Shule binafsi kulazimisha darasa la 4&7 kulala bweni

Nimetamani sana nikutane nawe Pendo, lakini kwa kina inahitajika mjadala wenye maslahi ya elimu kwa taifa letu. Endelea kutafakari.....
Mkuu... nimekaa shule za masista na tunakula.kawaida kbs ila hizo operating costs zake hasa chakula nakuambia usiongee. Ni vile shirika lilikua kubwa. Tena siyo miaka hii. Nilikua naaminika sana hivyo mambo mengi nainteract japo sinofficially. Miaka ya early 2000s. Na boarders tulikua tunalipa 2.7mil.

Na tunafahulu. Kumbuka pia hata kama hao wengine wanapata As shule za kawaida lakini exposure haziwezi lingana na kujielezea. Siku hizi watu wengi sana hatujui kujielezea kwa kingereza aisee. Form 1 nilifahulu na nikapangiwa korogwe girls. Na nilienda. Huwez amini nimefika pale kuna watu nao wamekuja form 1 hawajui hata kuandika jina. Sijui wamefahulu vipi. Wa eng med tulikua wachache sana kama 6 hv kati ya wanafunz 250 darasa letu. Wako watoto smart wanajiweza kwa kupambana ila majority hapana aisee na wamedahulu shule kubwa vile imagine. Kwakua elimu ya bure ni hovyo na nilijikuta naenjoy ule uhuru wa ile shule maana si lazima kusoma hakuna matron mpk mwl wa zamu awe mkali afatilie. Wakati huko private yaan kabla ya kengele yaan ushafika eneo husika. Hakika kule nilitoka na li 3 langu la nguvu yote hayo tulikua tunajazwa upepo kwann tutumie gharama kubwa kuendelea private wakat korogwe ni shule kubwa na nzuri sana. Na hata mzazi alipotaka nihamisha anirudishe private maana nilikua naumwa umwa daily niligoma kwasababu nimeshaonja raha ya kuwa free muda wowote hapo shule tofauti na private. Unaona madhara ya ucheap hayo? Na kati ya darasa zima 1 zilipatikana 8 kama sikosei. Baadaye akili zimenijia ndo najilaumu jinsi nilikua mpumbavu. Nikuhakikishie sikua nasoma kbs. Yaan mwl anavyotoka ndo na mm nimefunga daftari wakati private kila siku heka heka mitihani, walim muda wote wapo around. Yaan akili inakua active. Advance nikarudi zangu Baobab. Tuligharamika lkn matunda yalionekana. Nilipangiwa huko ifakara girls. Wana mashamba hukoo yaani unaitwa jina upangiwe mistari wengine wanakujibia hajaja huyo. Tusidanganyane kulima jembe la mkono ndo kujifunza maisha na teknolojia hizi wakati napaswa kuwa darasani muda huo na si kutafuta malengelenge.

Pia kumbuka mashule wana ujenzi daily. Marekebisho ya hapa na pale. Zote hizo ni gharama. Siyo government meza hamna, ukuta umepasuka na hakuna kinachofanyika lakini private huchukua hatua mara moja.

Umeme siku hizi ni gharama vibaya mno. Yaaan gharama zake kubwaa sana sana sana. Watalipiaje gharama? Nakuomba ulipie hiyo gharama mkuu mtoto asome usilalamike. Kama unataka mwanao apate C hayaa. Mtoto anatakiwa apate mazingira tulivu asome.
 
Wahusika wa wizara ya elimu mnaosimamia Kata, Wilaya, Mikoa na ngazi ya Taifa yaani Waziri, hili suala la shule binafsi za msingi kulazimisha watoto wa darasa la Nne na Saba kulala bweni ni halisi na linafaida kubwa kiwango cha kubadilisha maana halisi ya "Elimu ya Msingi" kuwa la lazima Tanzania??

Yaani mzazi analazimika kulipa fedha karibu mara 2 ya ada ya kawaida ya mwaka, mfano mathalani ada ni 1,500,000/= unalazimika kulipia 2,500,000/= kwa darasa la 4&7 hii imekuwa kawaida tu na wasimamizi wa elimu mnaliona hili. Elimu ya msingi ya Tanzania inakuwa hovyo sana na wasimamizi wanaangalia tu.

Natamani kusikia tamko la hili kama ni halali ama la kutokana na muongozo wa Wizara na sera zake zinazohusu sekta ya elimu.

Nawasilisha....
Kikao cha wazazi umehudhulia Mara ngapi?
 
