StingRay
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 503
- 628
Wahusika wa Wizara ya Elimu mnaosimamia Kata, Wilaya, Mikoa na ngazi ya Taifa yaani Waziri, hili suala la shule binafsi za msingi kulazimisha watoto wa darasa la Nne na Saba kulala bweni ni halisi na linafaida kubwa kiwango cha kubadilisha maana halisi ya "Elimu ya Msingi" kuwa la lazima Tanzania??
Yaani mzazi analazimika kulipa fedha karibu mara 2 ya ada ya kawaida ya mwaka, mfano mathalani ada ni 1,500,000/= unalazimika kulipia 2,500,000/= kwa darasa la 4&7 hii imekuwa kawaida tu na wasimamizi wa elimu mnaliona hili. Elimu ya msingi ya Tanzania inakuwa hovyo sana na wasimamizi wanaangalia tu.
Natamani kusikia tamko la hili kama ni halali ama la kutokana na muongozo wa Wizara na sera zake zinazohusu sekta ya elimu.
Walimu na wadau wa elimu mnaliona je na kulima hili?
Nawasilisha.
Yaani mzazi analazimika kulipa fedha karibu mara 2 ya ada ya kawaida ya mwaka, mfano mathalani ada ni 1,500,000/= unalazimika kulipia 2,500,000/= kwa darasa la 4&7 hii imekuwa kawaida tu na wasimamizi wa elimu mnaliona hili. Elimu ya msingi ya Tanzania inakuwa hovyo sana na wasimamizi wanaangalia tu.
Natamani kusikia tamko la hili kama ni halali ama la kutokana na muongozo wa Wizara na sera zake zinazohusu sekta ya elimu.
Walimu na wadau wa elimu mnaliona je na kulima hili?
Nawasilisha.