Shule 10 ghali zaidi barani Afrika

Shule 10 ghali zaidi barani Afrika

Kwa Tanzania ni St Constantine ya Arusha wao grade 9-10 ni usd 34,300 usd kindergarten mpaka grade 5 fees ni tofauti na grade 6-8.. Wazazi wanaachaa deposit wakiandikishwa kwa boarding ni 300usd na kutwa ni 150usd shule wanaopeleka watoto wanataka bank statement kama wanaomba VISA vile wasije wakamchukua mtoto kumbe mzazi mchimba chumvi kaokota za mawe siku mbili tu nae anataka nafasi ya mtoto na shule ingine ipo Moshi wao fees miaka minne iliyopita ilikua karibu 74m kwa kutwa..
Usengerema
 
Hatari sana, acha tukomae na hizi English medium za 1.2 annual, in short kuna watu wana pesa aisee
 
Hatari Sana Ila Kama uwezo wako mdogo waweza msomesha mtoto Uganda kule wapo Vizuri Sana
 
Back
Top Bottom