Mpeleke Matosa International School,kimara ,Dar es Salaam,TzIpi nzuri kati ya hizo nipeleke vijana wangu š
Mpeleke Matosa International School,kimara ,Dar es Salaam,TzIpi nzuri kati ya hizo nipeleke vijana wangu š
Huwezi soma hizo shule huku unategemea ajira. Ajira zinakufata wewe kama mitandao ya simu kuwa wakusajiri na vocha wanakupaWatakuja maskini watakaosema "mtu unalipa mamilioni halafu akimaliza hakuna ajira"...
Duuh labda kama wamepandisha hivi karibuni ila miaka yote IST ndio ilikuwa inaongoza, hiyo Constantine ilikuwa ya Tano sijui huko ilizidiwa hadi na DIA na Braeburn, by the way hivi hiyo International School of Moshi ndio alisoma yule last born wa Kikwete RashidKwa Tanzania ni St Constantine ya Arusha wao grade 9-10 ni usd 34,300 usd kindergarten mpaka grade 5 fees ni tofauti na grade 6-8.. Wazazi wanaachaa deposit wakiandikishwa kwa boarding ni 300usd na kutwa ni 150usd shule wanaopeleka watoto wanataka bank statement kama wanaomba VISA vile wasije wakamchukua mtoto kumbe mzazi mchimba chumvi kaokota za mawe siku mbili tu nae anataka nafasi ya mtoto na shule ingine ipo Moshi wao fees miaka minne iliyopita ilikua karibu 74m kwa kutwa..
ila st constantine haina future nzuri kwa watoto. shule nzuri bongo ni IST, haven of peace na zile za arusha mbazo Kennedy House, Braibert, Iringa international school na Moshi international. nimetazama st constantine arusha, naona inarange kwenye dola $12,000 ambayo ni ndogo sana ukilinganisha na hiyo miamba mingine. aliyesema st constantine ndio ionaongoza bongo atakuwa ameangalia kuwa hapo mmecount kwa dola sio madafu?Kwa Tanzania ni St Constantine ya Arusha wao grade 9-10 ni usd 34,300 usd kindergarten mpaka grade 5 fees ni tofauti na grade 6-8.. Wazazi wanaachaa deposit wakiandikishwa kwa boarding ni 300usd na kutwa ni 150usd shule wanaopeleka watoto wanataka bank statement kama wanaomba VISA vile wasije wakamchukua mtoto kumbe mzazi mchimba chumvi kaokota za mawe siku mbili tu nae anataka nafasi ya mtoto na shule ingine ipo Moshi wao fees miaka minne iliyopita ilikua karibu 74m kwa kutwa..
Rashidi =ChodoDuuh labda kama wamepandisha hivi karibuni ila miaka yote IST ndio ilikuwa inaongoza, hiyo Constantine ilikuwa ya Tano sijui huko ilizidiwa hadi na DIA na Braeburn, by the way hivi hiyo International School of Moshi ndio alisoma yule last born wa Kikwete Rashid
naona majani peke yake ndio ameshindwa maisha,na mwenzie ongala. majani angeacha pombe sasaivi angekuwa profesa wa havard.Product za IST kibongo bongo
Kali ongala
P funky Majani
Acha zile za akina bakheresa
Ndio nickname ya dogo au umemaanisha chidi kama kifupisho cha rashidRashidi =Chodo
Mo,Manji wamepita ISTnaona majani peke yake ndio ameshindwa maisha,na mwenzie ongala. majani angeacha pombe sasaivi angekuwa profesa wa havard.
MO nadhani alisoma hizo pia.
NicknameNdio nickname ya dogo au umemaanisha chidi kama kifupisho cha rashid
amekaa kama ana kichwa cha kantalamba high school ya swekeni huko, tofauti kabisa na dogo benjamin fenandes wa Haven of peace. alitakiwa akae international, asikae sawa tu na kina juma nature.Mo,Manji wamepita IST
Mbn Majani yuko fresh?
Hahahahaamekaa kama ana kichwa cha kantalamba high school ya swekeni huko, tofauti kabisa na dogo benjamin fenandes wa Haven of peace. alitakiwa akae international, asikae sawa tu na kina juma nature.
Nionyeshe mhitimu wa ist asiye na ajiraWatakuja maskini watakaosema "mtu unalipa mamilioni halafu akimaliza hakuna ajira"...
Wengi wa hawa jamaa hawapendi shule kabisa. Akienda tu Madrasa basi.. anajua amemaliza.Vip mbona povu kubwa shule zina web zao mtandaoni ukiweza soma utapata taarifa zao mbona vitu ni rahisi shida nini..
Mzee Deep Pond soma tena comment yanguNionyeshe mhitimu wa ist asiye na ajira
Punguza stori za vijiweniAcha hizo mkuu SCIS wana bei kubwa kuliko Breaburn na ISM hata DIA
Sio story za vijiweni bali nimewahi kufanya Project moja hapo SCIS kwahiyo nafahamu vizuriPunguza stori za vijiweni
Sasa tafuta ya DIA na Braeburn uone mabalaa zaidiAda ya st Constantine 2025-2026