Shule binafsi kulazimisha darasa la 4&7 kulala bweni

Wahusika wa wizara ya elimu mnaosimamia Kata, Wilaya, Mikoa na ngazi ya Taifa yaani Waziri, hili suala la shule binafsi za msingi kulazimisha watoto wa darasa la Nne na Saba kulala bweni ni halisi na linafaida kubwa kiwango cha kubadilisha maana halisi ya "Elimu ya Msingi" kuwa la lazima Tanzania??

Yaani mzazi analazimika kulipa fedha karibu mara 2 ya ada ya kawaida ya mwaka, mfano mathalani ada ni 1,500,000/= unalazimika kulipia 2,500,000/= kwa darasa la 4&7 hii imekuwa kawaida tu na wasimamizi wa elimu mnaliona hili. Elimu ya msingi ya Tanzania inakuwa hovyo sana na wasimamizi wanaangalia tu.

Natamani kusikia tamko la hili kama ni halali ama la kutokana na muongozo wa Wizara na sera zake zinazohusu sekta ya elimu.

Nawasilisha....
Kauli kama hizi huwezi kuzisikia kwa Magu , Mkapa , Mwinyi , n.k kuzisema mtandaoni kwasababu wanajua kitu wanachokipata wanae ili waje kukuongoza wewe unaekuja kulialia hapa mitandaoni.
 
Wahusika wa wizara ya elimu mnaosimamia Kata, Wilaya, Mikoa na ngazi ya Taifa yaani Waziri, hili suala la shule binafsi za msingi kulazimisha watoto wa darasa la Nne na Saba kulala bweni ni halisi na linafaida kubwa kiwango cha kubadilisha maana halisi ya "Elimu ya Msingi" kuwa la lazima Tanzania??

Yaani mzazi analazimika kulipa fedha karibu mara 2 ya ada ya kawaida ya mwaka, mfano mathalani ada ni 1,500,000/= unalazimika kulipia 2,500,000/= kwa darasa la 4&7 hii imekuwa kawaida tu na wasimamizi wa elimu mnaliona hili. Elimu ya msingi ya Tanzania inakuwa hovyo sana na wasimamizi wanaangalia tu.

Natamani kusikia tamko la hili kama ni halali ama la kutokana na muongozo wa Wizara na sera zake zinazohusu sekta ya elimu.

Nawasilisha....
Elimu ya kutafuta 'A'
 
Wahusika wa wizara ya elimu mnaosimamia Kata, Wilaya, Mikoa na ngazi ya Taifa yaani Waziri, hili suala la shule binafsi za msingi kulazimisha watoto wa darasa la Nne na Saba kulala bweni ni halisi na linafaida kubwa kiwango cha kubadilisha maana halisi ya "Elimu ya Msingi" kuwa la lazima Tanzania??

Yaani mzazi analazimika kulipa fedha karibu mara 2 ya ada ya kawaida ya mwaka, mfano mathalani ada ni 1,500,000/= unalazimika kulipia 2,500,000/= kwa darasa la 4&7 hii imekuwa kawaida tu na wasimamizi wa elimu mnaliona hili. Elimu ya msingi ya Tanzania inakuwa hovyo sana na wasimamizi wanaangalia tu.

Natamani kusikia tamko la hili kama ni halali ama la kutokana na muongozo wa Wizara na sera zake zinazohusu sekta ya elimu.

Nawasilisha....
Taratibu za shule zifuatwe na kila Mzazi aliyekubali kwa hiari yake kumsomesha mwanae shule binafsi wakati shule za serikali zimesambaa kila kona na gharama ni bure kwa mzazi.

Kwa mtu mwenye akili alipaswa kuhesabu gharama kabla ya kuwasajili watoto shule binafsi kama mtaweza kwa miaka yote au la ?
 
Kwa kuwa wenye shule ndio wanapanga ratiba za hao watoto kuna cha ziada wanachowafundisha nje ya ule muda wa kawaida wa masomo.

