Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,786
- 35,761
Hii ni dhana ya kijinga sana katika hii karne, yaani kukariri na kuiba mtihan siku hizi ni kipaji.Nilishalihoji sana hilo hapa nikaishia kuitwa mwenye wivu.
Hii ni dhana ya kijinga sana katika hii karne, yaani kukariri na kuiba mtihan siku hizi ni kipaji.Nilishalihoji sana hilo hapa nikaishia kuitwa mwenye wivu.
Twende taratibu mkuu! Unafaham maana ya kitu kuwa maalum? Je kufaulu (tena kwa kuiba mitihani au kukariri) ni "kipaji maalum"?Kwa mfumo wa maswali unahitaji uwe unaelewa unachosoma, it's obvious ukishafaham kujumlisha unafaham tu hata uzivuruge vipi numbers
Hiyo mbona simple tu zinaitwa shule za vipaji kwani zinawakusanya kina ninyi wenye wani kali,itoke kata,utakatifuni,seminaries aan popoteKwa hiyo nikisoma shule ya kata na nikapata one nzuri shule yangu ya kata itakua shule ya vipaji maalum?
Aisee. Unaelewa maana ya kitu kuwa maalumu?Hawajaamua tu,ila extra thing walichonacho ni best learning environment,books,teachers,hakuna kazi msosi mzuri,na akili wanazo ndio maana wanafaulu almost wooote....wanapata vipaji vyao kwa kufanya mchujo wa nguvu baada ya kujenga jina
Kuiba mitihan au kukariri iyo ni agenda yako mpya...usipende kubadili mada iliomezaniTwende taratibu mkuu! Unafaham maana ya kitu kuwa maalum? Je kufaulu (tena kwa kuiba mitihani au kukariri) ni "kipaji maalum"?
Rudia tena kusoma mkuu, acha haraka. Nimesoma shule ya kata nikapata one nzuri tu, je shule yangu ya kata itaitwa shule kipaji?Hiyo mbona simple tu zinaitwa shule za vipaji kwani zinawakusanya kina ninyi wenye wani kali,itoke kata,utakatifuni,seminaries aan popote
Kuna mental talent na physical talent,makongo ndio physical...Walikosea kuziita shule za vipaji..hizi ilboru,mzumbe,kibaha zilitakiwa ziitwe shule za wenye ufaulu wa juu..shule ya kipaji ni kama makongo sec..
Mkuu acha haraka, elewa mada. Je kufaulu ni "kipaji maalum"? Je unaelewa maana ya kipaji maalum?Kuiba mitihan au kukariri iyo ni agenda yako mpya...usipende kubadili mada iliomezani
Na wewe elewa haraka au hauna kipaji?wewe utakuwa kipaji maalum km unaenda advance utapelekwa ukutane na vipaji maalum vingine kwenye shule za za vipaji maalum SHULE YAKO ITAENDELEA KUWA YA KATARudia tena kusoma mkuu, acha haraka. Nimesoma shule ya kata nikapata one nzuri tu, je shule yangu ya kata itaitwa shule kipaji?
Mental talent ipo ndio ila hapa bongo hizo shule ni za waliofaulu vizuri,,..kwanini useme ni vijana ambao wana mental talent??Kuna mental talent na physical talent,makongo ndio physical...
Tatizo lako Ni moja,unapenda kuzunguka mada embu hit point,kama ww unahisi unaijua maana iweke apa ,usitake kubadili swali la kujumlisha liwe la kutoa kwavile ww ni mzuri sana kwenye Maswali ya kutoaMkuu acha haraka, elewa mada. Je kufaulu ni "kipaji maalum"? Je unaelewa maana ya kipaji maalum?
Kwa mtindo huu Elimu ya tanzania ina safari ndefu sana.Kuna mental talent na physical talent,makongo ndio physical...
Tukiwa na watu kama wewe safari lazima iwe ndeeefu,define kipaji wewe basi utusaidie wengineKwa mtindo huu Elimu ya tanzania ina safari ndefu sana.
Kwa hiyo hizo shule unaziita za vipaji maalum kwa sababu wanafaulu sasa kwa nn shule yangu ya kata hutaki iitwe shule vipaji maalum wakati nao wamefaulisha?Na wewe elewa haraka au hauna kipaji?wewe utakuwa kipaji maalum km unaenda advance utapelekwa ukutane na vipaji maalum vingine kwenye shule za za vipaji maalum SHULE YAKO ITAENDELEA KUWA YA KATA
Sasa kama wewe unaye jiita una kipaji maalum hujui maana ya kipaji, je kuna uhalali wa hizo shule zenu ziitwe shule za vipaji maalum? Ilhali nyie tu hamjui hata maana ya kipaji?!Tukiwa na watu kama wewe safari lazima iwe ndeeefu,define kipaji wewe basi utusaidie wengine
Hakuna shule kipaji (majengo kipaji haha) ni wanafunzi wanaopelekwa hapo ndio vipaji na mizani yake au SI unit kibongobongo ni outstanding performanceKwa hiyo hizo shule unaziita za vipaji maalum kwa sababu wanafaulu sasa kwa nn shule yangu ya kata hutaki iitwe shule vipaji maalum wakati nao wamefaulisha?
Mental talent ni za kina Isaac Newton..hawa hapa bongo ni wenye uwezo mkubwa wa kufaulu mitihani yao vizuriKwa hiyo hizo shule unaziita za vipaji maalum kwa sababu wanafaulu sasa kwa nn shule yangu ya kata hutaki iitwe shule vipaji maalum wakati nao wamefaulisha?
Nmekuwekea na screenshot huelewi sasa labda kuna unayoijua ww ndio nataka nikusaidie kwa ulichonacho...ata yesu aliwauliza watu wa harusini mna nini?ndio kidogo kikabarikiwa ikawa divai nying(km ni christianSasa kama wewe unaye jiita una kipaji maalum hujui maana ya kipaji, je kuna uhalali wa hizo shule zenu ziitwe shule za vipaji maalum? Ilhali nyie tu hamjui hata maana ya kipaji?!
Naona mnashindwa kunipa majibu. Mnabaki kuruka ruka tu.Tatizo lako Ni moja,unapenda kuzunguka mada embu hit point,kama ww unahisi unaijua maana iweke apa ,usitake kubadili swali la kujumlisha liwe la kutoa kwavile ww ni mzuri sana kwenye Maswali ya kutoa