Kila upande huna hoja
Lakini wajibu hoja wameshinda
Ukiona mbaka umejaza fomu ya shule husika
Na mwanao umempeleka shule hiyo
Bi maana umekubali masharti yote ya shule
Sasa ukija kulalamika nje ya box ww ni mtata
Ndio maana nasema wajibu hoja wameshinda
Ili ni jambo binafsi ukiona mzigo mzito unafungasha virago
Unakwenda kwa jiwe /kule elimu ni cheeee.
Yaan uzuri huwa unasaini pale chini kukubaliana na masharti yao. Mimi naona ni sawa kabisa.
 
Watu wanasomesha shule za Feza schools wanalipa milioni nane wewe unalalamika milioni mbili!!!! Vidole havifanani ondoa mwanao utashangaa unakuta wenzio kibao hawahamishi Watoto
Hisia zangu huwa zinanituma kuwa huwenda wewe ni mmoja wapo Wa kiongozi nchii kwa jinsi ulivyomstari Wa mbele kutetea chama tawala.
Ila kwa bahati mbaya sana sijawahi kuona ukitoa ushauri positive.
 
sasa wewe boya unakuja kulalamika huku iweje?
Mwamishe mwanao mpeleke kanumba acha kusumbua watu!
tatizo lako ni fedha inaonekana, kuna shule za bure mmpeleke huko!
 
Wahusika wa wizara ya elimu mnaosimamia Kata, Wilaya, Mikoa na ngazi ya Taifa yaani Waziri, hili suala la shule binafsi za msingi kulazimisha watoto wa darasa la Nne na Saba kulala bweni ni halisi na linafaida kubwa kiwango cha kubadilisha maana halisi ya "Elimu ya Msingi" kuwa la lazima Tanzania??

Yaani mzazi analazimika kulipa fedha karibu mara 2 ya ada ya kawaida ya mwaka, mfano mathalani ada ni 1,500,000/= unalazimika kulipia 2,500,000/= kwa darasa la 4&7 hii imekuwa kawaida tu na wasimamizi wa elimu mnaliona hili. Elimu ya msingi ya Tanzania inakuwa hovyo sana na wasimamizi wanaangalia tu.

Natamani kusikia tamko la hili kama ni halali ama la kutokana na muongozo wa Wizara na sera zake zinazohusu sekta ya elimu.

Nawasilisha....

Yaani ada ya primary inazidi ada za kozi za UDSM haaaaaa!!
 
Issue si kipato bali uhalali wa malipo. Kama unalipa tu kila bili inayoletwa kwako, then hujui ku manage kipato chako.
Mkuu kwanini tu usimpeleke kwa Kanumba Goverment, mbona wanafaulu tu na watafika Chuo Kikuu mradi uwe na muda wa kumfuatilia
umeshaambiwa kuna Feza school, kuna St Mary's kote huko ni madoido tu km pesa ipo wanarudi na mbwembwe kujua Computer, kuogelea kufunzwa kichina, kifaransa nk amayo hayapo katika Mtihani wa Taifa.
iongozi wetu wanataka Mashule hayo ambapo wazazi wanaitwa na kuafikiana bei ndio maana unasikia shule yetu ya kwanza kitaifa na mtoto wako atakuwepo.
km hilo hutaki achana nao shule za Kata zote zinapewa funguu mpaka la vitabu na Madawati
 
Kwa Hivyo wanafunzi wanaolala bweni wana ufaulu bora kuliko wale wanaolala nyumbani?

Kama uliwahi kukaa bweni lenye mazingira mazuri na walimu wazuri then unajua umuhimu wa bweni.
 
Solution ni yako individually na mwanao kama unaona gharama kubwa ondoa mwanao mpeleke shule za Bei nafuu mbona ziko kibao

Tatizo lako binafsi usiligeuze kuwa ni la kila mzazi
Kukaa kimya ikiwa huna jibu muafaka nalo pia ni jibu mkuu. Hilo unanaloliita tatizo binafsi linawezekana likawa linawaathiri wengi lakini hawana uwezo wa kuwasilisha sehemu husika. Kulisemea tatizo hilo kwa muanzisha uzi kuna wezekana kukawa msaada kwa wengine pia.
 