Wenye shule binafsi wanapanga wakijua hiyo ratiba ina faida kwao... Ila hao hao watoto wanaoenda boarding kwenye matokeo ya ujumla wanakua sawa na wale wasiokwenda bweni wala wasiolipa hizo milioni za ada

Kibaya ni kwamba usipompleka mwanao huko boarding ujue tuu atakosa maandalizi. Na huwezi mpeleka bila kulipia gharama za ziada

Kupanga ni kuchagua
 
Okay lakini jaribu tena ku-revisit post yako kwa kuangalia vipengele hivi;
1-"Elimu ya Msingi" kwamba ni lazima aipate
2- Darasa la 4&7
3- Ada kupanda 1,500,000/=>>>>2,500,000/=

But be critical to the argument, from local to global....
Kumbuka akienda bweni gharama zinaongezeka....kulala umeme kula na maji n.k na wanasoma sometime usiku. Me wangu nilipambana nao la nne hakwenda alikuwa day tu but wao wana hoja zao kuwa wakiwa boarder watasoma vzr lakkni la nne me sikutaka mtoto wangu alikuwa bado hajajuaaa sana kujitegemea kama kufua vitu vidogo vidogo. But ada sio big deal sana mkuuu 2.5m kwa private hela ya kawaida. La saba me nitaruhusu aende boda....maana atakuwa anajua kujitegemea na baadhi ya maambo amekuwa muelewaaa. Broooo elimu ya private ni gharama kama vipi hela imekata mrudishe serikalini then mtafutie tuition au walimu hao hao wa private waje home...kuna jamaa yangu ye kafanya hivyo
 
Issue si kipato bali uhalali wa malipo. Kama unalipa tu kila bili inayoletwa kwako, then hujui ku manage kipato chako.
Tatizo la watu wazima na wengine wasomi kushindwa kufikiri na kutoa majibu yenye mashiko limetokana na nini? Mfumo mbovu na kukariri madesa,wamezoea wizi na uongo,hawana tena uwezo wa kufikiri.Wengi wanaongea lugha moja ya kipumbavu na kuwaza ngono,haya aliyatabiri Ngugi wa Thiong'o katika Devil on the Cross.
 
Hapa unaangalia gharama ama huduma anazopata mtoto na ni reasonable? To me that fee is very fair tena imekua cheap. Sitaki kulinganisha na akina FEZA. Yaan ni cheap. Huhawaza malazi, chakula, tuition kama watahiniwa maana ni nje ya mtaala, kuna matumizi ya mahi, umeme, miundombinu kutumika. Umefikiria hayo kabla ya kulalamika? And yes, kwani wamevunja sheria gani hapo? Jamani.. watu munajua kweli gharama za kurun mashule tena bweni? Yaan that 1m is more than fair. Na hapo mbona ni madarasa mawili tu na wala hayafuatani. Ama umeambiwa asome miaka yote bweni? Faida anaipata mwanao ama mwenye shule?

Kama unaona Elimu ni gharama jaribu ujinga.
Yawezekana mambo hayahaenda poa kwako kwa sasa. Naamini kwa Imani yangu utaafford kumlipia na atamaliza. Na atarudi day. Ukiona hujaridhika nenda shuleni kaombe mchanganuo wa hiyo gharama. Ukaona huwezi pia basi muhamishie shule nyingine ambayo hawajaweka sharti la bweni ambayo ada kidogo. Zipo nyingi tu ijapokua utakua unasumbua ukuaji na ustawi wa Elimu ya mtoto kwa kumuhamisha hamisha...

All the bests to the kid
 
Hapa unaangalia gharama ama huduma anazopata mtoto na ni reasonable? To me that fee is very fair tena imekua cheap. Sitaki kulinganisha na akina FEZA. Yaan ni cheap. Huhawaza malazi, chakula, tuition kama watahiniwa maana ni nje ya mtaala, kuna matumizi ya mahi, umeme, miundombinu kutumika. Umefikiria hayo kabla ya kulalamika? And yes, kwani wamevunja sheria gani hapo? Jamani.. watu munajua kweli gharama za kurun mashule tena bweni? Yaan that 1m is more than fair. Na hapo mbona ni madarasa mawili tu na wala hayafuatani. Ama umeambiwa asome miaka yote bweni? Faida anaipata mwanao ama mwenye shule?

Kama unaona Elimu ni gharama jaribu ujinga.
Yawezekana mambo hayahaenda poa kwako kwa sasa. Naamini kwa Imani yangu utaafford kumlipia na atamaliza. Na atarudi day. Ukiona hujaridhika nenda shuleni kaombe mchanganuo wa hiyo gharama. Ukaona huwezi pia basi muhamishie shule nyingine ambayo hawajaweka sharti la bweni ambayo ada kidogo. Zipo nyingi tu ijapokua utakua unasumbua ukuaji na ustawi wa Elimu ya mtoto kwa kumuhamisha hamisha...

