A
Anonymous
Guest
Mimi ni Mkazi wa Kijiji cha Kishangazi, Kata ya Shaghayu, Wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga. Shule yetu ya Msingi Kishangazi, hapa kijijini ina Mwalimu mmoja tu kuanzia chekechea hadi darasa la saba, hivyo tunaomba serikali iliangalie hili.
Walimu wameajiriwa lakini hawataki kuingia shuleni unawakuta mitaani tu ama wengine wanadai wanaenda kusoma lakini unawaona mitaani wanazurura.
Ufafanuzi wa Serikali ~ Ofisi ya DED kuchunguza madai ya Walimu kukwepa majukumu ya kufundisha katika Shule ya Msingi Kishangazi (Tanga)
Walimu wameajiriwa lakini hawataki kuingia shuleni unawakuta mitaani tu ama wengine wanadai wanaenda kusoma lakini unawaona mitaani wanazurura.
Ufafanuzi wa Serikali ~ Ofisi ya DED kuchunguza madai ya Walimu kukwepa majukumu ya kufundisha katika Shule ya Msingi Kishangazi (Tanga)