Mkuu kwanini tu usimpeleke kwa Kanumba Goverment, mbona wanafaulu tu na watafika Chuo Kikuu mradi uwe na muda wa kumfuatilia
umeshaambiwa kuna Feza school, kuna St Mary's kote huko ni madoido tu km pesa ipo wanarudi na mbwembwe kujua Computer, kuogelea kufunzwa kichina, kifaransa nk amayo hayapo katika Mtihani wa Taifa.
iongozi wetu wanataka Mashule hayo ambapo wazazi wanaitwa na kuafikiana bei ndio maana unasikia shule yetu ya kwanza kitaifa na mtoto wako atakuwepo.
km hilo hutaki achana nao shule za Kata zote zinapewa funguu mpaka la vitabu na Madawati
Umeelewa msingi wa hoja yangu lakini? Hata hivyo, kama huo ni utaratibu wa shule tangu zamani, mzazi alikubaliana nao alipompeleka mtoto. Ila kama imekuwa imposed later on, mzazi ana haki ya kuuliza.
 
Kama gharama kubwa kwako shule husika hamisha mtoto wako aende shule nyingine! Wanao afford gharama na wanaojua umuhimu wa elimu wataendelea kulipa a
Hapa mkuu kuna watu unakuta mnapigwa kwa kukaririshwa kuwa elimu ni gharama. Siamini kuwa elimu ni gharama mie naamini kuwa elimu ni akili yako tu.
Pia kibiashara kuna ile kasumba kuwa kitu kuwa na gharama kubwa kuwa ndo kina ubora.
Nikuambie tu nimekulia kwa biashara ila sio kuwa najsiifu kuwa Nina hela .
Bidhaa Ilikuwa ikiganda dukani naipandishia bei ndo inanunuliwa.
Unaweza ukachukua mchele wa aina moja yaani wa aina moja kabisa ila utenganishe afu mmoja mwambie mteja kuwa ni 1500TZS na mwingine ni 1300TZS utashangaa wateja wanang'ang'ania kwa ule wa bei kubwa kuwa nipunguzie nichukue huu wa alfu 1500 nachukua mwingi.
So ishu ni mentality tu.
Binafsi nimesoma kidato cha 1-6 nalala na kula,kuoga,na umeme bure yaani Hela niliyotumia haifiki hata Milioni.
Kwanza ile tu kufika sekondari wale wale waliotoka za kulipiwa mamilioni nikawa nawazidi mpaka iyo English na nimetokea serikalini huko kwa bure.

Pia chuoni nikasomeshwa bure kila kitu ishu ni kufaulu tu Hela zipo.
Sema kama MTU ni kilaza atasukumwa na Hela.
Enzi nasoma kuna kijana wa kikwete alikuwa akisoma Kibaha Boys mie nilikuwa Tabora Boys kwa olevo ama sasa sijui na yeye kikwete alishindwa kulipa binafsi schools ada mkuu. Hapa ni uamuzi wa MTU ama ulimbukeni wa MTU ama ufahari wa MTU mwenyewe.
Pia chuoni nikakutana na watu waliosoma Uganda huko full private kwani hawajadisco wakatuacha wa bure mkuu.
Yaani kusoma naamini mie ni nguvu ya MTU mwenyewe.
Hata ukiamua kusoma digrii yoyote online kibao zipo unakomaa unaichukua.

Ila omba usiwe na MTT wa kusukumwa na pesa yaani ile kuipata wastani wa d f2 unamfanyia sherehe na sie tupo tuliopata average ya A hata pipi hatupewi ama kupongezwa kwa neno kuwa umejitahidi.

So usikariri yaani wewe ukija dukani kwangu nitakugonga mpaka ukome.

Nakuambia hii spare boss ni ya Germany na huku zote ni mchina.

Yaani ni kama hujajuaga gemu ya kutafuta hela. So hao jamaa wanatengeneza mazingira ya hela. Ni kama kuna shule moja walikuwa wanalazimisha twisheni watt wasomee kwao kuna hela wanalipa. Eti hizo twisheni tulizosoma wanazitengenezea negativity kwa watu kwa kuziita za mtaani.
Na huku ndo zimetutoa kwa divisheni wani Kali jamani mpaka tunapandishwa ndege kwendaKula mabinti wa kirusi na kujirusha klub huko na watoto wakali acha wewe. Na Warusi wana maumbo mazuri ni balaa.

Ishu ni Hela tu inaangaliwa. Unaambiwa MTT arudie mie bora asomee ya bure mana kusoma ni kichwa cha MTU tu.
As saying goes as "going outside and buying expensive cigarette doesn't make you rich or look rich"
 
