wewe una matatizo, unaweza kuueleza umma ujinga uliomfanya afe ni upi????????????amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
R.I.P kijana, poleni ndg, wafiwa wote na kila aliyeguswa na msiba huu mkubwa
wewe una matatizo, unaweza kuueleza umma ujinga uliomfanya afe ni upi????????????amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
Huyu kijana wana mtwara tukishinda suala la gesi tutajenga mnara kumuenzi..............
amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
waliomtuma kijana huyo wapo salamaa salmini, wanakula kiyoyozi. Usikubali kutumika ndugu!!!!!!!!hapa tu ndipo panaponifanya niamini ccm wana mioyo ya mapepo. Hata kwenye msiba hawajali, mtu huyo kavaa kijani ni kada wenu bado mnamtukana., kiburi cha uzima..hivi nani achore kibonzo kikionyesha askari anafyatulia wananchi risasi hiku ccm iko juu ya mtutu wa bunduki ikipunga hewa mwanaaaana..
mwenyewe unatumika vibaya na maccm!Vijana wa Tanzania wanavyotumiwa kuleta vurugu na kupelekea vifo na uharibifu wa mali sababu tu hawajitambui,Ona hata humu JF wajinga wanavyoshabikia vurugu za Mtwara.Kijana aliekufa alikuwa anategemewa na watu wangapi leo kapoteza maisha kwa jambo ambalo halina faida kwake, wachochezi wako salama yeye anaambulia R.I.P.!Dhamana ya Taifa hili iko mikononi mwetu Vijana hivyo tusitumike vibaya tujitambue, Tafakari chukua hatua sahihi.
Bwana mdogo naona una hamu ya kuliwa ----..!amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
waliomtuma kijana huyo wapo salamaa salmini, wanakula kiyoyozi. Usikubali kutumika ndugu!!!!!!!!
unavifahamu vita vya majimaji wewe wangai walikufa!?Jamani Watanzania tupiganie haki zetu ila si kwa kujiweka mbelembele na kufa mwisho wa siku tunaziumiza familia zetu zilizotulea, kutukuza na zinatutegemea..just imagine huyu mtu watu wangapi walikua tegemezi kwake!!so sad:A S cry::disapointed:
inategemea mkuu, huko duniani hairuhusiwi lakini kuna nchi zisizozidi 5 duniani wanaruhusu sasa na Tz inaingia kundi hilo kwa bahati mbaya sanaHivi naomba kuuliza, Jeshi la Polisi huwa wanaruhusiwa kutumia silaha za moto?
mkuu AINE, Alikubali kutumiwa. Liwe somo kwako na wengine, vijana tusikubali kutumika kama ngazi ya wengine.......poleni wafiwa, r.i.p!!wewe una matatizo, unaweza kuueleza umma ujinga uliomfanya afe ni upi????????????
R.i.p kijana, poleni ndg, wafiwa wote na kila aliyeguswa na msiba huu mkubwa
waliomtuma kijana huyo wapo salamaa salmini, wanakula kiyoyozi. Usikubali kutumika ndugu!!!!!!!!
Hivi unafahamu kinachoendelea? Si uwataje hao wachochezi wanaotumia watu? Hatua sahihi ni zipi?Vijana wa Tanzania wanavyotumiwa kuleta vurugu na kupelekea vifo na uharibifu wa mali sababu tu hawajitambui,Ona hata humu JF wajinga wanavyoshabikia vurugu za Mtwara.Kijana aliekufa alikuwa anategemewa na watu wangapi leo kapoteza maisha kwa jambo ambalo halina faida kwake, wachochezi wako salama yeye anaambulia R.I.P.!Dhamana ya Taifa hili iko mikononi mwetu Vijana hivyo tusitumike vibaya tujitambue, Tafakari chukua hatua sahihi.
Huyu kijana wana mtwara tukishinda suala la gesi tutajenga mnara kumuenzi..............
kweli hawajitambui hata ukiangalia hiyo haki wanayosema wanapigania ni ipi hata mfano gesi ikibaki mtwara watu wa aina yake sana sana kazi watakazo ambuliia kwenye hiyo ajira ya gesi ni umesenja, ufagizi, na zifananzao na wanao wachochea wakiwa vivulini. tena kwa hiyo alama aliyoonyesha no wonder mzee wa onyo yuko kimya kwa sababu anajua chimbuko lake. Taabu kwelikweli na hizi ziro zinazoongezeka kila mwaka vijana wanazidi kuwa gizani.Vijana wa Tanzania wanavyotumiwa kuleta vurugu na kupelekea vifo na uharibifu wa mali sababu tu hawajitambui,Ona hata humu JF wajinga wanavyoshabikia vurugu za Mtwara.Kijana aliekufa alikuwa anategemewa na watu wangapi leo kapoteza maisha kwa jambo ambalo halina faida kwake, wachochezi wako salama yeye anaambulia R.I.P.!Dhamana ya Taifa hili iko mikononi mwetu Vijana hivyo tusitumike vibaya tujitambue, Tafakari chukua hatua sahihi.