawasomi,au kuumwa,panic etc na ni % ndogoHujajibu swali. Soma maswali uyajibu yote, kama huwezi kaa kimya.
Huo ni mfano tu,kwan mi najua ulisoma wapi na mlikuwa wangap?ila umesema shule ya kata na reality kwa bongo hakuna asiyejua matokeo,its a factHujajibu swali. Soma maswali uyajibu yote, kama huwezi kaa kimya.
Akili gani ya ziada?Wana akili za ziadaa hicho nacho ni kipajiii