Hapa mkuu kuna watu unakuta mnapigwa kwa kukaririshwa kuwa elimu ni gharama. Siamini kuwa elimu ni gharama mie naamini kuwa elimu ni akili yako tu.
Pia kibiashara kuna ile kasumba kuwa kitu kuwa na gharama kubwa kuwa ndo kina ubora.
Nikuambie tu nimekulia kwa biashara ila sio kuwa najsiifu kuwa Nina hela .
Bidhaa Ilikuwa ikiganda dukani naipandishia bei ndo inanunuliwa.
Unaweza ukachukua mchele wa aina moja yaani wa aina moja kabisa ila utenganishe afu mmoja mwambie mteja kuwa ni 1500TZS na mwingine ni 1300TZS utashangaa wateja wanang'ang'ania kwa ule wa bei kubwa kuwa nipunguzie nichukue huu wa alfu 1500 nachukua mwingi.
So ishu ni mentality tu.
Binafsi nimesoma kidato cha 1-6 nalala na kula,kuoga,na umeme bure yaani Hela niliyotumia haifiki hata Milioni.
Kwanza ile tu kufika sekondari wale wale waliotoka za kulipiwa mamilioni nikawa nawazidi mpaka iyo English na nimetokea serikalini huko kwa bure.

Pia chuoni nikasomeshwa bure kila kitu ishu ni kufaulu tu Hela zipo.
Sema kama MTU ni kilaza atasukumwa na Hela.
Enzi nasoma kuna kijana wa kikwete alikuwa akisoma Kibaha Boys mie nilikuwa Tabora Boys kwa olevo ama sasa sijui na yeye kikwete alishindwa kulipa binafsi schools ada mkuu. Hapa ni uamuzi wa MTU ama ulimbukeni wa MTU ama ufahari wa MTU mwenyewe.
Pia chuoni nikakutana na watu waliosoma Uganda huko full private kwani hawajadisco wakatuacha wa bure mkuu.
Yaani kusoma naamini mie ni nguvu ya MTU mwenyewe.
Hata ukiamua kusoma digrii yoyote online kibao zipo unakomaa unaichukua.

Ila omba usiwe na MTT wa kusukumwa na pesa yaani ile kuipata wastani wa d f2 unamfanyia sherehe na sie tupo tuliopata average ya A hata pipi hatupewi ama kupongezwa kwa neno kuwa umejitahidi.

So usikariri yaani wewe ukija dukani kwangu nitakugonga mpaka ukome.

Nakuambia hii spare boss ni ya Germany na huku zote ni mchina.

Yaani ni kama hujajuaga gemu ya kutafuta hela. So hao jamaa wanatengeneza mazingira ya hela. Ni kama kuna shule moja walikuwa wanalazimisha twisheni watt wasomee kwao kuna hela wanalipa. Eti hizo twisheni tulizosoma wanazitengenezea negativity kwa watu kwa kuziita za mtaani.
Na huku ndo zimetutoa kwa divisheni wani Kali jamani mpaka tunapandishwa ndege kwendaKula mabinti wa kirusi na kujirusha klub huko na watoto wakali acha wewe. Na Warusi wana maumbo mazuri ni balaa.

Ishu ni Hela tu inaangaliwa. Unaambiwa MTT arudie mie bora asomee ya bure mana kusoma ni kichwa cha MTU tu.
As saying goes as "going outside and buying expensive cigarette doesn't make you rich or look rich"
Wewe umesema kweli ....

Kuna duka kariakoo wanasema wanauza nguo kutoka UTURUKI Kumbe ni kutoka China ,mimi binafsi nishanunua sana zinapauka kama zingine ukivaa mwezi tu hazifai kuanzia siku hiyo nikajifunza kitu.

Kusoma ni mtoto na akili zake yeye, kuchagua shule za gharama ni mbwembwe tuu.

Mkuu umetoa mfano mzuri sana sisi tulisoma shule za serikali na tulifaulu vizuri mpaka Leo ni Lecturer.
 
Wahusika wa wizara ya elimu mnaosimamia Kata, Wilaya, Mikoa na ngazi ya Taifa yaani Waziri, hili suala la shule binafsi za msingi kulazimisha watoto wa darasa la Nne na Saba kulala bweni ni halisi na linafaida kubwa kiwango cha kubadilisha maana halisi ya "Elimu ya Msingi" kuwa la lazima Tanzania??

Yaani mzazi analazimika kulipa fedha karibu mara 2 ya ada ya kawaida ya mwaka, mfano mathalani ada ni 1,500,000/= unalazimika kulipia 2,500,000/= kwa darasa la 4&7 hii imekuwa kawaida tu na wasimamizi wa elimu mnaliona hili. Elimu ya msingi ya Tanzania inakuwa hovyo sana na wasimamizi wanaangalia tu.

Natamani kusikia tamko la hili kama ni halali ama la kutokana na muongozo wa Wizara na sera zake zinazohusu sekta ya elimu.

