Shule 10 ghali zaidi barani Afrika

Shule 10 ghali zaidi barani Afrika

ALisoma kwakua mama yake alifundisha IST
Hapa Kama umetupiga mkuu hapo Ada kwa mwaka sichini ya mi45 mtaji wabiashara na wanatumia mitaara ya njee nigumusana kumi kuta Udom au UDSM Mtoto aliesoma hapo wengi wanaenda njee kusoma chuo
 
Ahahahaha hamna hayo mambo alafu uwezi amni an mfanya usafi nilifanyiwa interview full English wale mbwa wana hatare..

Nikaulizwa important of solar system manina zao 😁😁😁😁😁😁

Nikaja kuulizwa why we use pendulum bob to determine gravitation
Daah hili swali kwa physics yangu ya 4m ningetoka kapa...
 
kwa bahati mbaya mno, wote wanaojadili haya mashule hakuna hata mwenye uwezo sa kupeleka mtoto hapo. hili ndio linasikitisha zaidi.
Kwahiyo hatutakiwi kujadili kwakua tu hatuna uwezo wa kupeleka watoto hapo..?? Rubbish
 
Kwa Tanzania ni St Constantine ya Arusha wao grade 9-10 ni usd 34,300 usd kindergarten mpaka grade 5 fees ni tofauti na grade 6-8.. Wazazi wanaachaa deposit wakiandikishwa kwa boarding ni 300usd na kutwa ni 150usd shule wanaopeleka watoto wanataka bank statement kama wanaomba VISA vile wasije wakamchukua mtoto kumbe mzazi mchimba chumvi kaokota za mawe siku mbili tu nae anataka nafasi ya mtoto na shule ingine ipo Moshi wao fees miaka minne iliyopita ilikua karibu 74m kwa kutwa..
Kazi na Utu
 
Hii DIA ni shule Moja nzuri sana nimependa kuliko international schools zote Dar,.
Wanasoma watoto wa vifaru tu. Ukienda mida ya saa 6 mchana wakati wanakaribia kutoka utakuta nje ya geti chuma za maana zimepaki kuanzia V8, Range nk zimekuja kuchukua watoto kuwarudisha home. Mara ya kwanza nilivyoona nilidhani kuna kikao cha wazazi kumbe ni kila siku madereva wanakuja kuchukua watoto. Tatizo hizi International schools mishahara ni midogo hasa kwa wasio waalimu.
 
Wanasoma watoto wa vifaru tu. Ukienda mida ya saa 6 mchana wakati wanakaribia kutoka utakuta nje ya geti chuma za maana zimepaki kuanzia V8, Range nk zimekuja kuchukua watoto kuwarudisha home. Mara ya kwanza nilivyoona nilidhani kuna kikao cha wazazi kumbe ni kila siku madereva wanakuja kuchukua watoto. Tatizo hizi International schools mishahara ni midogo hasa kwa wasio waalimu.
Kingine kilichonichanganya kuhusu shule hii,why watoto wengi ni watanzania?niliingia darasa la Music na art,sikuona mchina wala muhindi,Siri ni Nini??
 
Inawezekana huwa unajiuliza ni zipi shule ghali zaidi Afrika kwa kipindi kirefu sasa,Hizi hapa shule kumi ghali zaidi katika ukanda wetu wa Afrika pamoja na Ada zake;

10. American international school, Zambia (annual fee 22,070$)

9.Hilton college,South Africa (Annual fee 22,596$)

8. International Community school of Abidjan, Ivory Coast (Annual fee 23,400$)

7. Lincoln community school,Ghana (Annual fee 26,276$)

6. Cairo American college,Egypt (Annual fee 26,500$)

5. Kampala International school, Uganda ( Annual fee 26,918$)

4. Al farouk language school,Egypt (Annual fee 28,783$)

3. International school of kenya, Kenya (Annual fee 31,142$)

2. American international school, Nigeria (Annual fee
31,228$)

1. International school of Tanganyika,Tanzania (Annual fee 32,000$)
Yaani hiyo ya Tz ndio inaongoza ?..basi tupo vizuri
 
Shukrani sana mkuu atleaat umenifungua macho..ujue nilikua gizani sana kuwa huwa kipi hasa kinachofanya adi ada ziwe usd 30000
Tofauti na kuwa biashara lakini shule nyingi za international zinatoa huduma nyingi na bora saana.
Mfano mtoto wa primary
Anasoma darasa lenye AC, projector, smart board, computer darasani yenye internet, kitabu chake mwenyewe kwa kila somo, mwalimu na mwalimu msaidizi, hivyo ni baadhi tu.

Kwenye michezo mtoto anafunzwa Softball, cricket, football, swimming, athletics, basketball, horse riding na michezo kibao.

Trips wanaenda Cape Town, New York, n.k

Kiukweli wanaishi dunia yao tofauti na sisi tuliosoma shule za kata..... ni experience nzuri saana kwa ukuaji wa mtoto
 
Mtoto aliyepo Shanghai na aliyepo Arusha wanasoma kitu kilele ndiyo maana zinaitwa international school....ufundiswaji wake mzuri saana...hii mada ya siku nyingine.
Mkuu, usisahau hii ahadi yako.
 
Tofauti na kuwa biashara lakini shule nyingi za international zinatoa huduma nyingi na bora saana.
Mfano mtoto wa primary
Anasoma darasa lenye AC, projector, smart board, computer darasani yenye internet, kitabu chake mwenyewe kwa kila somo, mwalimu na mwalimu msaidizi, hivyo ni baadhi tu.

Kwenye michezo mtoto anafunzwa Softball, cricket, football, swimming, athletics, basketball, horse riding na michezo kibao.

Trips wanaenda Cape Town, New York, n.k

Kiukweli wanaishi dunia yao tofauti na sisi tuliosoma shule za kata..... ni experience nzuri saana kwa ukuaji wa mtoto
Kwa Diplomats na UN agents hizi ni ada za kawaida sana, given zinalipwa na taasisi zao.
 
Kwa Diplomats na UN agents hizi ni ada za kawaida sana, given zinalipwa na taasisi zao.
Yes diplomats wanalipiwa na serikali zao.
Shule ghali zaidi duniani ipo Uswizi and guess what tuliwakuta hapo watoto wa balozi za South Africa, Botswana na Eswatini.

Ubaya wakisha kuita kurudi nchini watoto wako wanarudi shule za kawaida na unawalipia wewe.
 
Yes diplomats wanalipiwa na serikali zao.
Shule ghali zaidi duniani ipo Uswizi and guess what tuliwakuta hapo watoto wa balozi za South Africa, Botswana na Eswatini.

Ubaya wakisha kuita kurudi nchini watoto wako wanarudi shule za kawaida na unawalipia wewe.
Mkuu una exposure kubwa si haba. Unafunsisha kwenye hizi shule ama huwa unafanya nao projects gani?.
 
Back
Top Bottom