All the bests to the kid
Nimetamani sana nikutane nawe Pendo, lakini kwa kina inahitajika mjadala wenye maslahi ya elimu kwa taifa letu. Endelea kutafakari.....
 
Wahusika wa wizara ya elimu mnaosimamia Kata, Wilaya, Mikoa na ngazi ya Taifa yaani Waziri, hili suala la shule binafsi za msingi kulazimisha watoto wa darasa la Nne na Saba kulala bweni ni halisi na linafaida kubwa kiwango cha kubadilisha maana halisi ya "Elimu ya Msingi" kuwa la lazima Tanzania??

Yaani mzazi analazimika kulipa fedha karibu mara 2 ya ada ya kawaida ya mwaka, mfano mathalani ada ni 1,500,000/= unalazimika kulipia 2,500,000/= kwa darasa la 4&7 hii imekuwa kawaida tu na wasimamizi wa elimu mnaliona hili. Elimu ya msingi ya Tanzania inakuwa hovyo sana na wasimamizi wanaangalia tu.

Natamani kusikia tamko la hili kama ni halali ama la kutokana na muongozo wa Wizara na sera zake zinazohusu sekta ya elimu.

Nawasilisha....
Kigezo Kinachotumika Hapo Utasikia Ni Kwasababu Ni Madarasa Ya Mtihani , Kwa Mtoto Wa Darasa la Nne , Sasa si Waamue Kabisa iwe Shule Ya Bweni, Utakuta Watoto Wanapelekwa na Bodaboda Asubuhi na Mapema ili tu Kuwahi huo Utaratibu na Je wanaenda Kufanya Nini Kwamba Kweli mda Wa kawaida kuanzia Saa 7:30 Hadi Saa 4:00 hautoshi ?
Wazazi tujitahidi kuwasimamia Watoto na Kuwafatilia kwa Undani.
 
Kila upande huna hoja
Lakini wajibu hoja wameshinda
Ukiona mbaka umejaza fomu ya shule husika
Na mwanao umempeleka shule hiyo
Bi maana umekubali masharti yote ya shule
Sasa ukija kulalamika nje ya box ww ni mtata
Ndio maana nasema wajibu hoja wameshinda
Ili ni jambo binafsi ukiona mzigo mzito unafungasha virago
Unakwenda kwa jiwe /kule elimu ni cheeee.
 
Ningeona unaongelea labda kuigana kwa shule kulaza watoto hata zile ambazo haziko tayari kimazingira unakuta watoto wanalala kwenye darasa halina sifa vyoo havikidhi kutoa huduma vipo mbali mifumo ya nishati uzio hakuna chakula hakikidhi afya ndo uje kwenye ada
 
Wahusika wa wizara ya elimu mnaosimamia Kata, Wilaya, Mikoa na ngazi ya Taifa yaani Waziri, hili suala la shule binafsi za msingi kulazimisha watoto wa darasa la Nne na Saba kulala bweni ni halisi na linafaida kubwa kiwango cha kubadilisha maana halisi ya "Elimu ya Msingi" kuwa la lazima Tanzania??

Yaani mzazi analazimika kulipa fedha karibu mara 2 ya ada ya kawaida ya mwaka, mfano mathalani ada ni 1,500,000/= unalazimika kulipia 2,500,000/= kwa darasa la 4&7 hii imekuwa kawaida tu na wasimamizi wa elimu mnaliona hili. Elimu ya msingi ya Tanzania inakuwa hovyo sana na wasimamizi wanaangalia tu.

Natamani kusikia tamko la hili kama ni halali ama la kutokana na muongozo wa Wizara na sera zake zinazohusu sekta ya elimu.

Nawasilisha....
Wazazi wanaosomesha watoto private schools hawana tatizo na hilo. Isipokuwa wewe ndiye mwenye tatizo. Watu wanatafuta elimu bora , kama hutaki wa kwako awe day schooler
 
Future ya mtoto wako ni muhimu sana komaa ulipe au utafute penye unafuu"jikune unapoweza"
Mambo ya boarding yapo kitambo sana hata kwa primary.
 
Back
Top Bottom