Ni kweli kabisa mkuu.kafa mapema sana! Haukuwa mda wake,,pigo kwa familia yake!
Vijana wa Tanzania wanavyotumiwa kuleta vurugu na kupelekea vifo na uharibifu wa mali sababu tu hawajitambui,Ona hata humu JF wajinga wanavyoshabikia vurugu za Mtwara.Kijana aliekufa alikuwa anategemewa na watu wangapi leo kapoteza maisha kwa jambo ambalo halina faida kwake, wachochezi wako salama yeye anaambulia R.I.P.!Dhamana ya Taifa hili iko mikononi mwetu Vijana hivyo tusitumike vibaya tujitambue, Tafakari chukua hatua sahihi.
kinacho fanya wakatalie gas nini?
kinachokuokoa ni kuwa unaongea upuuzi huu ukiwa ndani, ipo siku utajisahau utaongea hivi hivi mbele ya watu, utakhafiniwa kabla hujafa.
Mnapigana kwa sababu ya umaskini na sio gesi. Wa kwanza kulaumiwa kwa hali ya kubakia nyuma mikoa ya kusini ni ukoloni uliopanga kipau mbele kwa maeneo mengine. Sasa msitengeneze mashujaa bandia wakati mipango thabiti ya maendeleo kwa mtwara na lindi imeshawekwa.Huyu kijana wana mtwara tukishinda suala la gesi tutajenga mnara kumuenzi..............
amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
kufia anachokiaminiUshujaa wake ni upi? Elezea kidogo tumuelewe marehemu!
Vijana wa Tanzania wanavyotumiwa kuleta vurugu na kupelekea vifo na uharibifu wa mali sababu tu hawajitambui,Ona hata humu JF wajinga wanavyoshabikia vurugu za Mtwara.Kijana aliekufa alikuwa anategemewa na watu wangapi leo kapoteza maisha kwa jambo ambalo halina faida kwake, wachochezi wako salama yeye anaambulia R.I.P.!Dhamana ya Taifa hili iko mikononi mwetu Vijana hivyo tusitumike vibaya tujitambue, Tafakari chukua hatua sahihi.
Mh. Rais hajui ni kwa nini hii nchi ni masikini (huku akidhani njia ya mkato ni wafadhili)kinacho fanya wakatalie gas nini?
Vijana wa Tanzania wanavyotumiwa kuleta vurugu na kupelekea vifo na uharibifu wa mali sababu tu hawajitambui,Ona hata humu JF wajinga wanavyoshabikia vurugu za Mtwara.Kijana aliekufa alikuwa anategemewa na watu wangapi leo kapoteza maisha kwa jambo ambalo halina faida kwake, wachochezi wako salama yeye anaambulia R.I.P.!Dhamana ya Taifa hili iko mikononi mwetu Vijana hivyo tusitumike vibaya tujitambue, Tafakari chukua hatua sahihi.
Nakuuliza kwenye maeneo niliweka red colour, kama ifuatavyo:Vijana wa Tanzania wanavyotumiwa kuleta vurugu na kupelekea vifo na uharibifu wa mali sababu tu hawajitambui,Ona hata humu JF wajinga wanavyoshabikia vurugu za Mtwara.Kijana aliekufa alikuwa anategemewa na watu wangapi leo kapoteza maisha kwa jambo ambalo halina faida kwake, wachochezi wako salama yeye anaambulia R.I.P.!Dhamana ya Taifa hili iko mikononi mwetu Vijana hivyo tusitumike vibaya tujitambue, Tafakari chukua hatua sahihi.