ndekarishia
Senior Member
- Feb 9, 2012
- 106
- 22
Nimekuwa nikizikumbuka shule za miaka ya 80 na 90 ambazo kila mzazi alitamani mwanae asome mojawapo kati ya hizo. Mimi binafsi nilifaulu std VII kwenda Mawenzi sec Moshi lakini mzee wangu alinihamishia Umbwe mapema sana, hiyo ilikuwa 1992. Najiuliza kipindi kile shule hizi zilikuwa na nini na kwa sasa hazisikiki tena?
Shule hizo ni Umbwe, Weruweru, Ashira, Usagara, Galanos, Pugu, Ilboru, azania, Jangwani, Mazengo, Msalato, Iringa Girls, Tosamaganga,, Loleza, Mbeya Sec, Mzumbe, Kibaha, Tanga Tech, Minaki, Nganza, Songea Boys/girls, old Moshi, nk...
Kilichozipoteza shule hizi nini?
Shule hizo ni Umbwe, Weruweru, Ashira, Usagara, Galanos, Pugu, Ilboru, azania, Jangwani, Mazengo, Msalato, Iringa Girls, Tosamaganga,, Loleza, Mbeya Sec, Mzumbe, Kibaha, Tanga Tech, Minaki, Nganza, Songea Boys/girls, old Moshi, nk...
Kilichozipoteza shule hizi nini?