Shujaa wa gesi aliyepigwa risasi-rip mr.karim

Shujaa wa gesi aliyepigwa risasi-rip mr.karim

amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
Mawazo kama haya wangekuwa nayo akina Mugabe, Samora, Neto, na wapigani uhuru wengine wa Kusini mwa Africa, leo hii nadhani wangekuwa bado chini ya Wakoloni.Na kama dunia ingemuona Mandela akiwa gerezani kwa muono wa mawazo ya aaina hii basi nadhani angefia gerezani. Mkuu hakuna kifo cha ujinga, hata jambazi anapouawa ama kuua haongozwi na ujinga, kila kitu mtu anafanya akiwa na akili na hata huyu alifanya haya akijua anafanya nini, kaama ni ujinga ulimuongoza nadhani hata hao wanaaoshikiliwa katika tukio basi wangeaachiwa. Ni wakati wa kuunganisha mawazo na kumaliza tatizo hili badala ya kushabikia. Hakuna anayependa haya yatokee, si Serikali wala watu wa Mtwara na Watanzania kwa ujumla wetu. Lamaaana tuepushe siasa ambazo watu sasa wamechoka nazo wanataka maendeleo. Ni hili ni jukumu letu sote kuleta aUhuru wa kiuchumi na kuachana na mawazo ya uhuru wa kisiasa ambao tumepata miaka zaaidi ya 50 sasa. RIP Marehemu !
 
bado kijana mdogo sana family na taifa lake lilikuwa bado inamtegemea.Vijana acheni kushabikia mambo amboyo baadae yanawaletea simanzi wazazi wenu...R.I.P
 
Tangulia nasi tupo nyuma tukifuata kwa kweli huko uliko utakuja kushuhudia nchi ikiwa mikononi mwa wananchi, hawa mumiani wamejipalia makaa
 
R.I.P Kamanda damu yako kamwe haitopotea bure lazima italipwa tu.Pumzika kwa amani huko ulipo.
 
bado kijana mdogo sana family na taifa lake lilikuwa bado inamtegemea.Vijana acheni kushabikia mambo amboyo baadae yanawaletea simanzi wazazi wenu...R.I.P

Hufananii na id yako mwenyewe. Unatoa ushauri vijana wawe woga kutetea haki na ukweli!
 
akapiganie gesi na mbinguni kama hajarudishwa huyu marehemu hakuwa na wategemezi?wachochezi wanatanua na kula bata wewe unapewa R I P nani kasema utakuwa mwema na shujaa ukifa kwa kujitakia?mwingine ajitokeze apewe RIP kama hongera na kuitwa shujaa.wachochezi wana rithi had mkeo mwana.
 
Kwahiyo unaona kilichomtokea ni sawa?nani atatunza fammilia yake?mbona wewe unashabikia ukiwa kwako kwenye computer na hukuenda mtwara kuwasuport?????sometimes kama hampo tayari for a revolution mkae kimya.mapinduzi si ya watu wachace ni ya wote atleast kama hukuweza kuenda mtwara ungelianzisha hukohuko ulipo hata kwa mabango ya kuwaunga mkono na sio kujificha nyuma ya computer.. ..any fool can write few can stand up for what they believe
mi nawashangaa wana hawa jamaa eti wanasema wanawasuport wana wa mtwara wakati watu wanakufa na kama unavyojua familia nyingi ni za kipato cha chini wananunua unga wa ugali na mchele kila siku kwa ajili ya milo sasa leo watu siku ya pili wanakunywa maji tu ...ndugu yangu nampigia simu anasema yani nitumie vocha tu kwa ajili kupata faraja kwa ndugu wengine ila hali ni tete watu wengine wasije wakawa wanajua kule ni kama mgomo wa shule moja ya sekondari jamani kule ni maafa wala si kitu cha kuongea tu nyuma ya key board et rest in peace tuko pamoja wakati ukaamka asubuhi supu na chapati na maji kubwa huyoo mdogo mdogo ofisini wakati watu sasa vijana wao hawako nyumbani wako maporini na hawajui ni wapi kabisa family zimeseparate na wengine ndo kama ivyo wanakufa
 
nipo tayali kufa mkuu, kunahaja gani ya kuishi kitumwa nchini kwako!

sasa mbona bado uko nyuma ya keyboard nenda kama huna nauli kuna gari juma mosi linaenda huko ni free of chance nitakugharamikia mpaka chakula tukiwa safarini...kwani usafiri utakuwa bure
 
sasa mbona bado uko nyuma ya keyboard nenda kama huna nauli kuna gari juma mosi linaenda huko ni free of chance nitakugharamikia mpaka chakula tukiwa safarini...kwani usafiri utakuwa bure
niPM namba zako!
 
amekufa kwa ujinga wake mwenyewe

WEWE unahitaji msaada wa mambo 5 tu ili uwe huru nayo ni;

1.fikira pevu,

2.msimamo thabiti juu ya mambo ya kijamii yenye maslahi chanya kwa wazalendo.

3.upeo wa hekima na adabu,

4.kukataa roho y akukataliwa,

5.Kujifunza kwa bidii misingi ya haki,utu na demokrasia ya kweli.



TAFAKARI CHUKUWA HATUA.
 
Wanasiasa watatumaliza, sasa kijana wa watu amekufa, wameshapata umaarufu, wanaoteseka waliokuwa wanamtegemea. Jamani tusidanganyike!!!
hivi si wamefungua mwangosi foundation huyu wamfungulie basi tujue kweli wanaaminisha wanachoongea kama sio nitokee wapi? Nimesikia Leo waandishi wa habari wengi wamejificha kuogopa kudhuriwa na kuchomewa nyumba zo na wanamtwara. Juzi tu walikuwa wanalalamika serikali inaminya uhuru wa vyombo vya habari so ntwara wanashindwa kusema niserikali au wananchi!
 
Back
Top Bottom