Me shujaa wangu mr mdhaifu a.k.a ------ huyu jamaa anakila sifa ya kuitwa shujaa kwanza ni rais pekee aliyevunja rekod ya kuwa maneno machafu na ya kukatisha tamaa kwa wananch wke, asiyekuwa na maamuz sahih kwa viongoz wenzie pale wanapofanya madudu, kupenda kuruka mara kwa mara kama popo, na kupenda kuwasaidia wasanii wakike pale wanapokuwa na matatizo na kwa wasanii wa kiume yeye hupenda kuzika tu na sio kusaidia
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums