Shujaa wa gesi aliyepigwa risasi-rip mr.karim

Shujaa wa gesi aliyepigwa risasi-rip mr.karim

Upuuzi mwingine bwana eti unagombania gesi wakati elimu yenyewe huna
 
Ni kweli kabisa mkuu.
Kwani angebaki nyumbani ingekuaje?sasa kaiachia familia yake tabu ya milele!

sasa tuöne kama baada ya wiki mbili kama wanamtwara wataendelea kumkumbuka huyu mtu,zaidi atakumbukwa na familia yake na kulaumiwa kwa ujnga wake,ni wakati sasa wanamtwara waihudumie familia ya marehemu kama kweli walikuwa pamoja,ni lazima ukweli ujitenge kuwa alikuwa mbulula,yeye na wenzake wote..
Alazwe mahala pabaya kuzimu!
 
Mnapigana kwa sababu ya umaskini na sio gesi. Wa kwanza kulaumiwa kwa hali ya kubakia nyuma mikoa ya kusini ni ukoloni uliopanga kipau mbele kwa maeneo mengine. Sasa msitengeneze mashujaa bandia wakati mipango thabiti ya maendeleo kwa mtwara na lindi imeshawekwa.

Mkoloni katoka miaka mingi mbona??? Bado unamlaumu tu wakati nchi ipo mikononi mwetu, hapa serikali yetu ndo iwe makini tu wakoloni walishachukua chao mapema.
 
amekufa kwa ujinga wake mwenyewe
Bora yeye kafa akigombania haki,ww utakufa kwa kutumiwa na lumumba kwa malipo ya buku 5 za M-pesa


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
sasa tuöne kama baada ya wiki mbili kama wanamtwara wataendelea kumkumbuka huyu mtu,zaidi atakumbukwa na familia yake na kulaumiwa kwa ujnga wake,ni wakati sasa wanamtwara waihudumie familia ya marehemu kama kweli walikuwa pamoja,ni lazima ukweli ujitenge kuwa alikuwa mbulula,yeye na wenzake wote..
Alazwe mahala pabaya kuzimu!
Bora yeye katangulia mbele za haki kishujaa-kuliko wewe unayeishi ukiwa mfu
Na utakufa kwa aibu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hata kwenye vita askari wengine wanakufa kwa ajili ya watu wengine
 
Bora yeye katangulia mbele za haki kishujaa-kuliko wewe unayeishi ukiwa mfu
Na utakufa kwa aibu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

katangulia kishujaa au kipumbavu?kailee familia yake sasa kama baada ya siku mbili hutamsema marehemu kafa kwa ujnga wake.
 
Kila nafsi itaonja mauti mbele yake nyuma yetu,baba miraji nakuasa dhuluma si njema mbona umewabadilikia wapiga kura wako,unashindana na nani mbona tulikuamini tulilutegemea na kujenga matumaini makubwa kwako leo tunaishia kuporwa kunyanyaswa ili uwainue wana bagamoyo hivi unajisikiaje kumbunga unachotaka kukuidhulumu ni mpango wa mungu kukipanda aridhi ya mtwara ni mapenzi yake hivyo wewe si mungu chukua bt kwa hili hasira ya mungu hautoikwepa mtwara bandari wanayo kwa nini usijenge viwanda kule zao la korosho unaliua mpaka sasa malipo ni utata we binadamu gani,usiyejali utu wa watu unadiriki kutumia jeshi jamani me nimekushangaa baba wewe kumbe una ukatili mkubwa usiopimika ngoja tunyamaze usije tupeleka ukonga kama wakina fulani kufungwa milele angalia upanga unaoutumia usije kugeukia ukakudhuru mwenyewe.
 
sasa tuöne kama baada ya wiki mbili kama wanamtwara wataendelea kumkumbuka huyu mtu,zaidi atakumbukwa na familia yake na kulaumiwa kwa ujnga wake,ni wakati sasa wanamtwara waihudumie familia ya marehemu kama kweli walikuwa pamoja,ni lazima ukweli ujitenge kuwa alikuwa mbulula,yeye na wenzake wote..
Alazwe mahala pabaya kuzimu!

nimegonga senksi
 
Kweli kutumika kubaya mshikaji alifikri risasi inamacho,mungu ampumzishe.
 
Kila nafsi itaonja mauti mbele yake nyuma yetu,baba miraji nakuasa dhuluma si njema mbona umewabadilikia wapiga kura wako,unashindana na nani mbona tulikuamini tulilutegemea na kujenga matumaini makubwa kwako leo tunaishia kuporwa kunyanyaswa ili uwainue wana bagamoyo hivi unajisikiaje kumbunga unachotaka kukuidhulumu ni mpango wa mungu kukipanda aridhi ya mtwara ni mapenzi yake hivyo wewe si mungu chukua bt kwa hili hasira ya mungu hautoikwepa mtwara bandari wanayo kwa nini usijenge viwanda kule zao la korosho unaliua mpaka sasa malipo ni utata we binadamu gani,usiyejali utu wa watu unadiriki kutumia jeshi jamani me nimekushangaa baba wewe kumbe una ukatili mkubwa usiopimika ngoja tunyamaze usije tupeleka ukonga kama wakina fulani kufungwa milele angalia upanga unaoutumia usije kugeukia ukakudhuru mwenyewe.
Mkuu haya maneno hata kwenye khanga yapo,umefanya vurugu huko weeeeeeeeeeeeeee....halafu unakuja kujikosha jaribu kuwa mtanzania halisi acha kuigiza.
 
Wanasiasa watatumaliza, sasa kijana wa watu amekufa, wameshapata umaarufu, wanaoteseka waliokuwa wanamtegemea. Jamani tusidanganyike!!!
 
RIP! mapambano yataendelea tu...

Yah kweli mapambano yanaendelea watu wa mtwara endeleeni sisi tunawapa sapoti kwenye mitandao mkifa mtakuwa mashujaa na tutawapa pole ya RIP kazi kwenu
 
Back
Top Bottom