Nawasilisha....
Kwani Mtoto wako akilala huko Bwenini na ukalipia Kiasi hicho Kikubwa lakini akawa na Ufaulu mzuri Kitaaluma Kwako siyo Faraja Ndugu yangu?
 
Wewe umesema kweli ....

Kuna duka kariakoo wanasema wanauza nguo kutoka UTURUKI Kumbe ni kutoka China ,mimi binafsi nishanunua sana zinapauka kama zingine ukivaa mwezi tu hazifai kuanzia siku hiyo nikajifunza kitu.

Kusoma ni mtoto na akili zake yeye, kuchagua shule za gharama ni mbwembwe tuu.

Mkuu umetoa mfano mzuri sana sisi tulisoma shule za serikali na tulifaulu vizuri mpaka Leo ni Lecturer.
Baadaye utapata teuzi kwani hujamuona Dr Leonard Chamriho. Prof Muhongo na wengine akina mbunge wa ubungo wa saivi ametokea kwa ulecturer kaka.
Tupi pamoja. Nasomesh mwanangu international schools namlipia 4M kwa mwaka.
Yaani MTU anajitutumuaje basi. Bora kama unataka ya kimataifa mpeleke huko Tanganyika international schools ama mpeleke hata Norway, uingereza ama Italy even Ujerumani hapo nitakuona kweli umepeleka mwanao international schools.
Mara msikie mwanangu anakunywa kingereza kama anakunywa MAJI hebu ongea naye umsikie Mara nimempeleka Kenya ama Uganda.
Hatujakataa ni maamuzi yako kaka.
Pia siamini kuwa kujua English ndo anakuwa na uwezo ama contents kubwa kichwani. Tena hizi shule ukipita pembeni unawasikia wanapiga Kiswahili sema wanakaririshwa English ya kuongea basi akija kwako mzazi unafurahia sana. Ila mpatie hata swali LA mlinganyo ama hata sarufi ya English anaangukia pua.
Mie naomba Mungu wanangu wawe vichwa tu mana hata mama yao akiwa mjamzito na jitahidi apate sato za kutosha fresh sana.
Ila kama kumpeleka international basi akasomee UK mwanzo mwisho ila hapa hapa Bongo eti international wala sijazikublai hata siku moja binafsi.

Kuna muda Nilikuwa Idle nikapata tempo private moja ivi inasifika sana tena sana kama miezi sita ivi b4 sija secure kazi yangu ya fani husika.
Nakuambia watt ni vilaza ni balaa wa fizikia na namba yaani mpaka unajiuliza ivi ndo nyie mnaopiga wanj Kali kweli mnakuwa wa kwanza kitaifa.
Yaani hao jamani ukipitia ama Ku mark papers zao za darasanj yaani mtt anavyojibu basi tu unanyamaza.
Ila pia vipanga wako huko jamani na sio kuwa Nina chuki na hao ila acheni kujinadi kuwa yuko International na huku yuko hapa hapa Bongo anapigwa na jua sawa na kayumba wetu.
Pia maisha ni maamuzi hatupangiani.

Kila LA heri jamani Ngoja wanywe English kama MAJI
 
Mteja ni sawa na mtoto ama mwanamke unavyomdanganya kuwa haulali ila unamuota usiku kama haujui yaani mteja anaamini kuwa vya bei mbaya ndo kina hadhi.
Kwani kuna tofauti gani ya MAJI unayokunywa dukani kwa mura hapa Nyakato sh 1000 na Hayo Hayo MAJI unayanywa malaika Beach resort kwa 3500 na gold crest kwa sh 4000 sema labda mandhari tu unalipia ila final product ama destination ni kupata MAJI kiu ishu.
Yaani hapa duniani sijawahi kuona fani nzuri sana zaidi ya biashara. Yaani ukiijua ni kumlaghai mteja akupe Hela yake na akishakupa basi imetoka.
Huonagi ukishakata tiketi kwa zakaria unaenda Tarime unakuwa hauna thamani tena jamani. Yaani ila kabla unapewa lugha nzuri mpaka basi unajiona kweli wwe ni mfalme.
Wewe umesema kweli ....

Kuna duka kariakoo wanasema wanauza nguo kutoka UTURUKI Kumbe ni kutoka China ,mimi binafsi nishanunua sana zinapauka kama zingine ukivaa mwezi tu hazifai kuanzia siku hiyo nikajifunza kitu.

Kusoma ni mtoto na akili zake yeye, kuchagua shule za gharama ni mbwembwe tuu.

Mkuu umetoa mfano mzuri sana sisi tulisoma shule za serikali na tulifaulu vizuri mpaka Leo ni Lecturer.
 
Back
Top Bottom