Kero ilikuwa kuvunwa mikanda kwenye scramble ya mesini, ukiwa na mtambo wa kuboil maji wewe ni mtemi..... ile baridi kali assemble ni bora kujificha darini tu.
Meta sekondari ni ya wazazi wa CCM, ninayoitafuta lilikuwa ya serikali lilikuwa shule ya bweni na haikuwa mbali sana na uwanja wa mpira wa zamani ilitenganishwa na uwanja wa Raga (rugby). Au CCM ilichukua?
Acha kabisa. Nilikuwa na mitambo miwili nilikuwa nachesha mahindi tuuu. Ukiingia Bweni la Luthuli darini kuna mabunzi ya mahindi kama gunia 10 hivi. Nilikuwa naiba mahindi mashamba ya barabarani jirani na uwanja wa basket
Kero ilikuwa kuvunwa mikanda kwenye scramble ya mesini, ukiwa na mtambo wa kuboil maji wewe ni mtemi..... ile baridi kali assemble ni bora kujificha darini tu.