Shule 10 ghali zaidi barani Afrika

Shule 10 ghali zaidi barani Afrika

Kuna mengine ni majinga,kuna moja aliomba ajira ya serikali badaye akapata akaja kuambia mshahara ni 1M akafanya miezi 2 ndio akaacha.
Wengi wanasomeshwa na wazazi wakiwa wapo vizuri inakuja kutokea mzazi anafariki harafu ajatengenezewa njia ndio inatokea hivyo ila wengi wa sasa hivi watoto wao wanawaanzishia miradi yao..
 
Vip mbona povu kubwa shule zina web zao mtandaoni ukiweza soma utapata taarifa zao mbona vitu ni rahisi shida nini..
Mkuu mimi nimewahi kufanya kazi na International school karibu zote ikiwemo hiyo St Constantine.. nazijua vizuri sana. Kwa hapa Tanzania ni IST, Braeburn na DIA ndo wanaongoza kwa bei ghali.
 
Mkuu mimi nimewahi kufanya kazi na International school karibu zote ikiwemo hiyo St Constantine.. nazijua vizuri sana. Kwa hapa Tanzania ni IST, Braeburn na DIA ndo wanaongoza kwa bei ghali.
Nimekwambia soma fees structure yao ipo mtandaoni mkuu mbona rahisi ukisoma njoo na majibu hapa kufanya kazi kunahusiana nini na hizi mambo za fees ambazo wewe hujui yaani unashangaa kuambiwa 74m wanalipa hapo Moshi ni 28,000 hizo watu wanalipa...
 
Kwa Tanzania ni St Constantine ya Arusha wao grade 9-10 ni usd 34,300 usd kindergarten mpaka grade 5 fees ni tofauti na grade 6-8.. Wazazi wanaachaa deposit wakiandikishwa kwa boarding ni 300usd na kutwa ni 150usd shule wanaopeleka watoto wanataka bank statement kama wanaomba VISA vile wasije wakamchukua mtoto kumbe mzazi mchimba chumvi kaokota za mawe siku mbili tu nae anataka nafasi ya mtoto na shule ingine ipo Moshi wao fees miaka minne iliyopita ilikua karibu 74m kwa kutwa..
Hata akina Musk hela wanazo ila ada za namna hii watakuna vichwa kwanza kabla ya kuamua kulipa
 
Nimekwambia soma fees structure yao ipo mtandaoni mkuu mbona rahisi ukisoma njoo na majibu hapa kufanya kazi kunahusiana nini na hizi mambo za fees ambazo wewe hujui yaani unashangaa kuambiwa 74m wanalipa hapo Moshi ni 28,000 hizo watu wanalipa...
Sawa umeshinda.
 
Sawa umeshinda.
Sio swala la kushindana mimi nimetoa taarifa tu nayoijua wewe ndio umeniambia mimi ni muongo nikakwambia angalia site yao je ukiambiwa heka moja viwanja vya mikahawani,Kimvulini ni Tsh 300m si utarusha ngumi na vinagombaniwa jamaa wakivikata...kiwanja kinauzwa kwa dollar yaani Sq meter moja inauzwa kwa usd harafu inaleta shilingi za Tanzania zaidi ya 280m mpaka 300m kutokana na exchange rate ya siku hiyo.
 
Tanzania hii hakuna shule inaizidi IST labda hao jamaa zako wanaongeza chumvi lakini ni kweli arusha kuna shule nyingi za international ukiachana na dar es salaam
Mkuu shule zipo ni swala la kutokua na taarifa tu hata mimi nilijua hivyo sina ujamaa nao ila najua wapo ghari hiyo shule naipita kama vile wanauza matairi ya trekta ila wapo wazala wana watoto hapo pia site yao ipo wazi soma mazee sio unajibu wakati vitu vipo wazi mtandaoni kwa dunia ya sasa hivi..
 
Mkuu shule zipo ni swala la kutokua na taarifa tu hata mimi nilijua hivyo sina ujamaa nao ila najua wapo ghari hiyo shule naipita kama vile wanauza matairi ya trekta ila wapo wazala wana watoto hapo pia site yao ipo wazi soma mazee sio unajibu wakati vitu vipo wazi mtandaoni kwa dunia ya sasa hivi..
Kwa hizi ada, IST inakimbiza. Tupe na wewe data zako
 

Attachments

  • Screenshot_20250727_072347.jpg
    Screenshot_20250727_072347.jpg
    292.8 KB · Views: 11
  • Screenshot_20250727_072426.jpg
    Screenshot_20250727_072426.jpg
    354.5 KB · Views: 12
Kwani St. Costantine walikataliwa kuweka boarding kubwa? Alafu unaniambia nifungue, nifungue wapi?

Kwanini wewe usilete hapa uthibitisho tukamaliza ubishi
Mkuu mbona unaleta povu la zamani lile la kugombania Scania Mwanamboka ikipita 114 nasema yangu hapo sina mtoto sina mpunga wa kulipia hayo mamilioni mazee mimi na mapovu kwa vitu visivyonihusu nishatambuka hilo tuta kitambo sana..
 
Back
Top Bottom