Mkuu sixgates hilo lipo kabisa kuwa kamanda,Jemedari Ben Saanane ndiye shujaa mwaka huu 2012 kwani kazi aliyoifanya si kitoto na kukomesha kabisa uasi thus why i real admire the guy.
Alifunika vibaya sana 2012 , sio tu kwenye media bali alifanya kazi ambayo wabunge wengi walishindwa kwa miaka mingi.
Mfano kupeleka lami,huduma za kijamii na vigogo loliondo.
Hiyo ni tisa kumi ni kupiga mshiko wa maana katika umri wa kutokopesheka kwa taratibu zozote za kiraia au kibenki
hasa baada ya kuwa kwenye recycle bin ya chachi bila kuwa na mpango wowote wa kuwa recycled!:evil: